Wimbo nimeukumbuka badaa ya Mpenzi wangu kumpenda sana tumeishi kama miezi sita badae nikajuwa Mpenzi wangu anaumwa ndpo akanipa habari kuwa wazazi wake ndyo waliomuambukiza nililia kama mtoto mdogo maana nilikuwa na malengo nae 😭😭😭😭
Aksante kwa ku like komenti yangu, nilikuwa na mahanisha kwamba kila kijana ambaye alizaliwa wakati ule , kuanzia 2000 mpka sasa. Bongo tuna fanya vizuri saana tujiamini ndugu zangu.