Wanakikundi waja juuu baada ya Kikoba kuvunjwa na pesa kuwa pungufu na muweka hazina kusema hajui pesa zilipoenda!
Tizama mwenyewe ujionee mambo yalivyokuwa wanakikundi wamechanganyikiwa kwani pesa zao walishapangia bajeti zao za sikukuu mwisho wa mwaka lakini mwisho mambo yameenda ndivyo sivyo
#geahhabibu #GeahTv #MatukioyaGeah
14 окт 2024