Kevin, tulikuwa tunajuwa unafunza maadili ya ki afrika katika filamu zako ndio maana hata sisi watu makamo tunakuaga mashabiki wako. Sasa sijui umempata manager wa giza ambae anakuamuru kuwavika waigizaji namna hii ya kisasa isiyo maadili. Nguo hizo umemvika huyo Kendy ni nguo gani? Binti anavaa uchi mnapitisha kwenye camera kweli, lengo lenu ni gani? Mtuheshimu sisi tunao tazama kazi zenu, msije poteza mashabiki.
Watu mna bowa kazi kuomba like hiyo movies mmetoa ninyi hizo like mtakuliya ugali hafazali movie tuta jifunza ❤❤❤ nina wapenda wana donta TV ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Vimaneno vingi mpaka atuoni kama ni episode ya ngap mpaka u zoom Kelvin unajua hii title unazozitumia unsmfumbua mtazamaji ajue mbele itakuwaje ata kam mkifumb ap kijana tajiri anifany maskin wstazamaj washajua brown anajifanyish kuw kapolwa mali sasa rekebish kam ulivorekbish ya kesho yangu
Kweli,halafu title inaelezea move yote itakavyokuwa,inatakiwa ,utamu wa move inatakiwe isijulikane mwisho utakuwaje,mfano title ya hii move ingekuwa mtego wa penzi