Maana mafanikio madogo tu yashamsahaulisha misingi ya Dini yake anaona akisema Assalamualaikum Ataonekana mshamba Ila maisha tutayaacha hapa hapa haya hakuna alokufa akaondoka namafanikio yake Huu ni ukumbusho
Milard wa sasa sio wa zamani, Hadi mwisho lkn sijui hata kinachochangiwa ni nini sasa umuhimu wa hii habari na mchango wako kwenye hilo tukio ni upi? Kwahyo umetuzuia na sisi kuchanga, so Habari zao unazitaka zikusupport kwenye Chanel yako lkn wewe kuwasupport huduma yao hutaki, Sio good mzee