Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.... Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Na music siku hizi sio kuimba tu wala ku entertain tu. Unahitaji vyote, Diamond anaimba kiasi na ana entertain. Kama Burna boy, Davido wote hawana vocal na kipaji kikubwa cha kuimba ila watikisa dunia.
Tutajie ukumbi uje unone alipiga show kwenye vibanda uiza, .Mwaka juzi Hamornize alipiga kwenye bar (Gwambina) Milton Keynes kwenye page yake ya insta kaandika kwa madaa
Master J anashindwa kusema pia sababu nyingine ya wale kujaza ni population Yao iko kubwa sana all over the world. Na wanajua kusupport sasa yeye mtu Kama yeye kutwa kuwasema support yake iko wapi? Wale watu wana sapotiana bwana
Alaf masta jey kila siku kashika 02 arena 02 arena kama anashindwa kusaidia nini kifanyike aache kuwasema Sema wasanii wetu bana maana ata kama hawawezi kujaza apo walipo fika tu sihaba kulinganisha na walipo toka na isitoshe naijeria kuna wasanii wengi Ila sio wote wenye uwezo wakuijaza iyo arena
Master Jay anakisema kina ukweli, hawa jamaa wakitaka kufika International wanatakiwa ku convince wadau yaani Mapromoter ili waweze kupiga katika hizo kumbi kubwa. Hao kina Burna na Davido hawajipeleki wenyewe wanapelekwa sababu wanaowapeleka wanajua watapata RETURN nzuri kwenye hizo show. Gharama ya kukodi O2 ni kati Pauni yaUigereza laki 2 mpaka laki 5 kwa siku
@@fredylucas2484 yeye master jay Ana kazi ya kulaumu tu na kama mdau na mtayarishaji mkubwa kwenye tasnia hii ya bongo fleva ilitakiwa naye awe mstari wa mbele kudaidia japo ki mawazo ilala yeye ndio wa kwanza kulaumu tu hajaanza na leo hizi lawama mara wakajaze arena mara hawajui hiki Mara kile imetosha sasa tunataka tuone ana wasaidiaje maana kuna ambao hawajui ata pa kuanzia na kuna wanaojitahidi lakini kila uchwao tuna wapiga vita kutaka waje chini
Nigeria Wana mtaji mkubwa wa watu , watz tuko wachache Sanaa UK. UK Kila dakika kumi huwezi kosa kutana na mnigeria, nimekaa UK kuonana na mtz ni Bahati Sanaa labda awe ndugu yako ndio utamuona ,lakin wanaigeria Kila siku huku wana sherehe mara birthday mara harusi , wana makanisa Yao piaa na ni matajiri pia. Garage nyingi za wanaigeria.sasa sisi ni ngumu kushindana na hao watu. Ni SAWA ushindanishe mwanamuziki mjeruman na marekani ni vitu viwili tofauti.
Acheni utimu j alichoongea ni kweli mara ngap mond or mmakonde wanatoa oroza za shoo zake za nje za mwezi mzima lkn baada ya wiki unakuta kasharud bongo
Yani huu ni ukweli LIVE! Kutoa opinion mi naweza kusema hao kina diamond, I'm.sorry but they are not ambitious enough. They don't want huo huuinternational as much as they say it. There happy where they at..
wapo wajinga wata mpinga Master jay ila anachoki ongeya ni ukweli ,huyu ni moja wa nguli miongoni mwa nguli walivyo simamisha bongo anajuwa vizuri anacho ki ongeya huyu kwenye muziki ni genius.mtazamo wa mkongomani anaye penda bongo fleva.