Daaah huyu mzee anaongea point kinoma na anaumia sana na yanga na kuna sehemu nimemnot vizuri anasema wachezaji wanatoka nchi nyingine na club zingine wakiwa wazuri kwanini wakifika yanga wanashindwa kufanya vizuriii 🤣🤣🤣 hawa ndo wazee wa mji na wanaijua dunia vizuriiii viongozi wamsikilize ana kitu
Mzee kawaka sema nimemuelewa ila anaonekana ni kamati sna na leo nimeamin yanga kufunga Simba mpaka hola hola mzee kafunguka..hiyo tarehe 8 Kama vipii kipigwee tuuu
Nasikia sauti kama tatu mpaka nne kutoka katika mazungumzo ya huyu Mzee. Mi nadhani timu imuangalie vizuri maana huyu nahisi ni msemaji wa timu. Ajengewe nyumba na atafutiwe Benz au hammer nakusudia ni aina flani ya Magari ambayo ni ghali ili aweze kutembelea. Mzee big upppp..