@@sama-_8368 pote la kiyahudi mbona mashekhe zenu wanakwenda kuomba mayet za masharifu makaburini ile nini so shirki na shirki ukafiri au si ukafiri unatuhumu wahabi wakati ulipo uozo mtupu wale waabudiao makaburi bila shaka wamekufuru sasa mashekhe zenu wanatafuta baraka na kusujudia makaburi wazi wazi minnna video hapa lete ni za watssap nikurushie uone ujinga wa masufi
ALLAH AKUPE AFYA NNJEMA UMRI TWAWIL TUZIDI KUFAIDIKA NA MAWAIDHA YAKO MAZURI NA YAKWELI NA YASIYO NA USHABIKI WA DINI BALI UNAELIMISHA PALE PENYE UONGO ZIDI YA DINI YETU YA KIISLAM ALLAH AWAONGOZE WALIO POTEZWA NA MAWAHABI ALLAH ATUJAALIYE MASHIKAMANO KATIKA DINI YETU YA UISLAM NA ATULINDE NA MAFASIKI AMIN
Toka lini wahabi akamuelewa khurafi jitu la bidaa ah ah ah yani mtu aache hakki awafate ninyi watu wa batwil subutu mnajisumbua bure kila kukicha watu wanaielewa sunnah kufeni na mabidaa yenu
@@user-yj5on8cz3eHaha hawa Mawahabi ni walevi wa gongo nini mbona hawaelewki. Eti wanadai itikdai yao ya mungu kuchoka ndo itikadi ya haki.really? Hivi mnaakili timamu
@@abiabi9353 kasome kwani dini ndo utukane watu unatukana watu wakati msingi wako mwenyewe ni batwil hujui unajiona uko sawa msomi awezi kuwa jisufi jitu la kuabudia makaburi na kuzusha bidaa na watu wa bidaa wote sura zenu Allah kazitowa nuru wachunguze sana wazushi utagundua sura zao awana nuru kabisa we hujui kitu katika huo usufi unaenda tuuh kusubil maulidi upige twari ule pilau ushushie na maji ukalale usufi ni upumbavu kabisa mnaoita mabarabarani na bendela zenu mnazikiri za kukohowa zile kama waganga wa kienyeji wanaita majini vile huu huhuu uliona wapi kumtaja mungu kunguruma wengine wanadondoka chini masheitwani yanawapanda kichwani nini ww yani ujinga umejaa huko sema mungu akuongoze na sisi tulikuwa kama ww tukaona mbona tunafanya ujinga atimae tumekomboka kutoka huko guzani
Mashalla sheikh tunaelimika tunazidi kuielewa dini mpya tawi la ukatoliki tatizo lao kubwa kunukuu sio fani ndio maana wana lalamika unatukana wanavyuoni
Ww muulize kiongozi wako na mashekh zako wanaomba mayt za masharifu makaburini mbona husemi kuwa tunakufuru jamani saasa ikiwa shekhe lako la kisufi anasimama mtu anakwambia tunaomba aya na hadithi inayokataza kuwaomba mayt si manake ni halali kwenu kuomba makaburini na kusujudu kabisa asixee masufi mmepotea xana na mnadanganywa sana ila mtawalaumu viongozi wenu ndo wanaowazuilia na njia ya hakki sabu siku ya kiama kuna makundi yataadhibiwa na watu watawalaumu viongozi wao ikiwa ninyi ndo mlitupoteza nao watawaridishia nyie nanyi mlitufata wenyewe kuwa makini sufi upo kizani xana hujui hilo
Mbona shekhe zenu wanaenda kusujudia makaburi ya masharifu wanasema hatuombi tunatafuta baraka kutafuta baraka kwa mayt alooza so kwa Allah ile nini shirki au so shirki unaongizwa na watu wanaoomba makaburi bado unajiona upo katika usalama uko ulipo shirki ni ukafiri au si ukafiri na kama shekhe wanao muongoza ww je mfuasi utakuwa katika kundi gani ikiwa waongoza kundi wanafanya shirki
@@HashimSalim-qj7zn mawahabi ni majahili kwanza hawajui lugha, pili hawajui hata aya na hadith zinavyotafsiriwa.wao naakili zao fupi hudhani Allah anaweza kuwa na viungo pamoja nakuwa aya chungu nziwa zimepinga hilo. Lkn mawahabi ni majahilun murakabun, sumun bukumun.
@@AbdulLiumbo-gz2qs tubia kwa mola wako kabla hujafa maana ujitambui ulisemalo kama mtu anamfata mtume muhammadi na kutamkubali Allah anakuwa kafiri basi inamaana mtume akufundisha ukristo?? Kumbe hujitambui kaa chini usome dini kibri na jeuri havitokusaidia kitu, kufata mikumbo kubaya sana
@@AbdulLiumbo-gz2qs hata kujuwa misingi inayomtoa mtu kwenye uislamu hujui unajifanya ww mkufurishaji watu hata nikikuuliza lete mambo makubwa mawili yanayomtoa mtu katika uislamu hujui na usikute hata kuswali kwenye huswali unakufurusha watu we unajuwa mwisho wako utaenda wapi? Au kundi ulilopo ni sahihi au so sahihi ikiwa unamtukana akawa sahihi na ww hukawa kwenye batwil utaenda kueleza nini kwa mola wako shibe na pumzi ndo vinavyo kuhadaa ww huna khofu na allah na usihukumu jambo isipokuwa na ilmu nalo usije ukumiwa ww maana kaburi letu sote mauty yetu sote tumepishana muda na saaa usiishi kana kwamba utaishi milele ishi kana kwamba ntaondoka muda wowote na ntaenda ulizwa umejipa unabii au uungu kukufurisha waislamu mche allah na utubu kwa tamko lako la kifezuli
@@IbraFareed umevaa kofia na kanzu utasemwa mwislamu kweli kumbe ni jahli katika majahil mpk leo hujui maana ya kaafiri mbona shekhe wako wa kisufi anaendaa makaburini kuoomba maiyt za masharifu na kusujudia mfu mbona huulizi ni ibada gani hiyo makubuli ni halali yenu kuyasujudia twarika mmepotea sana na hamtoiona hakki sabu mmefata matamanio ya nafsi zenu kuliko hakki
Huwezi jua akidi ya ahal sunna mpaka ukae chini usomeshwe kwanza hii nimanihaj ya elimu rejea Kafka kitabu kiitwacho lumu-atul itqaad soma kikosoe ruhsa unapewa usilete falsafa katika dini ya Allah akhy
Ndugu,maneno yako unayo zungumza hayana rutba yoyote bali unazungumza kwa chuki nakuto kujuwa ila tambua kuwa wewe umepotea zaidi kuliko mzee wa upako.
HAJI UPEPO SIJUI UMEKWAMA WAPI MAANA UNACHOKISEMA HAKIINGII AKILINI KWA WENYE AKILI ILA NDIO MTIHANI ULIO NAO MPAKA SASA PADO HUJAIJUA HAKI PAMOJA NA KUSHIKA KWAKO VITABU
Huyu hata lugha pia ni tabu, neno Akaffu na khairun maana yake ni moja? Kwa hiyo mkono Allah haja jithibitishia? Alipo sema لما خلقت بيدي. Alie mthibitishia ni nani? Wewe Kweli ni upepo
ila me niulizu kwa iyo shekh umesomea ivo tuu kukosowa watu au maana xjawahi ona labda una darsa za tafsir qur an n mambo mengine wew ndo ivoo tu xjaona adii sasa kama unamtangaza ALLAH au unafanya daawa yani ww umekuwa kama mchonganishi wa uislamu wallah
@@IbraFareed hujui kmitu ungekuwa umesoma usingemuityaa mwislamu kafiri ukiona mtu anaita watu ovyo ovyo ni katika khawwriji sasa usikute na kwenye hilo kundi na ww umo
@@IbraFareed ww jitu la bidaa, kasubili wali wa khitima hakuna unachojuwa zaidi ya uzushi, ukifatilia sana ahlu bidaa sura zenu zinakosa nuru kwa kule kuzusha zusha urongo, mtu anakunywa makohozi ya shekhe lake eti anapewa kalama subbuhanna llah, ndo imamu shafi alisema mtu kuingia katika usufi haifiki asubuhi ashakuwa mpumbavu, hamna akili nyote na upepo wenu huyo ilmu za michungwani nani ndo atamsikiliza zaidi watu wapumbavu wenzie, ndomana watu wanakipuuza hawakijibu wanachukulia hana akili sawa sawa. Hivi uliona mbwa kichaa akabweka na ww ukamfukuza nani ataonekana kichaa mtasemaa wee kila siku watu wanajijuwa sunnah wanakimbia huko wanawaacha na misikiti yenu yenye makaburi ndani.
Ni kweli jamaa kasimea kukosowa tuu Wala hajifaham hamtangazi ALLAH Wala hamrish kher na kukataza shari yeye ni mgombanish wa uislam hafai na Hana elmu kwa kweli kasimea umbea@@IbraFareed
Hebu watu wasome tareikh Azhar shariff inazaidi ya miaka 1000 na jamia za Saudia labda miaka 300 saudia ilipopata mafuta ndipo walipojenga hizo jamia zao walimu na masheikh walitoka masri kuja kusomesha huyo sheikh wakiwahabi ni mpuzi.
Kwa iyo inamaana wew ndo msomi na kila kitu unajuwa maana ndo kazi yako kukosowa tuu unachekesha xana broo amini na huna ata sifa za ushekh hadi mashekh wa makka umewakosowa wew nd unajuwa zaid yao 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hatr yani ww mwamba xjuw ata umesoma wapi
@@mhusinigau3231 hata iweje ila hicho kitoto kimezidi kila kit kinajifanya kinajua kinatukana maulamaa wakt hata robo ya elimu yao hajaifikia wanachuon wakubwa woote wazama zetu ameshawatukana yeye km anajiona anajua naaombe niqashi halafu ndy atajijua nafas yake
Unajua kwanini Shekh alisema vile? Hebu tuambie jee kuwa mwisilamu ndio kusema umekamilika huna mapungufu au hutendi dhambi? Jee Saud Arabia kuwa nchi tukufu inapoenda Kinyume na uislam na Quran jee tuifuate tu kisa ni nchi tukufu? Kwani hujui unaweza kuwa unaswali lakini bado ni mwizi au mzinzi? Jee ukiwa hivyo wewe utakuwa mwislam au sio? Jee unajua kwanini kuna tofauti ya mwislam na muumini? Jee mtume MUHAMMAD S. A. W aliwahi kutuamrisha tufuate ufalme wa Saudia au ariamlisha tufuate misingi sahihi ya uislam? Jamaica kuwa bora maana yake kwanza sio nchi ya kiislam lakini uislam unasauti na waislam na mashekh wanaheshima kuliko Saud Arabia hio ndio ilikuwa maana ya shekh Izzudini. Angalia saivi Saud Arabia hadi pombe wanauza na mashekh hawana nguvu zaidi ya ufalme wenye nasaba za kizungu na Israel.