Тёмный

KIGWANGALA AJICHANGANYA, MSAMBATAVANGU AMUWAKIA "NAKUSHANGAA WEWE NI MWANAUME HALAFU DAKTARI" 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 23 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

4 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 171   
@westserengeti5608
@westserengeti5608 4 месяца назад
Wewe kweli ni mama, Asante kwa kumsemea mtoto wa kiume
@mudathirbaalawy813
@mudathirbaalawy813 4 месяца назад
Asante muheshimiwa natamani niku hug from 🇴🇲
@Tg.7_7
@Tg.7_7 4 месяца назад
Huyu tunatakiwa kutoa Sadaka ya Shukrani kwa ajili yake!! 🙏
@pastorteddywaziri5754
@pastorteddywaziri5754 4 месяца назад
Kichwa chako wewe😂😂😂🙌🙌
@jamesmasome359
@jamesmasome359 4 месяца назад
Wasikuache kukuchaguwa kwenye Jimbo lako. Unahakili sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@mmassyferguson4959
@mmassyferguson4959 4 месяца назад
Bora mama umetutetea sisi wanaume mwenyez mungu akubariki
@Zaburi-
@Zaburi- 4 месяца назад
Mungu/MUNGU sio mungu
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
Mwanaume mwenzio akili kisado alafu eti ni doctor 😢😢😢😢😢 ningepata nafasi ngemkata pua😢😢😢😢😢😢😢 baba atabaki kwenye nafasi yake kama kiongozi wa family
@DaimonMwapelele
@DaimonMwapelele 4 месяца назад
Safi Sana usawa wa kijinsia mlango wa mapepo
@StevenKayumbo
@StevenKayumbo 4 месяца назад
Sio wewe mama ni mungu anakuongoza dada yangu barikiwa sana
@simonmlelwa440
@simonmlelwa440 4 месяца назад
HEKO sana kwako Mama … quite a point!
@ErickMwashambo
@ErickMwashambo 4 месяца назад
Shukrani sana kwa kututetea mama yetu wanaume sasa hivi tunaonewa sana
@HafidhKhamis-ph8qg
@HafidhKhamis-ph8qg 4 месяца назад
Uyu mbunge hoja zake za msingi sana hongera sana mamaa
@boniphacesululu5428
@boniphacesululu5428 4 месяца назад
Asanteee mama Bora hata umeongea
@valentinoswenya748
@valentinoswenya748 4 месяца назад
Huyu mama alindwe kwa galama yeyote ile nahayo ndio maagizo ya mwenyezi mungu ubarikiwe sana mama
@HassaniUlenge-j5j
@HassaniUlenge-j5j Месяц назад
Well Said mama, hongera kwa kuwa na utambuzi .
@gadrontz9042
@gadrontz9042 4 месяца назад
Mama wewe ni 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 4 месяца назад
Inashangaza sana Dr. Kigwangala unatoa comment ya hovyo namna hii. Yaani huoni hilo tatizo. Wanaume tunanyanyasika anatokea mwanamke anatetea wewe unampinga. Mungu si mjinga kumfanya mwanaume awe kichwa cha familia. Sasa hivi watoto wa kiume hawana mtetezi wanageuzwa kuwa mashoga kila kona. Wanawake wanakuwa ma single mother wanalea watoto bila baba zao matokeo ni ongezeko la mashoga.
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
Huyu tumwekee kwenye kundi like la wababa wanaolawiti na kubaka watoto wao mwamke kaona hatari yee kaona sawa MUNGU mfungue ufahamu, hii haki sawa hapana
@barakahosana6579
@barakahosana6579 4 месяца назад
Huyu Mama nimempenda bure kwa kweli👏👏
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 4 месяца назад
KUMBE KUNA WABUNGE WENYE AKILI❤❤❤❤DUHHHH!!!??
@FelisterLigazio-mw3hh
@FelisterLigazio-mw3hh 4 месяца назад
Sema mama, Mungu akubariki tuku pamoja nawe
@ErickBandushiEtien
@ErickBandushiEtien 4 месяца назад
Mungu akutie nguvu ubarkiwe
@ChrisElectrical-ck4mc
@ChrisElectrical-ck4mc 4 месяца назад
Da mama Mungu akusaidie
@JoyceMkini
@JoyceMkini 4 месяца назад
U.esema kweli kabisa kuna wanaume wananyanyasika sana hawasemi tu wanaugulia miyoni barikiwe
@haizuruMakombo
@haizuruMakombo 4 месяца назад
Nashukuru mama kwa kuongea point.ila nakuhurumia kwasababu nchi zetu zinapangiwa na mataifa yaliyoendelea kwasababu ya utegemezi na woga
@cholesilwela5186
@cholesilwela5186 4 месяца назад
Asante Sana Mama Kwa kututetea sisi wanaume
@faridmnyamike556
@faridmnyamike556 4 месяца назад
Mama yangu Msambatavangu Shikamoo, Asante sana Mama, Hiyo Motion yako imeshiba.
@evancetarimo1310
@evancetarimo1310 4 месяца назад
Asante sana mama mwenyez mungu akusaidie sana
@madinaMussa-hm8in
@madinaMussa-hm8in 4 месяца назад
Asantee mama
@lulyehomadale9009
@lulyehomadale9009 4 месяца назад
Dah tumepata mtetezi Huyu mama anafikiria tofauti sana ,program zote za kijamii zimebeba agenda ya mwanamke,
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 4 месяца назад
Agenda ya kuwadogolesha wanaume ilianza Beijin. Huu si mpango wa Mungu. Shetani anataka kuua taasisi ya familia. Sasa hivi kuna wanaume wanaolewa na wanaume mabasha. Huu ni ufidhuli mkubwa unapaswa kupiga vita.
@RusanzuRubigo
@RusanzuRubigo 4 месяца назад
Hii ndiyo kuongea,unaongea points tena kwa HERUFI KUBWA,safi sana mama Tanzania🎉🎉🎉🎉🎉
@zephaniahfanuel8444
@zephaniahfanuel8444 4 месяца назад
Huyu mama wa Iringa hatakagi michongo ya usingle mother ni ushetani huo, Tungekuwa na mama kama hawa hakungekuwa na ushoga wala usagaji TZ
@raphaelmethod5599
@raphaelmethod5599 4 месяца назад
Fact mama bora
@magomadamian3468
@magomadamian3468 4 месяца назад
Safi Sana Bora hata umewatetea hao wanawake bila kujijua Ka wametetewa maana siku zijazo zitakuwa mbaya sana.staeleweka na wengi ila wachache tu
@JOHNKKULULINDA-pc6gy
@JOHNKKULULINDA-pc6gy 4 месяца назад
MAMA, MUNGU AKUBARIKI SANA.
@salehemcharo
@salehemcharo 4 месяца назад
Huyu kigwangala ni shoga 😂😂😂😂 anatutia aibu yani mwanamke anatutetea kigwangala anatoa hoja za hovyo. Sijapenda mungu amuweke huyu mama. Aisee
@DeusRobart
@DeusRobart 4 месяца назад
kigwangala dishi limeyumba😂😂😂
@josephjulio6112
@josephjulio6112 4 месяца назад
Alaniwe kabisa pamoja na watoto wake
@MiriamAbdallah
@MiriamAbdallah 4 месяца назад
Limejifunika kabisa 😂😂😂😂😂
@RobartShello-qj4vr
@RobartShello-qj4vr 4 месяца назад
Wewe ndie mama mwenyemaono, naumelelewa, nakweli mwanamke ukimgusa kidogo tayari unawekwa ndan nahilo kweli limewachosha wanaume matokeo yake kutelekeza familia
@MenelusCzar
@MenelusCzar 4 месяца назад
ASANTE MAMA ❤ Huyu ni MAMA NA NUSU 🔥🔥🔥
@meshackpatrick6981
@meshackpatrick6981 4 месяца назад
Apewe uprofesa Ikiwezekana ajengewe Sanamu
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 4 месяца назад
BIG UP MAMA🤣 👏👏👏
@RevocatusWilliam
@RevocatusWilliam 4 месяца назад
Hii ndo lugha inayotakiwaa kutoka sasa kwa mama zetu.
@m.e.ssofttech2806
@m.e.ssofttech2806 4 месяца назад
Ndio maana mashoga wanaongezeka na single mother wanaongezeka
@charlessamwel7581
@charlessamwel7581 4 месяца назад
Mama uko vzr
@ReginaJoseph-cm3cx
@ReginaJoseph-cm3cx 4 месяца назад
Ukiwa Dr halafu ukaongea point less aibu sana. Kwa hii Dr ni Huyu Mama, big up mama
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 4 месяца назад
Bora hata umeongea naona watu sasa akili zimefunguka
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 4 месяца назад
Mama hongera ila nashauli (thyroidectomy ) ni nzuri kwa afya kwa wenye thyroid hyperplasia
@ImanueliMwakajinga-ry8ig
@ImanueliMwakajinga-ry8ig 4 месяца назад
Waooo awa ndo wabunge tunao wataka
@jovianusrweikila8595
@jovianusrweikila8595 4 месяца назад
Well said Mama...
@Rennyanselim
@Rennyanselim 29 дней назад
Sema mamy
@Jurbeg
@Jurbeg 4 месяца назад
Safiiiii saaana Mama pongezi kwako 🙏🙏🙏
@dericktouch5723
@dericktouch5723 4 месяца назад
Asante sana ni uwepo wa mungu umetuonekania kwa huyu mama no ushoga tanzania tamaduni zetu haziruhusu kabisa
@PaulinaLwena
@PaulinaLwena 4 месяца назад
Mbunge ustaili hongera sana
@zariadunia6328
@zariadunia6328 4 месяца назад
Nampendaga sana mh Jesca udumu mama
@nurdinswalehe
@nurdinswalehe 4 месяца назад
Kweli huyu mama kweli
@2.12carrental6
@2.12carrental6 4 месяца назад
Mama Yangu Jeska Mungu aendelee Kukupaq Sauti Ili Kuteteaaa
@josephmwinuka3982
@josephmwinuka3982 4 месяца назад
Safi mh jesca umetuwkilisha vzur
@JasbaKipingu
@JasbaKipingu 4 месяца назад
Hakika Waume tumechanganyikiwa keli leo mwanaume anatukana tunatetewa na mwanamke eeee mungu tuvushe tuko hatarini sisi waja wako
@sambulugu9988
@sambulugu9988 4 месяца назад
Hongera sana!
@leonardmrope9528
@leonardmrope9528 4 месяца назад
Fact
@Butondo
@Butondo 4 месяца назад
Well said mama. Tatizo hizi haki za wanawake inashachukua kila kona
@MohammedNgamange
@MohammedNgamange 4 месяца назад
Dah uyu mbunge anaakili sana
@RashidKidolingo
@RashidKidolingo 4 месяца назад
Asante mama yangu,mpaka nimelia
@FelisterLigazio-mw3hh
@FelisterLigazio-mw3hh 4 месяца назад
Yeees
@alinanusweedward2952
@alinanusweedward2952 4 месяца назад
Dah Mitano tena kwa Mama Msambatavangu
@PauloMiage-m1x
@PauloMiage-m1x 4 месяца назад
Asante mama umesema yaliyokweli
@LightnessMunisi-uo5pd
@LightnessMunisi-uo5pd 4 месяца назад
Asante mama yetu
@ramadhanmwandambotuntufye5972
@ramadhanmwandambotuntufye5972 4 месяца назад
Wanaume siku hizi ni kama mabinti, tusemee mama achana na hao wanaoleta taarifa za hovyo .
@sadikiissa7756
@sadikiissa7756 4 месяца назад
Safi Sana.
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 4 месяца назад
Yani akili kubwa kama hii inapatikana Tanzania,eeh MUNGU ibariki Tanzania
@ALINUWILAMKONONGO
@ALINUWILAMKONONGO 2 месяца назад
Utashangaa wanapuuza hoja za huyu mama wanashadadia trab and trat 😭
@dunstankihaa2383
@dunstankihaa2383 Месяц назад
Cku zote mtoto wa kiume mwenzake ni mama, mama kaamua kucmama kama mama Kwa watoto wa kiume
@ZephaniaWilly
@ZephaniaWilly 4 месяца назад
Aaah we mama unajua umuhimu wa kijana wa kiume sana
@DaimonMwapelele
@DaimonMwapelele 4 месяца назад
Taifa linaangamia tulud kwenye njia maana tumepotea kwa kumwinua mwanamke na kumshusha mwanamme
@pastorb.alaurent1006
@pastorb.alaurent1006 4 месяца назад
Umeongea vitu vya point sana nakuombea sana uwe ww waziri
@Dagerboy97
@Dagerboy97 4 месяца назад
shikamoooo
@AbelMasuke
@AbelMasuke 4 месяца назад
Hii sauti ya mama imetoka Kwa mamlaka ya mwenyezi Mungu sauti haipingwi hiyo imeenda
@DaimonMwapelele
@DaimonMwapelele 4 месяца назад
Kingwala hovyo kabisa, mama saf kumbe wanaume ndio wanaoliangusha taifa
@jameswissa9981
@jameswissa9981 4 месяца назад
Huyo Daktari aliyetoa hiyo taarifa apimwe akili..
@dreamleague-uq2gx
@dreamleague-uq2gx 4 месяца назад
Fact ✊
@MenelusCzar
@MenelusCzar 4 месяца назад
DAAAAAAAA ❤❤❤❤
@YusuphMnyachimo
@YusuphMnyachimo 3 месяца назад
Uyo mwishimiwa mbunge wakiume alieomba muongozo tunamashaka naee
@HalimaMohamed-m7x
@HalimaMohamed-m7x 4 месяца назад
Mungu azidi kukupa kibali
@BethiGody
@BethiGody 4 месяца назад
Wanafanyiwa lakin awana pakujitetea kabc jmn yaan nihuruma sana wanawake wamewekwa mbele sanaa na ndo maan utaskia mwanamme kamuuwa mke kwasababu anauchungu mwingi na mambo mengi anashindwa pakuyasemea
@prosperjuma905
@prosperjuma905 4 месяца назад
Kigwangala hovyo sana aise
@luqmanomary3558
@luqmanomary3558 4 месяца назад
Tena akil zake chache sana yaani mwanaume unatetew bado yy anaona haki kwa wanawake au shoga nn😂😂😂
@amirimkuchi
@amirimkuchi 4 месяца назад
huyu mama hana namba ya tigopesa tumchangie ela ya soda 😮
@pastadandan3569
@pastadandan3569 4 месяца назад
Aisee naomba namba yake nimtumie hata ya vocha
@ChrisElectrical-ck4mc
@ChrisElectrical-ck4mc 4 месяца назад
Kwa kweli
@ErickBandushiEtien
@ErickBandushiEtien 4 месяца назад
Nitmie namba yako hatakama unanizidi kipto nikutmie kahawa
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 4 месяца назад
Hakika uzao wa kiume uko kwenye moto mkali jamani... wanaume wamechoka sana jamani...mifumo umeua wanaume imemaliza watoto wetu wa kiume...uuuuwiiiii
@ngambikomsu64
@ngambikomsu64 4 месяца назад
Kigwangala bhana , hilo si ndilo analosema lirekebishweeeeee? Huu uchawa bhana umekuharibu sana, utabaki kubebea wanawake mabegi tuu weweeee
@edwardlukuba9358
@edwardlukuba9358 4 месяца назад
Mama apewe maua yake
@st.alvincollege6184
@st.alvincollege6184 4 месяца назад
Alikua mgeni rasmi wakati namalza Form 6 mwaka 2012 ni hatar kabisa
@charlesmateso1408
@charlesmateso1408 4 месяца назад
Mama ana maono makubwa
@MwantumRashidi
@MwantumRashidi 4 месяца назад
Kwakwel nashindwa cha kukoment mama umeongea mno ila hawa kuna muda huwaga naifikiria sana serikal hii ina nin jaman afadhali umeongea mama ang vitoto vyetu mtaan vinabakwa mno tuu huku na mibaba 😢😢
@DaudFataki
@DaudFataki 4 месяца назад
Kuna raisi kila sherehe zamashoga yupo hao kinaharmonaiz dimond nawengine ndio maajent wakubwa
@RashidiToromeni
@RashidiToromeni 4 месяца назад
Kigangwala kweli kazi ipo kashapotea huyu mzee
@SolomonNkoze
@SolomonNkoze 4 месяца назад
Ningekuwa Rais ningekupa uwaziri wa jinsia maana umeupiga mwingi sana mpaka shoga kigwangara aumbuka
@PauPaulo-qf3wo
@PauPaulo-qf3wo 4 месяца назад
Mama ana point uyu
@SamsonZakalia-g4l
@SamsonZakalia-g4l 4 месяца назад
Kumbe kigwangara ni shoga?
@DeusRobart
@DeusRobart 4 месяца назад
maisha malefu mheshimiwa nakutakia
@EmanuelNyondo-qj5zx
@EmanuelNyondo-qj5zx 4 месяца назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Ushauri235
@Ushauri235 4 месяца назад
Uko vizuri umemchana mama Niko iringa wewe ni mbunge wangu
Далее
НОВАЯ "БУХАНКА" 2024. ФИНАЛ
1:39:04
Просмотров 486 тыс.
Обменялись песнями с POLI
00:18
Просмотров 882 тыс.
НОВАЯ "БУХАНКА" 2024. ФИНАЛ
1:39:04
Просмотров 486 тыс.