Тёмный
No video :(

KILIMO CHA PARACHICHI, HASS AVOCADO, AINA NA MIKOA AMBAYO UTAWEZA KULIMA ZAO HILI KIBIASHARA, MAVUNO 

KilimoPro Tanzania
Подписаться 3,2 тыс.
Просмотров 9 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 44   
@davisnitu890
@davisnitu890 25 дней назад
Sawa bwana Mpanzi nimekuelewa sana ndugu yako wa seedco hapa
@winfridakipesha8214
@winfridakipesha8214 3 месяца назад
Nashukuru kwa somo zuri, nimejifunza kitu hapo 🙏
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 3 месяца назад
Karibu sana
@erickmgongolwa8505
@erickmgongolwa8505 3 месяца назад
Nina experience ndogo ya avocado for busness, ukitaka kulima kwa biashara tafuta maeneo kimo 1500 from sea level, alafu yawe yenye mvua za kutosha, hutapata shida kuhudumia. chini ya 1000m, ww lima kwajiri ya chakula chaco tu. ukifika Arusha ukaangalia hass inavobeba, alafu ufike dodoma uangalie unaelewa kwamba dodoma umeforce,
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 3 месяца назад
Asante kwa Mchango wako, Karibu
@Salumchiwili2023
@Salumchiwili2023 2 месяца назад
Mimi nawaza kuanza kilimo hicho handeni tanga ila bado sijafanya utafiti mana nipo nje ya nchi sijui unaweza kunishauri nini hapo kiongozi
@lamama.
@lamama. 2 месяца назад
mi natoka Songea, mwinuko 1060m. vipi unadhani avocado inaweza kukuballi vizuri kama ntazingatia mahitaji mengine kwa usahihi.
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 2 месяца назад
Ndio unaweza kulima vizuri tu! Karibu 0715 866 027
@lamama.
@lamama. 2 месяца назад
@@KilimoProTanzania ahsante ntawatafuta
@masachihorticultureunitcol711
@masachihorticultureunitcol711 24 дня назад
Tarime je
@PaulEddy-bi3fi
@PaulEddy-bi3fi 3 месяца назад
Natafuta soko la kuuza parachichi naomba connection, nipo Iringa, wiliya ya Mufindi
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 3 месяца назад
Wasiliana Nasi 0715 866 027
@AZAM_MEDIA
@AZAM_MEDIA 3 месяца назад
​@@KilimoProTanzaniaKwa Iringa aina Gani ni Bora Zaid?
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 3 месяца назад
@@AZAM_MEDIA Hass Avocado
@witnescholela1156
@witnescholela1156 2 месяца назад
Naweza pata namba yako
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 2 месяца назад
@@witnescholela1156 0715 866 027
@gracekawiche
@gracekawiche 6 месяцев назад
Asante sana kwa darasa zuri naomba mawasiliano ni kilimo tija
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 6 месяцев назад
Karibu, 0715 866 027
@siasia5469
@siasia5469 2 месяца назад
ASANTE SANA. UMETOA SOMO ZURI SANA MUNGU 🤲AKUBARIKI & AZIDI KUKUPA NGUVU YA ELIMU KILIMO TUKIPENDE. UMENIGUSA SANA NA NITAKUTAFUTA TUFANYEKAZI PA1🌹👊
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 2 месяца назад
Asante Karibu sana! Endelea kufuatilia vipindi vyetu
@user-vj9pu3rr8q
@user-vj9pu3rr8q 6 месяцев назад
Nimependa sana mafunzo
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 6 месяцев назад
Karibu sana
@daudhenry6212
@daudhenry6212 7 месяцев назад
👏 👏 👏 👏 👏
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 6 месяцев назад
Karibu
@mercyMahenge-sp2yj
@mercyMahenge-sp2yj 7 месяцев назад
Asante kwa elimu. Naomba mawasiliano yako, nahitaji kuwekeza katika hii industry
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 7 месяцев назад
Karibu sana 0715 866 027
@suaside7021
@suaside7021 6 месяцев назад
Mbona hujaizungumzia songea kwani huko parachichi haifanyi
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 6 месяцев назад
@@suaside7021 Mkoa wa Ruvuma pia unaweza kulima parachichi na ukapata matokeo bora, ni moja ya mikoa mikuu ambayo unaweza kulima! Karibu
@stevenelisha14
@stevenelisha14 5 месяцев назад
Kwa Kanda ya ziwa ipi mbegu bola yakulima
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 5 месяцев назад
Hass Avocado! Inapatikana kwetu, Karibu 0715 866 027
@isaacmwaipopo
@isaacmwaipopo 6 месяцев назад
Broo upo vizuri sana. Unajua kuelezea sana. Mungu akubariki. Ntakuchek kwenye namba yako kwa ushauri zaidi.
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 6 месяцев назад
Karibu sana
@corneljoseph6653
@corneljoseph6653 5 месяцев назад
Unayo namba yake nisaidie kiongozi
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 5 месяцев назад
@@corneljoseph6653 0715 866027
@saimonwantango9569
@saimonwantango9569 5 месяцев назад
Mkuu nimeingia you tube mara kibao kufatilia kilimo cha ovacado ila sikupata jibu, niko wilaya ya kibiti kilomita 2 kutoka baharini,je naweza kulima na mimi ovakado ama sio sahihi kwa kilimo hicho?
@bavonwatson7360
@bavonwatson7360 4 месяца назад
Inawezekana ndugu, Mimi Niko Masoko karibu na Kyela Kuna joto pia lakini nimepanda avocado na navuna kwa sasa kama uko what's app nitakutumia picha kwa ushahidi zaidi
@JohnsonFcnco
@JohnsonFcnco 2 месяца назад
Unauzaje hizo kaka kama nahitaji za biashara
@kainimkini2073
@kainimkini2073 2 месяца назад
Njoo Iringa
@JohnsonFcnco
@JohnsonFcnco 2 месяца назад
Iringaa sehem gani Kuna parachichi nzuriii !!
@yasirabdalla1430
@yasirabdalla1430 7 месяцев назад
tatizo huoneshi picha
@KilimoProTanzania
@KilimoProTanzania 7 месяцев назад
Karibu, picha gani unazotaka zionyeshwe?
@ahmadnyamwelu5597
@ahmadnyamwelu5597 2 месяца назад
Umetisha kijana wangu
Далее
La Tierra Robó El Anillo De Saturno #planetballs
00:14
Почему-то хочется плакать
00:17
Просмотров 500 тыс.
Kilimo cha Parachichi Rombo #kilimo #rombo #avocado
8:13
La Tierra Robó El Anillo De Saturno #planetballs
00:14