Kindiki ana nafasi ndogo sana kabila lake ni dogo sana ndani ya Mt.Kenya .!! Wapo Irungu Kang'ata na Ndindi Nyoro au Waiguru Anne hawa ndio wakikuyu halisi.
Salim kikeke ,wewe ni mtangazaji nguli nakukubali ila jitahidi kupunguza kugugaguga yaani unalazimisha kigugumizi kuvutavuta maneno Yani ni kama unakatikakatika kwenye maneno, other wise tu akupata na tunafuatilia crown sana
Eti kila mitu Kenya ni fisadi?What about Tanzania?The thing is Kenya is a free democracy that's why you are free to see and discuss what is happening there openly.In Tanzania you can not discuss this things openly.Try talking about CCM and CHADEMA.You should appreciate that Kenya ni mfano mzuri on democracy in Africa.
Wala hawajafuta Sheria coz huwezi kufanya impeachment na huku muhusika hayupo na ili hali pia kwa mujibu wa katiba yao kulikuwa na extension period hadi jumamosi...
Gachagua kiburi imemponza.!! Tatizo hakujua kama alitakiwa kubadili aina za siasa zake anapokua DP ,lakini ujio wa Baba Odinga serikalini ndio mwiba zaidi kwake .. Baba ni mwanasiasa nguli na katili linapokuja suala la siasa za Kenya .!! Ile mitego aliyomwekea Odinga imemnasa mwenyewe sasa. Riggy G alitakiwa kutumia busara ya hali ya juu baada ya ujio wa BABA.!!
Mwisho wa siku yote hayo ayaisaidii Kenya... Mnakalia kwenye siasa kuliko kujenga nchi... Naicho ndo Magufuli alikiona Tanzania na kukibadili... Watu wana focus kwenye siasa kuliko kujenga nchi..