Тёмный
No video :(

Kilimo Cha Nyanya Kunalipa Sana Cheki hii lazima milioni 40 niipate Hapa 

Tomato Zanzibar Company Limited
Подписаться 1 тыс.
Просмотров 44 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 72   
@williamodongo9570
@williamodongo9570 Год назад
Naipenda shamba lako. Napanda huku Homabay, Upande wa Nyanza, Kenya. Hongera ndugu.
@mohdkhamis6581
@mohdkhamis6581 2 года назад
Safi sana mm napenda sana kilimo cha mbogamboga jee mimi nipo sehemu ya mchanga mweupe zinaweza kuota na kufanya vizuri kama hivo na nitumie mbinu gani
@MwitaMagere
@MwitaMagere 10 часов назад
Hongera kwa bodii unayofanya ili kufanikisha
@Big-P-mm7sc
@Big-P-mm7sc 5 дней назад
Quantos tratamento aplicou e bom trabalho
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 2 месяца назад
Mimi niliwahi kulima kama hii hiyo hela atapata manake atachuma muda mrefu sana zaidi ya miezi 4 utunzaji tu na soko liwe wastani
@veraniinnocent7624
@veraniinnocent7624 3 года назад
Umeona bloosam end root, kuoza nyanya "chini kuoza kwa rangi nyeusi"
@user-ls2uj3fl1o
@user-ls2uj3fl1o 4 месяца назад
Hongera saana Nami naomba no yako tafadhari
@DoriiShayo
@DoriiShayo 3 месяца назад
Naitwa samata nakaa muyuni A naomba namba zenu samahan lakin
@rozinamollel1990
@rozinamollel1990 3 года назад
hongera sana
@DoriiShayo
@DoriiShayo 3 месяца назад
Ndugu nauza ivi kunakitonge cha mbolea?
@karumekanisius8144
@karumekanisius8144 3 года назад
Hello wadau naombeni kufaham zaidi kuhusiana na mbolea aina ya yara vera, na je, inafaa pia kutumika kwenye zao la nyanya.
@tomatozanzibarcompanylimit7006
@tomatozanzibarcompanylimit7006 3 года назад
Inafaaa kabisa
@ahmedsharif2259
@ahmedsharif2259 3 года назад
Kazi nnzuri sana allah atawalipa
@salmamjengera2512
@salmamjengera2512 3 года назад
Naomba unitajie dawa znazotumika nahitaji kujifunza Niko dar
@elizabethlweya5011
@elizabethlweya5011 Год назад
Asante Sana mungu akubaki endelea naiokazi
@fatmasaid5864
@fatmasaid5864 4 года назад
Allah awabariki
@alifakimati9614
@alifakimati9614 3 года назад
Dunga au bambi hapo karibu na kambi ya jku.
@mfaumemkoma-ey2jd
@mfaumemkoma-ey2jd 6 месяцев назад
Samba zuli lime nivutia sana hongela kwa usimamizi mzuli
@godsfavour5665
@godsfavour5665 Год назад
Wow ni safi sana hadi nikafikiria ni kwa green house 💞💞keep it up
@salmamjengera2512
@salmamjengera2512 3 года назад
Nimependa Sana hongera mbegu gani hiyo
@tomatozanzibarcompanylimit7006
@tomatozanzibarcompanylimit7006 3 года назад
Spaina plas
@VEVO-africa
@VEVO-africa 2 года назад
Inapatika wapi na inauzwaje
@williamodongo9570
@williamodongo9570 Год назад
Anti bacterial wilt hiyo mbegu?
@user-ep5fu9do9h
@user-ep5fu9do9h 4 месяца назад
Naomba kukuliza vp mtu akihitaji msaada wa kupata maeneo ya kulima afanye nn ili apate
@user-ls2uj3fl1o
@user-ls2uj3fl1o 4 месяца назад
Hiyo mbegu ni Aina gani?tupe faida tujifunze
@yudaaraphati9673
@yudaaraphati9673 3 года назад
Hekari1 unaweza kupata kreti ngapi boss
@hakizimanaaudace8002
@hakizimanaaudace8002 3 года назад
Mimi nataka kuuriza dawa za ukungu bora zaidi.
@felixmpwaga1262
@felixmpwaga1262 4 месяца назад
Naombakujua vipimo cya upandaji
@halimaabubakar6702
@halimaabubakar6702 4 месяца назад
Bado information sio enough unatakiwa useme clear heka ngapi ? Umepanda miche mingapi kila mche unatoa kg ngapi za nyaya na soko likoje umeongea lkn sio professional
@josephinemtikila3066
@josephinemtikila3066 Год назад
Naomba kujua majina ya dawa inayotumika kupiga mwanzo hadi mwisho.
@peteralbert5636
@peteralbert5636 3 года назад
Hiyo mbegu inapatikanaje?
@duniandwelle207
@duniandwelle207 2 года назад
Asante kwakuhamasisha
@samweljosephaudktmboje3062
@samweljosephaudktmboje3062 2 года назад
kaka hizo mbegu aina ya kipato iko sawa na nyanya maji
@erastombise3930
@erastombise3930 3 года назад
Dawa za ukungu unatumia dawa gani
@muniali5530
@muniali5530 3 года назад
Jee niulie heka moja hutoa tenga ngapi za tungule
@christommhagama6549
@christommhagama6549 2 года назад
Ekari moja unaweza kuvana kiasi gani kwa mchumo moja
@fatmasaid5864
@fatmasaid5864 4 года назад
Maharage hamlimi
@rashidmaina2166
@rashidmaina2166 2 года назад
Hii high brid nlilaza uvuge au Kuna mbini higine
@morganmgovano3816
@morganmgovano3816 2 года назад
Najifunza sana
@ramadhanmoshi1038
@ramadhanmoshi1038 2 года назад
Naomba namba yako nijifunze kitu toka kwako
@hosianaminja7034
@hosianaminja7034 5 месяцев назад
Huu mtindo mliotumia sijaelewa.
@othmanali9460
@othmanali9460 3 года назад
Nisaidie namba zako bro nikutafute.nahitaji uzoefu wako mkuu
@mwalimuwakujitolea2030
@mwalimuwakujitolea2030 4 года назад
Mnatoa elimu nzuri. But jitahidini kuchukua video vizuri. Video inayumba sana
@tomatozanzibarcompanylimit7006
@tomatozanzibarcompanylimit7006 3 года назад
Sawa Asante
@castormarwa2018
@castormarwa2018 2 года назад
rusha namba as simu
@ericklucas7196
@ericklucas7196 2 года назад
Mbona matunda machache njoo uone huku mby utaona inavyozaa
@kavuyunzota4147
@kavuyunzota4147 2 года назад
Mmetumia mbolea gani ya kukuzia?
@selemanfrancis4940
@selemanfrancis4940 3 года назад
Shamba la ekari kumi nalimuduje hadi kuvuna,,?
@user-ry9jt7fv1z
@user-ry9jt7fv1z Год назад
Nina swali hekali moja inamashina mangapi na inatoa nndoo ngap
@mwitamgesi6625
@mwitamgesi6625 2 года назад
Kwanini IMRA F1 hupukutisha maua Sana?
@denissamwel8978
@denissamwel8978 2 года назад
Mbegu gani
@salmamjengera2512
@salmamjengera2512 3 года назад
Aina ya mbolea
@user-ls2uj3fl1o
@user-ls2uj3fl1o 4 месяца назад
Jibuni coment jamani
@anicentdeo9761
@anicentdeo9761 2 года назад
Naomba mawasiliano yenu
@VEVO-africa
@VEVO-africa 2 года назад
Samahan je tunawapataje wateja wa uhakika
@rashidiselemani1516
@rashidiselemani1516 Год назад
Ulilima mwezi wa ngapi?
@mhogomchungu7168
@mhogomchungu7168 4 года назад
unalima maeneo ya wapi zanzibar ?
@tomatozanzibarcompanylimit7006
@tomatozanzibarcompanylimit7006 3 года назад
Fuoni
@davidedison4450
@davidedison4450 3 года назад
Zanzibar wanajua kulima
@jumaabrahman1169
@jumaabrahman1169 2 года назад
@@davidedison4450 dawa gani na mbolea gani naweza kutumia katika kilimo Cha nyanya
@salmamjengera2512
@salmamjengera2512 3 года назад
Katka ukuaji
@sadikililai1846
@sadikililai1846 3 года назад
Ni aina gani iyo mbegu
@tomatozanzibarcompanylimit7006
@tomatozanzibarcompanylimit7006 3 года назад
Malkia
@danifodichisaita7203
@danifodichisaita7203 3 года назад
Hii inaitwa mbegugani?
@tomatozanzibarcompanylimit7006
@tomatozanzibarcompanylimit7006 3 года назад
Malkia inauzwa 35000
@linnandunguru5930
@linnandunguru5930 2 года назад
Hii mbegu ya sh 35000 inatoa miche mingapi
@dominickissack2536
@dominickissack2536 3 года назад
Hamujibu koment za wateja
@simonsoka5392
@simonsoka5392 3 года назад
Unatumia mbinu gani kumwagilia
@tomatozanzibarcompanylimit7006
@tomatozanzibarcompanylimit7006 3 года назад
Natumia malkia AF 1 namwagilia kawaida
@simonsoka5392
@simonsoka5392 3 года назад
@@tomatozanzibarcompanylimit7006 kawaida yaan bila mashine kwa kutumia ndoo
@castormarwa2018
@castormarwa2018 2 года назад
rusha namba as simu
Далее
Мама приболела😂@kak__oska
00:16
Просмотров 804 тыс.
MBOLEA MUHIMU YA TATU KWA NYANYA
18:22
Просмотров 2,1 тыс.
Kilimo cha papai Kajiado
3:30
Просмотров 6 тыс.
SHAMBANI TIKITI MAJI NA MRISHO MPOTO
28:51
Просмотров 35 тыс.