Тёмный

HOTUBA YA MWAMBA IBRAHIMU TRAORE NI YA KUWAKERA MABEBERU 

UKUU WA MWAFRIKA (IBM)
Подписаться 44 тыс.
Просмотров 80 тыс.
50% 1

Mpenzi mtazamaji wa IBM CHANNEL endelea kutufuatilia kwa ajili ya kupata elimu zaidi ya uzalendo, ukombozi wa kifkira na ukuu wa Mwaafrika hapa hapa. tunakupa pia makala mbalimbali zinazohusiana na ulimwengu tunaoishi na taarifa zetu ni za ukweli na uhakika sio za uongo. karibu tuendelee kuwa pamoja. kama hauja-subscribe tafadhali fanya hivyo ili usipitwe na chochote.

Опубликовано:

 

15 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 242   
@BatstaNkondo
@BatstaNkondo 11 дней назад
Asante kapiteni ibhimu telaole mm nakuku bali sana kapiteni
@SadaHasimu
@SadaHasimu 18 дней назад
Mungu Ibariki Africa Tunashukuru kupata kiongozi kijana na mwenye uchungu wakutetea bara rake la afrika safi sana kaka yangu Ibrahim mungu akulinde kwa kila jambo inshaallah
@ahbakumhusseinabubakar1532
@ahbakumhusseinabubakar1532 19 дней назад
Vizuri sana huyu ni mtu kwelikweli like jaman
@paulmugwiria9274
@paulmugwiria9274 19 дней назад
We,all black Africans appreciate him,may Almighty God protect him,,, Paul gitonga from Kenya🇰🇪
@DaudiJumaShauritangaMsisi
@DaudiJumaShauritangaMsisi 13 дней назад
Viva. Traore ni kichwa nilicho jaa Mawazo ya maendekeo Africa.Mbegu ya kuikomboa Africa.
@mohamedS-yd9wh
@mohamedS-yd9wh 18 дней назад
Shukran mchambuzi wetu Shukran Traore Allah akulinde kila utapokuwa, ukuzidishie elimu, hekma, ushujaa na maono ya kuleta maendeleo nchini mwako na Afrika nzima inaona unachokifanya, viongozi wetu wengi mjifunze kutoka kwake,
@DaudLucas-qj3mp
@DaudLucas-qj3mp 19 дней назад
Jamani mungu mlinde mtu yeyote anaempigania mwafilika maana nchi nyingi za aflika viongozi wengi ni vibalaka wa wazungu.
@RobsonDaudi
@RobsonDaudi 10 дней назад
Watanzania tuna kukubali sana njoo tz
@benjaminbosire3448
@benjaminbosire3448 11 дней назад
The right president of Africa. His excellency IBRAHIMU TRAORE❤❤❤❤ we are proud of this guy. 🇰🇪🥂
@user-jy9gh8zo3j
@user-jy9gh8zo3j 17 дней назад
Wana AFRIKA wenzangu tuamkeni tusiitikie tena uchaguzi wa hawa tunaowachaguwa kila siku wakati niwasaliti wa AFRIKA yetu I❤ AFRIKA❤❤
@KhadijaG-rm8fu
@KhadijaG-rm8fu 18 дней назад
Kuna muda machoz ya furaha hukutoka kwa kusikia maneno ya busara kutoka kwa kijana mdogo kama huyu mungu akulinde ewe mlomboz wa Bukinabe
@goodlucknnko5493
@goodlucknnko5493 15 дней назад
Kweli kiongozi, majizi yanajaza matumbo yao tu
@mujingakabwiza5474
@mujingakabwiza5474 19 дней назад
Allah bless him and Allah protect him from the enemy of Africa we still pray and make dua for him we want one day all African continent to be able to do things by himself Allah the way you protect Nabii Moses,Yusuf,yunus,Isa is some way we pray to protect Traoré from the enemy Ameen
@nuriaahmed9986
@nuriaahmed9986 18 дней назад
Amin
@nsabimanasuleyman2008
@nsabimanasuleyman2008 18 дней назад
Aamiiiiin
@athumankaswaga605
@athumankaswaga605 День назад
Hongera mtangazaji kwa kipaji ulichonacho cha utangazaji. Mungu bariki Rais huyo wa Afrika
@IsaacFredy
@IsaacFredy 19 дней назад
Daaaaah! Huyu mwamba Mungu amlinde.
@MkoreaMartin
@MkoreaMartin 18 дней назад
Saut ya mwana dada inayo elezea jambo la kishujaa kwa ushujaa hongera sana ukuu wa mwaAfrica
@ISSAMOHAMED-f4f
@ISSAMOHAMED-f4f 18 дней назад
Mashaallaah Mashaallaah Allaah Akulinde Kaptein
@daimonsanga6707
@daimonsanga6707 19 дней назад
Daa kivur cha mwamba magufuli Mungu akulinde mwamba
@Clever-l8v
@Clever-l8v 18 дней назад
Acha usenge
@pilimartini2530
@pilimartini2530 18 дней назад
Mungu akulinde mwamba
@antonychitara5707
@antonychitara5707 18 дней назад
​@@Clever-l8vusenge gani we mbwa kibaraka
@BarakaSagamba
@BarakaSagamba 10 дней назад
​@@Clever-l8vmsenge ni www
@omaryyasin-zs7ly
@omaryyasin-zs7ly 8 дней назад
Magufuli mtupu tz tulipoteza kiongoz sahih like ibbra😢
@ayoubjanuary6210
@ayoubjanuary6210 4 дня назад
Hongera sana Burkina Faso kwa maamuzi mazito na mazuri hakika Nawaombea Amani. Big up Rais Troure
@ayoubjanuary6210
@ayoubjanuary6210 4 дня назад
Mungu akuzidishie zaidi umri. Tunakiu ya viongozi wazalendo kama wewe, hakika Tunakuombea mema zaidi
@AdamSinkala-yh4zu
@AdamSinkala-yh4zu День назад
Mungu ampe maisha marefu,japo viongozi wa aina him hawadumu ila Kwa uweza wa aliye juu atamlinda
@SarhaSaid
@SarhaSaid 19 дней назад
Nimeipenda sana ii jamani nimelia sana 😭😭
@KhadijaG-rm8fu
@KhadijaG-rm8fu 18 дней назад
Hata man nimejikita machoz yananitoka 😭😭
@Sarah-e1o9k
@Sarah-e1o9k 14 дней назад
❤❤❤❤ewe mungu tunakuomba umlinde hyu raisi
@simonmalegesi414
@simonmalegesi414 19 дней назад
Dada upo vizuri utafika mbali sauti nzuri sana naisi raha kukusikiliza❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@ndayijeanclaude5094
@ndayijeanclaude5094 19 дней назад
Acha umalaya
@Del_busi5
@Del_busi5 19 дней назад
@@ndayijeanclaude5094😂😂😂😂😂 eti anajipendekeza 😂😂😂😂
@user-cz3vu4ws7x
@user-cz3vu4ws7x 7 дней назад
😂😂😂​@@ndayijeanclaude5094
@josephmulula440
@josephmulula440 19 дней назад
good mungu akulinde nakupenda african tuombe mungu tupate mzalendo mimi nimejitolea kujiunga na jeshi la Burkinafaso kama wakuja kunichua niko tayari niko kenya
@adimudachi7984
@adimudachi7984 16 дней назад
Namm pia nikotayari kujiunga najeshi la bukinafaso
@hamisimhenwa7082
@hamisimhenwa7082 4 дня назад
Good news Ibrahim Traore. Tunakuombea bro kwa Afrika yetu adui asikudhuru
@Kingstonbagamoyo
@Kingstonbagamoyo 11 дней назад
Big up ibra,alahu barik ,,kupigana na adui njaa ndio mfano bora African
@Imanijotham
@Imanijotham 11 дней назад
Mungu akulinde sana na akupe maisha marefu baba wa Africa na Dunia .big up
@phaustinemmao424
@phaustinemmao424 4 дня назад
Hii kz wanaweza wanaume tuuu
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 18 дней назад
We mwalimu wa neno la mungu. Huyu bibie umemtoa wapi mbona ni kisu kwa nyanja za habali❤❤❤❤❤
@dannyshilla7350
@dannyshilla7350 15 дней назад
Mungu ana watu wengi sana
@ErickMacha-sb2ot
@ErickMacha-sb2ot 12 дней назад
Shuja ibra nafurahi kwakumtanguliza MUNGU Hakika MUNGU hatakuacha
@mwasoprince3459
@mwasoprince3459 18 дней назад
Unajua nchi za afrika zinatakiwa ziendeshwe na watu waliopitia jeshi kwakuwa zipo vitani na ukoloni, hivyo kunamhitaji kiongozi anaeongoza awe na roho ngumu kukabiliana na changamoto za magharibi na kujitegemea na kushirikiana kwa waafrika wenyewe. Alafu ndo ije iungane kuwa moja baada ya kujenga misingi imara ya kujitegemea.
@FridayMwassa
@FridayMwassa 16 дней назад
Kama Uganda, Sudan na Rwanda
@esajackjack3032
@esajackjack3032 2 дня назад
Ata hapa Tanzania 🇹🇿 tukipata rais kijana itakuwa good Sana wazee wanazingua
@yusufunguruko8080
@yusufunguruko8080 15 дней назад
Traole you are ' Magufuli' the second - keep it up.
@rajabuathumani1586
@rajabuathumani1586 4 дня назад
Mpk namkumbuka jpm magufuli allah akulinde Ibrahim traole
@msafiriomary893
@msafiriomary893 19 дней назад
Natamani magufuli angekuwepo
@patrickkwibe4431
@patrickkwibe4431 18 дней назад
IBRAHIM TRAORE ni Jembe la Hayati Magufuli Mungu akulinde Baba
@AbdulYassin-dl3vi
@AbdulYassin-dl3vi 5 дней назад
Bg up young president (Ibrahim)
@PauloAlfayo-qi1gn
@PauloAlfayo-qi1gn 11 дней назад
Wtz tumeona uzalendo laiti magu angekuwepo ACHA TU mungu amweke magu mahali pema ila mungu yupo kwa mnyonge na mwenye Raha tajiri Yuko na pesa one day god,,,,,,,,,,,
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 8 дней назад
Afrika kungewaka moto mi nakuambia, hao washenzi wangetukoma
@Demongajoji
@Demongajoji День назад
Ogera..sana...mungu..akubariki
@aronindibalema4964
@aronindibalema4964 19 дней назад
Mjeda kama mjeda wajeda safi
@abubakaryabdallah4708
@abubakaryabdallah4708 5 дней назад
Chuma kingine Africa mungu anatupenda
@IsayaSchone-kt7uq
@IsayaSchone-kt7uq 3 дня назад
Jamani nimeguswa san ila Mungu isaidie Africa
@Gesunte-mn3qn
@Gesunte-mn3qn 10 дней назад
Mungu amjalie maisha marefu Jemedari Uyo Na Moyo Wakuendelea Kutupambania🎉
@SangaliPower
@SangaliPower 6 дней назад
Daah! Na broo Magufuli angekuwepo naamini wangekuwa marafiki wakubwa sana..... Lala salama Magufuli
@dicksonruaba7351
@dicksonruaba7351 9 дней назад
He make us to remember His excellence Thomas Sankara
@MugishaSaidi-r4h
@MugishaSaidi-r4h 7 дней назад
Mungu akujaliye maisha marefu nakutimiza ndoto zako kwa africa
@HajiJuma-xw7vh
@HajiJuma-xw7vh 18 дней назад
Jamaniii ni uchungu sana ssante kwa uwepo wa ukuuwa mwafrika
@IssaSenza-m7h
@IssaSenza-m7h 15 дней назад
Piga kazi bwa mdogo Kwa faida ya wananchi wako nakuku bari sana upo vyema mungu atakulipa hapa duniani na akhera mbinguni, safi sana
@ibrahimabdullah1887
@ibrahimabdullah1887 19 дней назад
🎉kazirii hadi sautii hongera
@MUMBIWAGOVENOR
@MUMBIWAGOVENOR 11 дней назад
Kijana ubalikiwe sana from 254 MUNGU akupee nguvu sana uwese kumbadilisha Africa
@BillySmart-tk1wu
@BillySmart-tk1wu 19 дней назад
❤❤❤ AFRICA CONTINENT ❤❤❤ BURKINAFASO, NIGER, MALI ❤❤❤ ✊✊✊
@helenarhobi1250
@helenarhobi1250 14 дней назад
Atakayejaribu tu kumuua Traore kufa na afe ee Mungu!
@user-yw7uu6mc3m
@user-yw7uu6mc3m 18 дней назад
Oh praise God for granted gift Bukina faso real one man can know the truth and the truth can make free all people,hallelujah praise God Traore
@EliudNtabus
@EliudNtabus 19 дней назад
Jembe la ukweli Afrika
@pascalntandu1217
@pascalntandu1217 18 дней назад
Hivi ndivyo inavyopasa kiongozi wa kiafrika azungumze na kutazama mambo kwa mtazamo huu;hongera captain traore;MUNGU akubariki na kukulinda siku zote ili kuibadili afrika yetu.
@BergesonNiyitwibutse
@BergesonNiyitwibutse 14 дней назад
Asante kwa wa panafricaniste wote. Mungu azidi kuwa na Raïs Capitaine TRAORE
@user-vi1ds6gw9g
@user-vi1ds6gw9g 7 дней назад
Daaa! huyu ndiyo mzalendo wa kweli wa Africa, wengine ni wazalendo uchwala tu!😭😭😭
@BoniphasLukas-c3c
@BoniphasLukas-c3c 12 дней назад
Dah!mungu tupe maguful mwingne bas aungane nahuyu mwamba tuwamalize hawa mabloila kubabake
@user-kx7lo2cl1s
@user-kx7lo2cl1s 13 дней назад
Always GOD be with you to fulfill your need as leader of BURKINABE
@muhidinsultan2049
@muhidinsultan2049 8 дней назад
I pray for you everyday my bro Mr president Traore Ibrahim
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 19 дней назад
Jamaa na mkubali sana
@iSsaNyamaisa
@iSsaNyamaisa 11 дней назад
mimi natamani ata leo IBLAHN aseme vijana wa africa ote mm nitakua no.1
@user-l3z
@user-l3z 15 дней назад
I love this man and I will pray for him cpct Ibrahim traor keep on
@WilliamSosiende
@WilliamSosiende 13 дней назад
Very fantastic and GOD bless Africa
@IbrahimJumaKhamis
@IbrahimJumaKhamis 5 дней назад
Viva traure vivaaaaaa Mungu akulinde nakupenda sana
@dn.n4983
@dn.n4983 19 дней назад
Hangekutana magu huyu africa ingekuwa paradise hii omba omba hatari kwelu usikubahii omba omba
@Dominant97
@Dominant97 11 дней назад
God Bless a lot of years Ibrahim,man like this is very important
@hamidabarraball3162
@hamidabarraball3162 15 дней назад
Thaore amekataa selikalii yake kununua magari ya kifahari, kanunua matrecta ili wakulima waongeze mazao nchi itoke kwenye umaskini, bongo watu wanakufa njaa wao wananunua V8,
@abduawesu9165
@abduawesu9165 18 дней назад
Huyu ndie mkombozi wetu kwa nchi za afrika IPO haja kumuonbea Dua, yaa Rabi mpe uri mrefu azidi kufanya mambo zari katika taifa lake na mataifa mengine ya afrika, iwe mfano kwa viogozi wengine wa afrika.
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 18 дней назад
Amiin
@Aksa-yk1dp
@Aksa-yk1dp 17 дней назад
Mm siamn kama yeye anaweza bila msaada.wa putin waafrka inabd tujismamie wenyewe
@user-nd6xm8tt3x
@user-nd6xm8tt3x 3 дня назад
Tanzania na sisi tunamuomba mungu tumpate kiongozi kama huyu magu ameenda tunamuomba tumpate kidume kingine
@AbdullahMwela
@AbdullahMwela 4 дня назад
Namkubali sana uyu mwamba
@SechySeche-hm6bd
@SechySeche-hm6bd 10 дней назад
Wapo wazungu wazuri pia, tuwe makini na tunachosema. Dunia ni Moja hakuna mzungu Wala mweusi. Mungu ametupa Dunia tufaidi na kila kiumbe haijalishi tunatokea upande gani mwa Dunia. Tutakua bado nyuma kifikra kama bado tutausema sana uafrika na uzungu. Tunategemea sote. Tupendane tusaidiane kama Mungu wetu anavotupenda. Mzungu angekua mchoyo sana Kuna vitu pia tusingekua navyo.Mungu tufungue akili waafrika tuache ubinafsi hatupendani ndio maana hatukuzi nchi zetu. Taore wewe ni rahisi wa Dunia. Isaidie Dunia sio afrika pekeake.
@ntakirimanaetiennesimeon7048
@ntakirimanaetiennesimeon7048 12 дней назад
Machozi inaanza telemka kabsa. Asante sister kwa usemuzi
@HansChuma
@HansChuma 19 дней назад
Rip jembe Magufuli❤❤❤
@WaziliMzamiru
@WaziliMzamiru 16 дней назад
Asante kwahotuba nzuli unapenda watu wanchi yako
@haidhautumwahawezikuisha8779
@haidhautumwahawezikuisha8779 18 дней назад
Ipo siku moja Africa tutajikomboa
@lusekelomasika9247
@lusekelomasika9247 18 дней назад
Tanzania🇹🇿 tunataka kiongozi ambaye ana vaa kombati lais katili juu ya mafidi wezi wanao usudi wazungu kama traole mungu tupemtusahihi Tanzanian🇹🇿 tulia mtumasikini Sisi ndio tunateseka asa ospitali ofice zauma mungu tupe lais katili kama mafuli
@user-ii6gs2jg4g
@user-ii6gs2jg4g 18 дней назад
Kaka we kaa utulie tu. Lia juu ya komredi pombe magufuli😭😭😭😭😭
@deohank5995
@deohank5995 16 дней назад
Kuvaa kombati tu hakutoshi Bali afanane na sifa za hilo kombati, hasa katika kiapo
@TimamAmos
@TimamAmos 7 дней назад
Magufuli watano ni Traore mmoja usicompare huyu malaika wa mungu na binadamu aliyewachoka wadhalimu waliomlea lile bunge alilopitisha kibabe Leo liko busy kupinga wananchi ile mahakama aliyoinyang'anya haki imekuwa kichekesho 😢😢
@SaidJangoli-hr7ww
@SaidJangoli-hr7ww 15 дней назад
❤Maashallah Allah awape nguvu kujikomboa
@AbuubakaryMponella
@AbuubakaryMponella 5 дней назад
Allah akutunze zahd kamanda
@siasamwita3954
@siasamwita3954 7 дней назад
Shujaa kweli kweli Mungu amlinde
@TwalibMshare
@TwalibMshare 9 дней назад
Asante mwamba ibrahm traore
@KasalambaJuma-tc8yt
@KasalambaJuma-tc8yt 18 дней назад
🫡🫡 mungu akulinde lbulahim
@festomartin6170
@festomartin6170 14 дней назад
Kumtaja Magufuli na kumlinganisha na Traore Ibrahim mnakosea sana,, Traore ni damu nyingine ya kipekee,, traore ni uhuru, demokrasia,, ukweli na uwazi
@JosephMvula-pf8uv
@JosephMvula-pf8uv 10 дней назад
Kabisaa kabsaa yani hata ukitaka kuongeaa kulinganisha tu unaona inakataaa kbsaa huyu ndo mzalendo kbsaa...mzalendo muafrica haswa
@ShedrackmartinBalama
@ShedrackmartinBalama 15 дней назад
Huyu ni magufuli kabisa Mungu amlinde❤❤❤❤
@SarhaSaid
@SarhaSaid 19 дней назад
Uyu dada awepo kila siku apa ukuu wamwaafraca jamani nimempenda bule
@itukyajumaitukya2820
@itukyajumaitukya2820 16 дней назад
😮Jamaaa arushirushi mikono kama wanasiasa
@anosmart..3596
@anosmart..3596 4 дня назад
Safi mze sumu.
@user-dh1sl1yb6x
@user-dh1sl1yb6x 18 дней назад
Maasha'allah , speedup ibrahim traore
@mosesimsalaba
@mosesimsalaba 9 дней назад
Kweli maamuzi sahihi sana
@WillbrodIsdori
@WillbrodIsdori 6 дней назад
Mungu ampiganie
@davidmalogo7100
@davidmalogo7100 19 дней назад
Nilichogundua nikwamba kumbe vijana ndo wanaleta maendeleo Iko hivi Nyerere alikuwa kijana ,mgabe alikuwakijana,samora ,tomasi Sankara jomokenyata,patris,Lumumba, nawengine wengi,walikuwa vijana kwahiyo Tanzania tusibweteke ,wapo kinampina nawengine wengi ukiangalia bungeletu linawazee wanaoongozwa na maneno kuwa wazeewalisema tubadikike watanzania tusipate haki mpakatuandamane
@MirajiMbolile
@MirajiMbolile 18 дней назад
Hiyo ni point kubwa
@ElivasslukumyaiElivassluku-w1r
@ElivasslukumyaiElivassluku-w1r 10 дней назад
Mungu akulinte baba wenye wanakuwinda washitwe kwjinalayesu
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 19 дней назад
Yaan ww dada nimekuelewa sana
@yohanafumbuka1979
@yohanafumbuka1979 10 дней назад
Kwanin wanashindwa kumuigaa jamaa ❤❤❤❤
@fitinabwashi8487
@fitinabwashi8487 19 дней назад
Mungu akulinde
@PatrickAnuna-p7b
@PatrickAnuna-p7b 8 дней назад
May God all mighty give him long life.🙏
@mamawamireille4872
@mamawamireille4872 15 дней назад
Allah akulinde in shaa Allah
@FadhiliMagana
@FadhiliMagana 17 дней назад
Mabeberu wapuuzi Sana Yaa Allah walaani na uwadhalilishe na uwaharibie kabisa
@deohank5995
@deohank5995 16 дней назад
Mabeberu si wapuuzi hata kidogo la Hasha! Mpuuzi ni mimi na wewe tunaokubali huo Upuuzi wao
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 15 дней назад
Daaaa😢😢 captain traore captain Thomas Sankara 🇧🇫 JPM
Далее
BANGLADESH | A Revolutionary Change?
14:42
Просмотров 27 тыс.
ЗАБЛУДИЛИСЬ В ТРАВЕ #shorts
00:25
Просмотров 316 тыс.
How to win a argument
9:28
Просмотров 538 тыс.
SNAKE BOY | ep 35 | SEASON TWO
30:48
Просмотров 589 тыс.