Huu wimbo unanikumbusha nikiwa UDSM baada ya kujisomea Sana pale SR 12 mwalimu Nyerere Campus nilikuwaga nausikilizaga Sana kurefresh kabla ya kurudi Tena kupitia Madesa
bongo freva ya sasa wanaluka luka tu wanacho kiimba ata akionekani mastaa kibao tu wenye nyimbo Kali wamepotea sio vumi pekeake tu sasa sijui tatizo ni kuzeeka au na kama nikuzeeka basi ndio tatizo waige basi mfano wa bi kidude mbona kaimba mwanzo mwisho mziki mzuri na watu bado walikuwa wanamkubali vumi rudi kwenye gemu bana
Binadamu wametumia umaskini Wang kuniharibia ndoa ya mwanamke ambaye ckuwah fikiria cku moja kuwa angeilazimisha talaka ndugu dunia hii ina watu wabaya sana😢😢ckuwah mfanyia mtu baya lolote wallah
Naam daaa nkmbkaga mbali sana,,huyu Dada duu npo xkulii enz hizo,,,,kila ikifka moni SAA kumi na moja na nusu hua inapgwa kwenye redio Tanzania ,,,kipind cha kombola bas daaaa
Huu wimbo wakt unatok nilikuwa mdogo sikujua kuwa unamaanisha nin sasa nimekuwa naelewa haya nausikiliza kil dk najua ulimanisha nini 😥😥😥2018 im stil watching this song
Roho yangu haina Amani me ni wa kulia mda wrote lakn kama mungu ni wetu sote wallah namuachia mungu cjui maumivu haya yataisha lini kwangu maana ukweli nateseka waungwana
Mm binafc cna lakusema kuhusu hii nyimbo huwa naickiliza kila cku ukiniuliza kwnn cjui kama nitakujibu nn zaidi yakukuambia kuwa naipenda sana hii nyimbo
Dear dada Vumi, By the time thic song was relised I was a little bit young na I loved sana hii nyimbo. Cku si nyingi nilikumbuka hii nyimbo then I had to search for it na naisikiliza more and more times. Dada rudi Kipaji chako n kikubwa sana.
Nyimbo zenye maadili ndio kama hizi umepotea wapi dada rudi tumechoka na wasiona maadili "eti ndo nini kinyama kulumagia au nikuchumie tembele" tafadhari rudi jaman mrudi jaman #mwasiti, vumi,mahunda zorro