Nimeisikiliza vizuri clip ya Barahiyani ila sikufahamu chochote pamoja na jitihada yake ya kujenga hoja, shukran Sh. Haji Allah akupe tawfiq kubainisha haqi
Inna Lillah Waina Ilaihy Rajiun! Ama hakika hizi zama alizozitabiri Mtume Muhhamad Saw. Akhery zamani kukaribia kwa kiama za wenye Elimu kutukanana hadharani Subhanallah Allah Swt! Ndiye mjuzi zaidi. Bali nawanasihi enyi wenye elimu muogopeni Allah Swt! Atakwenda wauuliza kwa haya ya kutuvuruga na kutuchanganya. Haya tuwaachie nyinyi wasomi je tuwaulize wale maimamu wanne waliishije, je? Walitukanana kama mfanyavyo nyie Masheikh wa sasa?
Kasome kitabu الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز Utajua nani hajui yupo kwenye njia ya haki sisi au nyie (wahabi) ndo watu wa bidaah maana mnabidaa nying sanah 😂
Uma unazidi kupotoshwa na maneno kama haya. Soto tunakubali Allah amesema. فمن شهد منكم الشهر فليصمه. Hapa Allah ataja muandamo wa mwezi wa Ramadhaan. Hakuna ayah allah aseme Mwezi ukishikwa au juwa swalini. ! Ummah unazidi kupotoshwa.
Hiyo Aya ya Quran umeielewa vibaya tafsiri yake haisemi hivyo uwelewa wako ni mbovu nenda ukaangalie tafsiri za wanazuoni kwa makini hakuna Aya wala hadithi inayo sema mwezi ni popote na kama ipo nilete nami ni fuate
Hata mimi nakubaliana na sheikh Haji Upepo. Hawa mawahabi uelewa wao ni finyu sana. Hata hiyo katiba haimpi ruhusa yakutangaza mwezi. Katiba inaitambua bakwata kuwa ndiyo mwavuli wa taasisi zote za kiislam Tanzania. Kwamaana hiyo mufti ndo mwenye mamlaka yakutangaza mwezi. Pili hata hao watu wa falaki anaojitetea nao ujue ni watu wa falaq wa saudi Arabia. Alafu pia swala lakufata watu wa falaki ni bidaa.Atupe ushahidi lini mtume alitumia watu wa falaq kutangaza mwezi. Tatu marangapi watu wa falaq wamesema kuwa hakuna uwezekano wa mwezi lkn saudi Arabia wakatangaza mwezi na nyinyi mawahabi majahili mkafata Saudia. Mbona hamkufata watu wa falaq. Hii mawahabi ni wapotoshaji tu lkn hawajui lolote katika dini
@@zahorsuleyman3429 Kasome kitabu الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز Utajua nani hajui yupo kwenye njia ya haki sisi au nyie ndo watu wa bidaah maana mnabidaa nying sanah 😂
Maelezo ya barahiqn yanakiri kuwa wanafuata muandamo wa saudia na sio kama anavyo jitetea Ha hili la wao kuacha muandamo wa popote na kusubiria saudia ni ktk muendelezo wa miaka kadhaa sasa
Wee upepo acha kutukana mzazi wa mwenzako mbwa kama ww akonao zaid ya ww kua na kauli nzur hata kama amekosea bas ww si haki kumtukana mzee wa watu kua na adabu sw
We unasema Kwa Barhian ila mbona ata Zanzibar tumempa Suraga mia Moja anavyosema Kuna siku SHekha Suraga alisema mwezi huuonekana na siku iyo ukaonekana Kisiwa Panza PEMBA kule mbona so tulifunga na Kisiwa Panza wamekula Iddi. SHEKHE naomba nijib Swali langu je haiwezekan kua na Matlii Moja na Saudia?
Dogo upepo asaiv yuotube ukipost sana mzigo unakua mkubwa mwisho wa mwezi na ukikosoa pasipo na kusa unazid kujulikana pamoja nakua ni msiba lakin ndio hivyo
Kasome kitabu الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز Utajua nani hajui yupo kwenye njia ya haki sisi au nyie ndo watu wa bidaah maana mnabidaa nying sanah 😂
usioone raha kurecodiwa kuwa na eelim na akili alaf angalia ni nanii wakwanzaa kuzungumzaa kuhusu hilo mm ndio nakuoona ww hauna akilii kabisaa bola chiz anaee vuwa nguo mm ndio maana ww maneno ya barahiaan hayaangi akilini jiulize kwanza akilii unazoo mpaka yaingiee haunaa akilii wwndio maaana hayaingii😊
Kasome kitabu الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز Utajua nani hajui yupo kwenye njia ya haki sisi au nyie ndo watu wa bidaah maana mnabidaa nying sanah 😂
,kiongozi ndie huyo kazi zulma kawadhulumu yatima WA said janjira na kuwafungia hospitali ya shifaa mpaka eatatu kuna machine tena na kumpeleka mjane mamahakani mama yao na kushinda kesi kwa katika mazingira ya kutatanisha Allah yupo. ,
Kasome kitabu الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز Utajua nani hajui yupo kwenye njia ya haki sisi au nyie ndo watu wa bidaah maana mnabidaa nying sanah 😂
Kiukweli hata mie niliposikia hotuba ya Barahiyani baada ya swala ya Iddi nilichukia sana, nkahisi km vile nimepanic, nkajiuliza huyu mzee mbona km vile anapotosha waislam kwa makusudi, mara nyengne waweza kudhani anafadhiliwa kweli na Mayahudi km wasemavyo baadhi ya watu. Lakini pamoja na hivyo Sh Haji ulipaswa ujikaze kiume na umwelekeze kwa busara pasi na kumpa maneno makali, kauli ulizotumia ni nzito sana kwa kweli.
Kasome kitabu الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز Utajua nani hajui yupo kwenye njia ya haki sisi au nyie ndo watu wa bidaah maana mnabidaa nying sanah 😂
Yaani hili jibwa BARAHIANI juha kweli kweli, mara TANZANIAN nchi ya KIKAFIRI inaongozwa na wakiristo, akisha anafata katiba ya hao wakiristo na anajisifia nafsi yake kufuata wakiristo na kuacha muongozo wa Uislamu. 😂😂😂HUYU NDIO SHEKH WA SUNNA BWAN ZA KIWAHABIA UYAHUDI, SUNNA ZA IBILISI KABISA. SAFI SANA IBILISI BARAHIANI
MUNGU hamfichi mnaafiqi,hawa Mawahabi sasa wanaonekana wazi kua wao ni wapotofu,wanahangaikia dunia,machizi zaidi ni wale wanamfuata huyu Mzee,yaani watu na mijiremba yao ati wanamskikiliza bila hata kumhoji, kwamba;Si tunafunga na kufungua kwa Mwezi wa kimataifa?
Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake lkn huyu naona yeye ana kipara kabisaaaa!alimuearidi na yeye asema akili zake zimeshikiliwa na mshipa wa haja kubwaaaa!
Mm naomba nikuulize swali mwalimu sisi wote tunakubaliana kuwa suala lamwezi ahlu ilmu wametofautiana je kati ya kauli isemayo kila mji ufunge na mwezi wake nakauli nyingine mwezi ukionekana popote watu wote wafunge swali kwako je kati yakauli yenye nguvu???swali lapili je mtu akikosea katika masiala ya dini unaruhusiwa kumuweka sawa au sheria inaruhusu pia kumvunjia heshima,naomba majibu
Mm nakujibu Habib haya ya kuekana sawa yalikuja kuanzia kwenu watu wa ujanja mwingi na kudai mumesoma na hamuezi kuchambua vitabu na muliliona ni sawa kuchafua watu Leo nao Hawa wanajitetea ndo munajiliza na kujifanya wanyonge na mnajua sheria😂😂😂?
Ustadh Haji hatukani mtu bali anatoa funzo na ufafanuzi wa nini dini inataka kufuatwa kwani kwenye jambo lolote la ibada kama sikosei kuna muongozo maalumu, mfano kuna tartibu, sharti nk ndipo ibada ikamilike na sio kukurupuka tu kama baadhi yetu tunavyofanya na kuleta kichwa ngumu tu na hii ni kawaida ya watu kama sheikh wetu huyu kwani ukishakujifanya unajua hata akikosea anakuwa mgumu kurekebishika
Nilipo fika sitend kuu mbezi nasikia takbira mfti anatangazi kesho iddi hamadi kundi lawatu kama nanne 8 wanapatwa na mshaangao huyu muft kachanganyikiwa ? Yaani sisi tule sikukuu wakati wao hua wananza sisi tunafatia sikuavumilia nikawajibu kwani? Lazima mumufate muft endeleeni kufunga, Sasa wanao msapoti huyu aso tahiliwa na wazazi wake asubili kutahiliwa muhimbili pumbavu
Sasa bakwata kuna shekh yeyote alisoma kweli naona pale felia kumfundisha felia yana mwanafunzi aliefeli kumpeleka madrasa akiwa shekh anasubiria aliefeli mwanzake amfundishe
Kwani umeambiwa ahlu Sunna wakipata taarifa ya kukamatwa jua au mwezi sehemu yyt duniani hapohapo wanaelekea misikitini na mm ni mmoja wapo,kwahio mlitaka pia ukamatwe tanzania?😂 Utangojea sana, hili ni jibu mnajijibu,ikiwa mnasali Sala ya jua au mwezi na kimataifa basi mwandamo mlikuw hamna haja mpk muone hapa au msisali Tena kusuf na khusuf mpk uje kamatwa tanzania,swala hii mwaweza kaa miaka 80 hajawahi kuiswali,
Wew kijana mwezi wa kimataifa umesemwa hata na maimamu wakubwa, imamu malik ahamd bin Anbali na Abu hanifa takapo ingia katika mji wowote miji mingine inaruhusiwa kufunga,sasa mbona mnaiga kelele na kama ninyi mmeona mfunge wauandamo wa nchi mnasumbuka nin na wahabb semeni kama mnawatukana wanazuoni hawa maimamu wakubwa wa 4 walosema hivyo,jahil huyu mpotoshaji watu
kasome kauli za wanazuoon kuhusu hilo km jambo lina ikhtilaaf kaliaanzisha barahiaani ww achakupotosha utaulizwa kwa allah ww sio shekh ww ni umevaa kofia muhunii hauna akilii
Kasome kitabu الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز Utajua nani hajui yupo kwenye njia ya haki sisi au nyie ndo watu wa bidaah maana mnabidaa nying sanah 😂
Kasome kitabu الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز Utajua nani hajui yupo kwenye njia ya haki sisi au nyie ndo watu wa bidaah maana mnabidaa nying sanah 😂
Weee harfani mchungaji vipi? Wavamia maada za wislam hahawani mula nguruwe vipi? Wamtusi shkh wetu kwani mtu kuzungumzia katiba haram? kwani hujui nchi hii inaongozwa na kariba Ukome kama ulivyo koma kunyonya ziwa la mama yako
Kasome kitabu الإيجاز في بعض ما اختلف فيه الألباني وابن عثيمين وابن باز Utajua nani hajui yupo kwenye njia ya haki sisi au nyie ndo watu wa bidaah maana mnabidaa nying sanah 😂
Wewe nikichaaaa suura kama ust........lakin unaongelea Mambo ya machiziiii Sasa jua kupatwa ni swala ya sunnat !!!!!! Mwezi ukiandama niswala la funga ambayo ni faradhi ....au kufungua iidi ambayo ambayo ni faradhiii mana lazimatu ufungue Sasa vichaaa nyie .....na wamponheza sababu ni chiziii mwenzako....
Tumekusikia maalim ila lugha unayotumia Kwa huyo shekh sio sawa ktk maadili ya uislm Kauli ya kusema et balahiyani Hana aqili hili halipo sawa au una DALILI ya Hilo ? Au yeye alikutaja na akakutoa aqili ? Kuwa na heshma naue na nidham Kwa watu wazima pambaneni kwenye hoja tu nasio kuondosheana heshima acha CHUKI binafsika
Mawahabi hata kama utawafahamisha jambo la haki na ikawa wamefaham bado wahabi atapinga, sijui uwelewa wao ni mdogo au ni kutokusoma wallah ;kuwa Wahabi ni mtihan wahabi ni pote la kukufurisha waislam tu
Kwanza usile kiapo pasipo naushahidi wakutosha akhy hii nidini,swali lamsingi kwako katika mada aloongea ustadhi haji je haki iko wapi naupotevu uko wapi kwamujibu wavitabu,,,swali lapili umesema mawahabi kazi yao nikukufurisha tu swali liko hapa kwanza nani mwnye mamlaka yakumkufurisha mtu na lingine nimambo mangapi mtu anatakiwa kuyajua kabla yakumkufurisha mtu naomba majibu naamini umesoma akhy mana umesema mawahabi hawana elim naomba faida yakielmu
,Kwanza huyo barahiyani kashika msahafu mwezi Ramadhan I kuapa uongo kawadhulumu mayatima marhum said janjira na kumfungulia mamkumsimamisha mahakama I kuwa NI mvamizi Allah atamzalilisha hapa duniani kesho akhera lnshaalahyao mjane kumsim