Asante sana mjomba. Shida hapa ninamna ya kuanza ndio issue, samahani na udongo nitaujua au kuna viashiria gani vya udongo, Naomba kujua kama mna vitabu vinapaatikana ili nijue jinsi kwenda na vipimo.
Nikiangalia nyanya inanipa kichaa nililima mwaka Jana nikakutana na hiyo bei ya themanini kreti shambni nusu heka nikapasua milioni themanin upuuzi nilioufanya nikauwa million ishirini nimelima maharage hekari sitini mvua ikabeba
@@chizagaudence541 nilitumia milioni mbili kama na laki Tisa Ila Mimi sikutumia upandaji wa kitaalamu kupanda kitaalamu kuna faida ila miche huingia michache sana yan unakuta mfano MTU kwenye robo eka kapanda miche mia Mimi kwa upandaji wangu ni miambili na nyanya inataga kinoma Ila faida ya upandaji wa kisasa ni kwamba hata ikitokea mvua imenyesha kubwa maji yakatuama nyanya haitaoza kwasababu matunda yako juu
@@chizagaudence541 ni kama iko ivi APA nimesia mbegu ya kusambaza mwezi wa kumi alafu wa kumi nasia tena ya kusambaza wa kumi na moja kama mvua itakuwa kubwa kuna kuwa na uhakika wa kukutana na bei mwezi wa kwanza na kuendelea ila nalima kwa utaalamu make mvua inaletaga noma