Tunaipupia Dunia kwa kula ata visivyo alali na kuipamba kwa thamani nying Dunia inatuaga sisi tunaikumbatia tunajisahau kwa nyazifa za dunian Chuma utakavy Chuma hapa Dunian ila siku ukifa Dunia haitakupa chochote isipokuwa sehemu ndogo ya ardhi ambayo uzikwa ndani yake Tusijisahau tena hasa viongozi wetu wengi wenu si waadilifu munajar sana maslai yenu binafsi
hata mukimuwekea misalaba mingapi haito saidia kitu hilo jitu lililuwa dhalimu na jeuri na watu aina hiyo ipo sehemu yao wanayo enda. inaitwa jehanamu 🤣🤣🤣
@@mimiraia2531 acha usenge..Ndio huwa wanabaki mioyoni..lkn je huyo kiongozi wako aliyekuwa anayewatesa wenzie,kuwateka,kuwaibia mali matajir na watu kukimbia nchi ndo wataishi milele? Umeshasikia utawala wa kikwete amemteka mtu?amemuibia mali matajir..nyiny ngoma msiyoijua jamaa wenu alikuwa katiliiiii
@@mimiraia2531 Ndio huwa wanabaki mioyoni..lkn je huyo wenu aliyekuwa anayewatesa wenzie,kuwateka,kuwaibia mali matajir na watu kukimbia nchi ndo wataishi milele
@@meryshekoloa961 haya ndo mambo tunayoyataka..muombee mtu aende salama kama kuna uovu basi Mungu mwenyew ndo atamuhukum huyo mja sio mtu unalaan binadamu wenzio...safi sana
R.I.P our beloved in deed " bwana ametoa bwana ametwaa jina lako lihimidiwe" mbele yetu nyuma yako. daima tutakukumbuka kwa weledi na umakini wako wakati wote.......ee mungu utupe nguvu na faraja iliyo ya kweli.
acha usenge..Ndio huwa wanabaki mioyoni..lkn je huyo kiongozi wako aliyekuwa anayewatesa wenzie,kuwateka,kuwaibia mali matajir na watu kukimbia nchi ndo wataishi milele? Umeshasikia utawala wa kikwete amemteka mtu?amemuibia mali matajir..nyiny ngoma msiyoijua jamaa wenu alikuwa katiliiiii
Hili ndio jambo la uhakika kila Kiumbe litamfika, na utaingia peke yako kaburini, tuache Kiburi, tuwe na huruma kwa viumbe wengine wa Mungu hata kama ni wadhaifu. R.I.P BM
@@mimiraia2531 acha usenge..Ndio huwa wanabaki mioyoni..lkn je huyo kiongozi wako aliyekuwa anayewatesa wenzie,kuwateka,kuwaibia mali matajir na watu kukimbia nchi ndo wataishi milele? Umeshasikia utawala wa kikwete amemteka mtu?amemuibia mali matajir..nyiny ngoma msiyoijua jamaa wenu alikuwa katiliiiii
Dhambi ya kuwasimanga marehemu,Magufuri alisimangwa sana tukajua huenda wao hawataonja Mauti kamwe,familia ya Magufuri ilipokuwa ikilia na kuomboleza wapo walio ona kana kwamba wanafanya mzaha.
@@wekezauchumi7440 Magufuri hakufanya hivyo.Angekuwa na Roho mbaya walimtukana katika mitandao na kupanga mipango ya kumwondoa madarakani wangefunguliwa kesu ya uhaini.
Kwani kufa kwa mtu mmoja ndio iwe shida.....ina maana mlitaka huyo jamaa yenu aishi milele wakati ni binadamu km wengine...maana mmekuwa na nongwa sana...kila mtu atakufa..
pole sana kikwete umeumia sana maana ni rafiki wako wa karibu mno hadi nilifikiri ni ndugu yako maana mlifanana sana yote ni ya mungu na mungu akutie nguvu apumnzike kwa amani membe amina
Na mimi nilijua hivyo membe na kikwete ni ndugu. Kweli hata mimi nimeumia membe nilimpenda sana ni miongoni mwa wanasiasa wasiopenda makuu kama lowasa.😢
@@mimiraia2531 acha usenge..Ndio huwa wanabaki mioyoni..lkn je huyo kiongozi wako aliyekuwa anayewatesa wenzie,kuwateka,kuwaibia mali matajir na watu kukimbia nchi ndo wataishi milele? Umeshasikia utawala wa kikwete amemteka mtu?amemuibia mali matajir..nyiny mnacheza ngoma msiyoijua jamaa wenu alikuwa katiliiiii
ulinzi wetu wa kumsonga songa sana kiongozi akigeuka ghafla wanagongana nae mbona wenzetu hata marekani most protected presidents analindwa kwa kupewa space kuna kaumbali fulani sio vuruguru hivi tena kwa mstaafu
Hilo tukio liwaumize woote wanafamilia kama familia ya magufuri ilivyoumia akapumzike kama alivyopumzika BABA yetu mpendwa john jeseph pombe magufuri wakaurizane maswali na majibu tena mungu angejua kila nafsi iionje mauti kabla huu mwaka kuisha tuliumia saana Sasa tunaanza kufarijika asante mungu
@@esterdaniel1523 acha usenge..Ndio huwa wanabaki mioyoni..lkn je huyo kiongozi wako aliyekuwa anayewatesa wenzie,kuwateka,kuwaibia mali matajir na watu kukimbia nchi ndo wataishi milele? Umeshasikia utawala wa kikwete amemteka mtu?amemuibia mali matajir..nyiny ngoma msiyoijua jamaa wenu alikuwa katiliiiii
acha usenge..Ndio huwa wanabaki mioyoni..lkn je huyo kiongozi wako aliyekuwa anayewatesa wenzie,kuwateka,kuwaibia mali matajir na watu kukimbia nchi ndo wataishi milele? Umeshasikia utawala wa kikwete amemteka mtu?amemuibia mali matajir..nyiny ngoma msiyoijua jamaa wenu alikuwa katiliiiii
Unapokuwa umezaliwa mambo mengi unabahatisha tu;ni kifo peke yake huhitaji kubahatisha. Whether you either like or not.Mmoja aliwahi sema wazuri hawafi,ni kiburi cha uzima tu.Hata hivyo Safari njema Membe!
@@mimiraia2531 acha usenge..Ndio huwa wanabaki mioyoni..lkn je huyo kiongozi wako aliyekuwa anayewatesa wenzie,kuwateka,kuwaibia mali matajir na watu kukimbia nchi ndo wataishi milele? Umeshasikia utawala wa kikwete amemteka mtu?amemuibia mali matajir..nyiny ngoma msiyoijua jamaa wenu alikuwa katiliiiii
Hii ndio roma anakwambia hii nchi ina wenye nchi walanchi na wananchi hawa sasa ndio wenye nnchi sasa wajifunze kuwa hatuishi milele wawajali na wengine wa hali ya chini siyo kuwasagia kunguni wenye hali ya chini R IP membe
@@mimiraia2531 acha usenge..Ndio huwa wanabaki mioyoni..lkn je huyo kiongozi wako aliyekuwa anayewatesa wenzie,kuwateka,kuwaibia mali matajir na watu kukimbia nchi ndo wataishi milele? Umeshasikia utawala wa kikwete amemteka mtu?amemuibia mali matajir..nyiny ngoma msiyoijua jamaa wenu alikuwa katiliiiii
Kila nafsi ni yenye kufa. Kubwa ni kujiandaa na kule mtu anakokwenda. Na kuridhiwa na M'mungu . Kaburi linatisha sana na ni lzma tuingie. Tuombe mwisho mwema.
@@mimiraia2531 acha usenge..Ndio huwa wanabaki mioyoni..lkn je huyo kiongozi wako aliyekuwa anayewatesa wenzie,kuwateka,kuwaibia mali matajir na watu kukimbia nchi ndo wataishi milele? Umeshasikia utawala wa kikwete amemteka mtu?amemuibia mali matajir..nyiny ngoma msiyoijua jamaa wenu alikuwa katiliiiii
Huduma za elimu afya na miundo mbinu ni kazi ya serikali ndo maana tunachagua viongozi uli watutekelezee hizo so hiyo ni haki yako ingawa ukuzipata kwa kiwango Bora hiyo ni kazi ya raisi.
Lazima na wewe unavinasaba vya ufisadi. Enzi za huo ubora unaousema, MNYAMA TWIGA NA UKUBWA WAKE ALIPAKIWA KWENYE NDEGE PALE KIA NA KUPELEKWA UARABUNI, TZ ILIKUWA NDIO CENTER YA MADAWA YA KULEVYA, MAFISADI NDO USISEME, MAUAJI YA TEMBO YASIYO NA MIPAKA. UZEMBE SERIKALINI, nakadhalika nakadhalika
@@mimiraia2531 acha usenge..Ndio huwa wanabaki mioyoni..lkn je huyo kiongozi wako aliyekuwa anayewatesa wenzie,kuwateka,kuwaibia mali matajir na watu kukimbia nchi ndo wataishi milele? Umeshasikia utawala wa kikwete amemteka mtu?amemuibia mali matajir..nyiny ngoma msiyoijua jamaa wenu alikuwa katiliiiii
DR.Kikwete kerebisha ulio wa tendens nduguzako Wazanzibari DHUULMA NA MAUAJI YASIRI KWASIRI ,WATANABAHISHE WENZIO NA ALLAH AYAKUPA MWISHO MWEMA NDUGU .
@@zuzadomikano3765 mauwaji sio Zanzibar tuu , huko mikoani bara watu kufukuzwa kutoka kwenye ardhi zao kama wanyama. na hata kuuliwa , hakuna radio wala gazzeti linalo andika hayo matukio , sababu wachache wa juu na wanakula na hao wenye vyombo vya habari. nchi inangozwa watu waovu , wabifsi na wenye tamaa sana ya mali kama wataishi milele hapa duniani