Kweli Tanzania bado tuko nyuma, matatizo yote tuliyonayo kuyajadili bungeni, mnaleta robot yaani bunged lime kua sehemu ya mchezo ya watoto this is a joke
nafikiri tusimchoshe io sauti ameisema mwandishi kwa maoni yangu technolgia yetu imefika mbali sana kwenye masuala ya robotics mpaka wasomi wa bungeni wameamua kuiweka hii hadharani cha msingi ni kuongeza bidii katika pale penye mapungufu hata mbuyu ulianza km mchicha
😂 kwasisi wataalamu wa AI tunaona hilo ni sanamu lililowekewa spika na vifaa kidogo. Hiyo spika inaenda kwenye AI. Ukiuliza swali wanaandika haraka haraka kwenye AI ndioinatoa sauti ya kujibu huku kwenye spika. Ndiomaana hao waandishi wa habari wanasoma maswali waliyoandaliwa na wale jamaa waliojificha eti ionekane roboti linajiongoza kumbe wao ndio wanaliongoza kuongea na kutoa mkono 😢😢😢
Akiulizwa maswali asiyoyajuwa anasema thank you so much, maswali yako kwenye simu UNATAKIWA kuuliza the right question ndo komputa yake idetect vinginevyo utasikia THANK YOU SO MUCH ila bongo 😂😂😂😂😂
Ilo c dol la kuuzia ngua uko ndani kuna ic voice 2 Moja inarecord voice nyigine inajibu maelezo aliyo yajaza mtengenezaji ki ufupi wamefeli kwenye uundaji wa Hilo Sanam viungo vng vimeganda.
Hakuna kitu kinawatesa makonda kama 100 za abiria utackia lete mia nikupe jero bas abiria anakua amejua kama ataondoka na jero yote bas utackia sina hahahah kama na ww unapnd gonga like
Ndoo maana nampenda sana ney wamitego akiongeaga ukweli mnamuonaga wa ajabu sasa ndoo nini roboti gani ilo linajua kutoa mkono tuu mdomo hautingishiki upo umeganda tuu nalipstiki jamn tanzania hii ni haibu 😢😢seriously