tuache upuuzi tunafahamu wazi wazi kama wema mnafiki tu anajua toka mapema kama ccm sio ila alitaka maslahi yake leo wamemtenda ndo kaja upinzani mimi nilitaka afungwe jela asa sipendi kumuona mtu maarufu anazidi kukandamiza maskin kwa kutetea maslahi yake
Raisi ashasema atasafisha chama hataki wanafki aende na hawa plan zao ni 0 Yan kisa ana fans basi tumfate popote akiingia kwny kisima na ss tuingie nooo bla bla staki kusikia
😂😂😂😂 eti yenu huikumbuki unai kumbuka ya CCM mama ongea na mwanao ndugu zangu CCM chini ya Rais Magufuli 2020 ni zaidi ya#kimbunga na huyo wema kabla ya 2018 ataludi CCM mtakuja kunambia mimi ni KINGALU au TEKELO wa Nyanyiko😂😂😂😂😂 chezea JPM nchi tayari ishanyooka
nashauri chadema mtoe Maelezo kuhusu tuhumaa za wema bangi au unga sijasema nimuuza unga au bangi hixo nituhuma tu ambazo mahakama itatoa haki lkn chadema hili mnalionaje? napia tinajua rafu za makonda za kutaja majina ya watu hadharani tunajua ni udharirishaji na kuchafua majina ya watu lkn tayari jina LA wema limechafuliwa mnasemaje?
upinza wnzenu kenye n kushawishi maendele nyinyi n kufata wanawake kwwnye manyumba kweli chadema ovyoooo ovyooooo siasa c vishindwa vya sakafun chama cha bangi