Urithi wa mateso usiofaa, Ndipo Damu ya Yesu inapita na kuondoa chote kisochofaa.
1 Petro 1:18
Mapigo yanayowapiga watu kwa sababu ya laana ya familia.
Mathayo 22 : 25 - 27,
Laana uwa inatumiwa na adui ili kuzuia baraka juu ya mtu.
Zaburi 37:22,
Mahala ambapo laana ipo hakuna mafanikio. maana uzima wa mtu autokani na wingi wa vitu alivyokuwa navyo bali Kristo ndani na Mbinguni unaingia.
Kuna mapigo yanayotokana na vitu.
Lazima uamisho ufanyike. Wakolosai 1:13
Lazima Mungu ajenge agano jipya na wewe.
Mhubiri: Mwinjilisti Abihud Misholi.
19 сен 2024