Jaman hakuna mwanadamu alie perfect, tunakubali Ruto alikosea kama ambavyo na sosi sote kwenye nafasi zetu za kazi venye huwa tunakosea. Sasa demonstration imetosha maana Ruto kishakubari kiwachana na hii financial bill ,now mumpatie tena nafasi afanye kazi na wakenya wengine nao wafanye kazi pia. Ujumbe kishaupata na amewaelewa . Peaneni nafasi sasa Ruto ajirekebishe.
Ruto baada ya kutangaza kujiunga nato tuu ndio mambo yameibuka hivi hajui kenya waliandamana hawawataki mashoga mwezi uliopita tuu au ruto alikuwa amekufa kipindi hicho!!!maana mengine ni sababu tuu ila tatzo ni kujiunga na mabeberu na mashoga katka nchi ya watu walioamka zamani haya kayataka mwenyewe
Mtatafuna mawe. uchumi mmeuzorotesha wenyewe. Ruto amekaa mwaka mmoja mnataka awamwagie pesa. Mlimuacha Uhuru na odinga. Mnamtoa Ruto kafara kwenye dhambi ya wenzake.