Тёмный

KIBOKO YA SEMINARI 

Joti TV
Подписаться 1,1 млн
Просмотров 512 тыс.
50% 1

Kwa kweli hakufukuzae hakwambii toka,ila utaonyeshwa kila staili ndio utajua utakiwi yaani unafukuzwa kiroho (Seminari balaa)

Опубликовано:

 

6 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 622   
@michaelmafuru5842
@michaelmafuru5842 2 года назад
Aliyeona style aliyoingia nayo joti na masela wake wakati wanaingia kula bonyeza like kama umeikubali hiyo style 😀
@abdullatifkhamis9943
@abdullatifkhamis9943 2 года назад
Tom and Jerry come on boys hhhhhhh
@nyangesaidi5792
@nyangesaidi5792 2 года назад
Genius
@malenagain
@malenagain 2 года назад
oi
@sultanmsoloni8635
@sultanmsoloni8635 2 года назад
Mandonga style
@rukkysayid6613
@rukkysayid6613 2 года назад
@@abdullatifkhamis9943 🤣🤣🤣na mie nisema hivo hivo🤣🤣🤣
@saidimussa8128
@saidimussa8128 Год назад
Ila kiukweli Huyu mama naye amecheza vzr mno !! 🌹🌹🌹
@ahmadsaid4878
@ahmadsaid4878 2 года назад
Nishai utabadilisha wafanya kaz wote dunia nzima ila kamwe haitakuja kutokea Team Kipande,sopa,mlewa,kisnai,mama dame,Bleina,mjomba
@hamisimalaika9234
@hamisimalaika9234 2 года назад
io team ilkua nzur sana ase! kipande namkubal sana
@christonchristian7448
@christonchristian7448 2 года назад
akina sopa ni motooo
@arnhemzuid8885
@arnhemzuid8885 2 года назад
Mwamba
@emmalyanga3726
@emmalyanga3726 2 года назад
Wanamishe gani kina sopa na kipande siku hizi?
@annemoureen6676
@annemoureen6676 2 года назад
Ilikuwa n hatari akna sopa na kipande
@janeongala6684
@janeongala6684 2 года назад
Nampenda sana uyu bibi kabuya anajua kuigiza sana 😂😂😂😂 alivyo wachamba ao wakaka
@michaelkinyaha4299
@michaelkinyaha4299 2 года назад
Kuwachamba ndo kujua kuigiza
@nigamo9645
@nigamo9645 2 года назад
Hata jua kali yupo vizuri hatar
@linahsemindu4261
@linahsemindu4261 2 года назад
Bibi yupo kwenye muv y jua Kali hatar wamekutana n mwehu mwenzie yule Bibi 😆😆
@hamismahmood
@hamismahmood 2 года назад
bi kabuya au bi kauye my dear
@uvuvweweonyetenyevwe1348
@uvuvweweonyetenyevwe1348 2 года назад
Huyo ukitaka kumfaid akutune na kurya boy
@finah791
@finah791 2 года назад
Huyu mmama anaweza...kwenye juakali pia yupo😍😅
@noadiayae1035
@noadiayae1035 2 года назад
Kumbe
@annamahenge5162
@annamahenge5162 2 года назад
Siku ya kwanza nilicheka sana walivochambana na mama semeni😂😂
@merrysimon9587
@merrysimon9587 Год назад
Mama iddiiiii
@youngdady6149
@youngdady6149 2 года назад
jaman hii stayle ya joti anavyoingia ndani na masela wke kula mpunga kwa kweli 😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nmeshindwa kuvumilia
@georgeburchard4872
@georgeburchard4872 2 года назад
Mama Iddi wa jua Kali! 😂😂😂 Mama anajua Sana huyu
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila uyu mama ana moto hatari..
@Mtituboy
@Mtituboy 2 года назад
Huyo mama ni the best comedian ,,,joti don't loose that talent
@pmall8867
@pmall8867 2 года назад
Hawa Wana Banda Hawa...Atakuw Ashib Kaka Ako😂😂😂
@mary2615
@mary2615 2 года назад
Superb 😉💕👍🏻
@joshuantagala2872
@joshuantagala2872 2 года назад
HUYU MAZA ANAKELELE SANA ANAZINGUA ANAONDOA UHALISIA KUNA VITU ANAFANYA HAVINA UHALISIA
@hamisimalaika9234
@hamisimalaika9234 2 года назад
kwel ase
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 2 года назад
Yes ni kweelii aache kupiga makelele yaanii anatumia nguvu nyingi duuuuh
@lydiacharles5966
@lydiacharles5966 2 года назад
Huyu mama Yuko vizuri bhana yanakula kam majibwa😂😂😂😂🤣🤣🤣
@izo07nyoni40
@izo07nyoni40 2 года назад
Maza uKo vizuri kelele apnguze
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 года назад
Nimecheka kifala sana asubui hii😄😄😄😄😄😄make my day good 😃😃😃.
@malenagain
@malenagain 2 года назад
oi
@mahmoudaziz4717
@mahmoudaziz4717 2 года назад
@@malenagain oi
@hermescash9463
@hermescash9463 2 года назад
"Umeenda kumuita Nishai au Manishai" 😂😂😂 huyu mama Kibokoooo
@samwelshilungu4370
@samwelshilungu4370 2 года назад
Huyu mama nimempendea kwenye jua Kali, amekuwa kiboko ya mama semeni.
@faustadonasian2777
@faustadonasian2777 2 года назад
Sana yaani
@hosianakibona659
@hosianakibona659 2 года назад
@@faustadonasian2777 huyu mama ndo komesha kabisa kwa Ashura Nongwa
@adetaurus
@adetaurus 2 года назад
Ah weee hamuwezi, Mama Semeni balaa, hatumii nguvu nyingi maneno yanaporomoka tu
@ahazylutha7881
@ahazylutha7881 2 года назад
Ni wamoto sanaaa
@chrissjoel7752
@chrissjoel7752 2 года назад
Mama semeni ni mashine 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@thesoundtvonline
@thesoundtvonline 2 года назад
Et manishai😂😂😂oll in oll mpo vizuri ,Ila tunamtaka na kurya Boy
@wardamarungu2478
@wardamarungu2478 2 года назад
Huyo mskhaji nimempendaaa buree msela wa nishai
@naimaabuualii578
@naimaabuualii578 2 года назад
Huyu Mimi nampenda Mimi. Ananifurahisha Kwa kweli 😂😂😂
@KileleMartin
@KileleMartin 2 года назад
Utacheka vibayaru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-2XKsuurDfEk.html
@rehemasimba5731
@rehemasimba5731 2 года назад
Safii Sanaa jot hii imepitaa yotee imenifurahiishaa sanaa mwanzo mwishoo
@sarahmosessanga3195
@sarahmosessanga3195 2 года назад
Nishai nomaa unawapenda mabest zako 😂🤣
@mwigakatumpula5695
@mwigakatumpula5695 2 года назад
Sawa kweli Mimi ni mchungaji lkn pia mwenyewe pia ni mhuni kweli kweli 😄😄🙌🙌
@sillaasiemapesa5306
@sillaasiemapesa5306 2 года назад
Nawakubali joti TV mia Kwa mia
@abdulshakurothman5719
@abdulshakurothman5719 2 года назад
Yote kwa yote, wazee kwenye tasnia ya filam wanajua sana kuigiza tofaut sana vijana tulionao sasa hiv. Huyu bibi bn namkubali sana big up
@WiselightOfficial
@WiselightOfficial 2 года назад
Hauniangushi nimecheka kwa kwel ubarikiwe na Mungu uishi tu
@aggreymwaseba25
@aggreymwaseba25 2 года назад
Much from uganda by wizzo
@maxwellkongoman781
@maxwellkongoman781 2 года назад
Nishai never disappoint 😂😂😂😂
@dreusebiusjmikongoti248
@dreusebiusjmikongoti248 2 года назад
Mseminari: "Wale wamesepa ee?"🤣 Mimi mwenyewe muhuni
@ramadhanimadeni363
@ramadhanimadeni363 2 года назад
noma sana mkali wetu seminali siopoa
@damarisonsabwa1293
@damarisonsabwa1293 2 года назад
Always good work 🔥♥️
@chrismuganwa8634
@chrismuganwa8634 2 года назад
Hhh kaongea mchina!! Love from Burundi 🇧🇮!! You make my day guys!!!
@findinglela
@findinglela Год назад
Am curious. How much is internet bundle service in Burundi?
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Год назад
Ila huyu mama anaongeaaa huyoooo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌 Nimecheka.
@salumuhafidhimtabe
@salumuhafidhimtabe Год назад
Kaka mrudishe Sopa 🙌🙌🙌🙌
@k.o.n.g8925
@k.o.n.g8925 2 года назад
Gym body is always looked down upon when you don't have money 🤦‍♂️.. Waswahili
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 2 года назад
Never disappoint Jotiiii 🤣😂🤸
@beatusmtui507
@beatusmtui507 2 года назад
Nishai unajua maana ya friendship 👌👌
@papasiful
@papasiful 2 года назад
I like your comedy joti am your number one fun # from Kenya
@LeonardMwakapusya
@LeonardMwakapusya 2 года назад
Huyu mama anajua sana kuigiza😂🤣
@kwisa4899
@kwisa4899 2 года назад
Ajui kitu
@dannylinguist15
@dannylinguist15 2 года назад
@@kwisa4899 WIVU
@kwisa4899
@kwisa4899 2 года назад
@@dannylinguist15 mimi kwa kipimo changu Huyu mama hajui kuigiza hata kama anajua ni kiwango cha kawaida sana hawezi fanana na Mama semeni wala yule Mama anayecheza na joti .
@ernestfred6813
@ernestfred6813 2 года назад
😊😂😂😂WA KWANZAAA
@mwombekikatabalo9046
@mwombekikatabalo9046 2 года назад
Mwamba anafanana na Gwaji Boy
@eshahassan7682
@eshahassan7682 2 года назад
Bi mkubwa anaweza masha Allah
@shifaazawadi4438
@shifaazawadi4438 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu bibi kiboko kuigiza 😂😂😂 Mishai umepelekea chakula miumbwa koko yako 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@eliariro5514
@eliariro5514 2 года назад
Hatakuja kutokea joti kama huyu. Aisee nakubali.
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 2 года назад
ila joti uyu mama kiboko yao swaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@faridaharuna2621
@faridaharuna2621 2 года назад
Yaan Nishai,acha tu!!!
@benhanclove5997
@benhanclove5997 2 года назад
Hadi nishaii amempa salute 🫡 sana 😂😂
@uthmanmaluja7005
@uthmanmaluja7005 2 года назад
Hapo kwa mgeni umekosea mama hata kiti atulie kidogo mnaongea mmesimama.
@lilianbitegeko6790
@lilianbitegeko6790 2 года назад
Yees kweli hata mm nimelionaaaa hilii hapo amekosea script! Mgen hta kama hawakuwexa kumuingiza ndani alipaswa apewe hata kiti kwanza
@carinamatt1031
@carinamatt1031 2 года назад
Wazaramo hao
@davidodehero8760
@davidodehero8760 2 года назад
Naona mwanangu umekua Kama msukule..... Umeita shinai, au manishai
@rashdiyange7758
@rashdiyange7758 2 года назад
ih shawai tokea kwa jamaaa yngu mpka tamaa ya kula kani shinda walah
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 2 года назад
Wenye wivu wanasema bibi hawezi mm namkubali kachangamka balaa 😂😂😂
@wallasfoundation2389
@wallasfoundation2389 2 года назад
Uyo mushati wa NISHAI jamaniiiiii😃😃
@maryamconstantine2232
@maryamconstantine2232 2 года назад
Upendo wa kwiyooooo...mseminari hatari 😂😂😂😂
@slimbaj3148
@slimbaj3148 2 года назад
Mama anaongea saana adi ana_haribu, anatukana saaana matusi ya reja_reja.. Apunguze maneno yasiyo ya msingi..
@abdulraufmohammedsalum6806
@abdulraufmohammedsalum6806 2 года назад
Huyu bibi mbn kachangamka sn
@georgeburchard4872
@georgeburchard4872 2 года назад
Hakuna character ninayoikubali ya joti Kama hii character ya Nishai! Ni noma sana
@Seifbrown
@Seifbrown 2 года назад
❤❤❤best of the best ❤joti no stress 😅
@emmanuelchilimo
@emmanuelchilimo 2 года назад
Mama amesimama poa sana na amependeza kuwa mama yako ktk scenes daah maneno mengi
@hyasintndimbo2998
@hyasintndimbo2998 2 года назад
Uyu bibi mdomo Kawekaje hapo🤣🙌
@ukhutymamuu7470
@ukhutymamuu7470 2 года назад
Nishaiii 😂😂😂
@malenagain
@malenagain 2 года назад
niaje
@ukhutymamuu7470
@ukhutymamuu7470 2 года назад
Safi
@kimrudiger4454
@kimrudiger4454 2 года назад
Huyu mama yupo vizuri😂😂😂
@binttsulu647
@binttsulu647 2 года назад
Joti nakupedra bure from 254
@MOPEBLETv657
@MOPEBLETv657 2 года назад
Angekua mamangu uyu mm nahama kaya
@yohanasimba581
@yohanasimba581 2 года назад
Bibi wa moto kweli kweli
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 года назад
Mama ana upiga mwingi😂😂😂🙌🙌sana
@azizayassin3623
@azizayassin3623 2 года назад
Mna wazazi kwanza😃😃😃😃
@nemeskessy2786
@nemeskessy2786 2 года назад
8:54 Hiko sio kichina kweli 😂😂😂😂
@langemwepesi
@langemwepesi День назад
Mchungaji amekuja juu,mwenyewe mhuni 😄 🤣 😂
@wellbrand3415
@wellbrand3415 2 года назад
Diehard Friends + Kupatwa kwa maombi 😂😂😂
@youngyayoo2805
@youngyayoo2805 3 месяца назад
Maza anakelele sana anaharibu sasa
@lyrics_forum
@lyrics_forum 2 года назад
Ukikosa Bando siku Moja 🇹🇿 Unakosa Vingi sana
@mkamaboy2016
@mkamaboy2016 2 года назад
Kondoo wa bwana sio hawa wa kimasai wanaochunga😂🤣🤣 Mseminari ni hatari ametawanya kwa fimbo ya Musa mpk wamesepa
@thanksryo637
@thanksryo637 2 года назад
Huyo mama nimependa vile ana charuka na maneno
@wendeisaack6385
@wendeisaack6385 2 года назад
Bwana yesu asifiwe....milele Amina😅😂😂ila joti🙌😂
@wakembetajaphary6006
@wakembetajaphary6006 2 года назад
Nmecheka sana at milele amina😀😀🤣🤣🤣🤣
@davidtimotheo7988
@davidtimotheo7988 2 года назад
Eh mama ni noma kweli hii ni kiboko ya seminali
@dr.mgungo1429
@dr.mgungo1429 2 года назад
Sema huyu hawa wamama balaa wanajua kucheza scene zao 🔥🔥🔥
@rahmahasan32
@rahmahasan32 Год назад
Hiii kali sana 😂😂😂😂
@paulpajero3511
@paulpajero3511 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyo Bibi 🔥🔥🔥🔥
@evaristkomba3340
@evaristkomba3340 2 года назад
huyu mama anajua sana kuigiza sana yani
@hassanperagmail.comhassan
@hassanperagmail.comhassan Год назад
Hongera
@abdallahamad4682
@abdallahamad4682 2 года назад
Ngoja kwanzaa Umekuja mwenye dini hapa saiv
@jacksongeorge3964
@jacksongeorge3964 2 года назад
Hahahahah🤣🤣🤣 etii MAMWBEHA wakubwa, hahah aki huyu mama kaniacha hoi🤣🤣🤣
@tahiraabdul1701
@tahiraabdul1701 2 года назад
Tz washatoa Majuto wa kike,au sio!
@Qs3557
@Qs3557 2 года назад
Huyu mama anakelele balaaaaaaaaaa
@razackhamis4375
@razackhamis4375 Год назад
Aaaahh kumeniner😃
@allanykanyota
@allanykanyota Год назад
Nishai 🙌🙌
@washingtonv199
@washingtonv199 2 года назад
😅😅 khaaaa na sisi watu w VPN leo tumewai gonga like
@malenagain
@malenagain 2 года назад
oi
@TheNewKid_TV
@TheNewKid_TV 2 года назад
😂
@fahadmohamed5696
@fahadmohamed5696 2 года назад
Tuma file na jina la apk
@dadyjo_
@dadyjo_ 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rUpoUR1T-Cs.html
@energeticmbn4596
@energeticmbn4596 2 года назад
Vpn tena mjomba
@mtaalamwamambo2099
@mtaalamwamambo2099 2 года назад
Mchungaji wa mchongo🤣🤣🤣
@jp1780
@jp1780 2 года назад
Unakuza limwili kama nyumba🤣🤣🔥
@pmall8867
@pmall8867 2 года назад
Tatizo,,,Mme kosea muda,,,,Nime waambie saa 7 kamili,, Nyie Mme kuja Saa 6 Na dakika 59...😂😂😂
@sillaasiemapesa5306
@sillaasiemapesa5306 2 года назад
Imeweza
@danilokamnya5433
@danilokamnya5433 Год назад
Dah nmecheka san
@sophiezakaria
@sophiezakaria 2 года назад
😂😂😂😂😂😂hayo maombi ya kichina balaaa 🤣🤣🤣🤣
@josephatmassae7316
@josephatmassae7316 2 года назад
Kweli mseminari kawatawanya kwa FIMBO YA MUSA wametawanyika !! Hiyo staili ya joti kuingia ndani na masela wake hatari!!
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 2 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@wardamohammed2802
@wardamohammed2802 2 года назад
Huyu mama ananifurahisha sana...Ahahaaaaa
@yunuschum3754
@yunuschum3754 2 года назад
Wacha ni comment kabla wale wa never disappoints hawajafika🚶‍♂️
@amosngenzi4790
@amosngenzi4790 2 года назад
Nishai nyoookooo
@boscojmseso7072
@boscojmseso7072 2 года назад
Nishai umemutoa wap huyo mama aisee anajuwa Sana namukubal sana
@monicageorge2181
@monicageorge2181 2 года назад
Kwani mkiondoka lazima msemeee....si muondokeee😂😂😂😂😂😂
@massoudsultan8484
@massoudsultan8484 2 года назад
😂😂😂😂huyu Bibi wa kizaramo
@godfreyathumani9912
@godfreyathumani9912 2 года назад
Mama namkubali sana... Mzee wa *paka wa buruu mbwa wewe PISI KALI WEWE* na mda huo anaambiwa mtoto wa kiume
Далее
NAMVESHA PETE
9:22
Просмотров 299 тыс.
KIKAO CHA HARUSI
10:54
Просмотров 941 тыс.
NAMTAKA HUYU
10:37
Просмотров 797 тыс.
MPOKI NA BROTHER KEY UGOMVI MPYA
30:16
Просмотров 71 тыс.
CHAWA
10:17
Просмотров 482 тыс.
KATAPELIWA
9:40
Просмотров 688 тыс.
KAFIA KWA MUUZA SUPU
8:35
Просмотров 404 тыс.