Тёмный

KIMEUMANA! ASKARI WAGOMBANA WENYEWE Kwa WENYEWE Katikati ya JIJI, Tazama KILICHOTOKEA... 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 188 тыс.
50% 1

KIMEUMANA! ASKARI WAGOMBANA WENYEWE Kwa WENYEWE Katikati ya JIJI, Tazama KILICHOTOKEA...
TAHARUKI Imezuka jijini Dar es salaam baada ya askari mmoja aliyekuwa amevalia mavazi ya kiraia kuwasimamisha askari waliokuwa wakiendesha gari binafsi kwenye barabara maalaumu ya magari yaendayo kasi na kuwahoji kwanini wanafanya hivyo kinyume na sheria...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

7 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 379   
@chaptvmedia6621
@chaptvmedia6621 3 года назад
Sema kimeumana 😆😆😆
@stemarcely7493
@stemarcely7493 3 года назад
Kwa kweli KIMEUMANAAAA....😂😂
@peragiaisdor6315
@peragiaisdor6315 3 года назад
Kimeumaanaaaaaa
@mgasa_tz5527
@mgasa_tz5527 3 года назад
Kimeumanaa🤣🤣🤣
@leokamil6284
@leokamil6284 3 года назад
Kimeumana
@halisientertainment6489
@halisientertainment6489 3 года назад
Kimeumana
@marafikistation
@marafikistation 3 года назад
Wewe ndio mwandishi unaetakiwa Tanzania ya leo BIG UP SANAA☑️
@charlesmponzi1597
@charlesmponzi1597 3 года назад
Gabi Safi Kaka umeiva sana
@simontamba1285
@simontamba1285 3 года назад
Saana tu
@kessyantoy6223
@kessyantoy6223 3 года назад
ANA HAKI KUWEKA SHERIA SAWA, KWA MUJIBU WA UTENDAJI KAZI NA SHERI, SAFI SANA OFISA
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 3 года назад
Vijana tusipoheshimiana katika Kazi zetu mtakuwa mnajivunjiaga Heshima wenyewe
@manyotaskipper5765
@manyotaskipper5765 3 года назад
Hongereni Global hongera askari mpambania HAKI Allah akuongoze
@fadhilikawambwa1586
@fadhilikawambwa1586 3 года назад
SAFI SANA GLOBAL HASA HUYU MTANGAZAJI
@japhetiurassa7434
@japhetiurassa7434 3 года назад
Muandishi upo makini sana njo nipe sawadi yako
@dignakanje4508
@dignakanje4508 Год назад
Nimekupenda bureee wewe askari ,umetumia hki kbisa Ndio mambo anayokataa mama samia hyo.Nakusema mnakosa weredi mnaabisha jeshi lapolice
@MahmoudMohamed-ct8no
@MahmoudMohamed-ct8no 3 года назад
Mwandishi wa global Tv online umetisha kabisa nawaangalia from France 🇫🇷🇫🇷🇫🇷 safi sana
@johnsonnade7476
@johnsonnade7476 3 года назад
Askari huyo yupo sahihi no one above the low
@masalsamwelmasal2255
@masalsamwelmasal2255 3 года назад
Af sio low ni law
@briansancedo9336
@briansancedo9336 3 года назад
Safi sana 🙏🙏🙏🙏 🇹🇿 Tanzania yetu sote 🔨 nao walipishwe faine Sheria Kama ni msumeno Basi nao walipishwe
@calvinb68
@calvinb68 3 года назад
We mwandishi umetisha sana na waandish kama nyie ndo tunaowataka bg up bro
@rozina2161
@rozina2161 Год назад
Nimependa huyo mtangazaji alivyomjibu huyo askari niko kazini. Kama wewe much. Love. From kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@jonaspatrick2871
@jonaspatrick2871 3 года назад
Na bado wametenda kosa mbele ya camera, wamegeuza gari lao kwenye kwenye Zebra Crossing. Sijui huwa wana fundishwa nini shuleni.
@ezekielloylepayon5042
@ezekielloylepayon5042 3 года назад
Dah kweli tanzania nchi yangu vichwa vya mwendawazimu ila hongera mwandishi wa global umejitahd sana
@aishaamwalimu2887
@aishaamwalimu2887 Год назад
Muosha Huoshwa Sawa Sawa,Ahsante Gaby kwa Taarifa.
@barkatkhan6300
@barkatkhan6300 3 года назад
Big up sanaaaa mtangazaji hakika umetumia taaluma yako inavyotakiwa... Congratulations utafika mbali...mtangazaji jasiri sana. Wote wangekuwa hivyo haki za Raia zingeheshjmiwa
@jonaspatrick2871
@jonaspatrick2871 3 года назад
Huyo askari yupo sahihi sheria itumike sawa kwa wote.
@salimkidelah6360
@salimkidelah6360 3 года назад
Nmependa unavyojiamini kwenye kaz yko muhandishi wa habari hongera aisee
@asumahanassoro7588
@asumahanassoro7588 3 года назад
Mwandishi nimekuelewa sn😂😂😂😂😂
@allyally7248
@allyally7248 3 года назад
Kama mimi
@saidrunas1414
@saidrunas1414 3 года назад
Jamaa yopo sahii
@lansonmlehele7248
@lansonmlehele7248 3 года назад
Safi Sana Askari uliyevaa kiraia akuna mtu ambaye yuko juu ya sheria
@ladsonmshana9920
@ladsonmshana9920 3 года назад
Hii Safi kabisa vimeumana
@zainakuzenza759
@zainakuzenza759 3 года назад
Big up askari unayepambania haki yako na mwandishi bila kusahau mchango wa ma Samia kuruhusu waandishi wasibugudhiwe
@dignakanje4508
@dignakanje4508 Год назад
Safi sana
@kondobanaah1372
@kondobanaah1372 3 года назад
MAGUFULI KAACHA VICHWA
@erastonyonierastonyoni1193
@erastonyonierastonyoni1193 3 года назад
Mtangazaji sijui nikupe nin dah
@khamisjuma5046
@khamisjuma5046 3 года назад
Apandishwe jeo mzalendo
@edwintouches
@edwintouches 3 года назад
Eti NTAPASUA SIMU...Why? SMH
@masaidaniel919
@masaidaniel919 3 года назад
Hongera mtangazaji unafaa na upo kazini
@malmavoice8989
@malmavoice8989 3 года назад
Hii nimeipenda,huyu askari ni jasiri sana apandishwe tu cheo atusaidie. Askari wamekuwa wakiishi kimazoea wanakosea lkn wao wakikukamata kama raia hawataki hata sababu. Tii sheria hatakama unazisimamia
@onesmojohnny2172
@onesmojohnny2172 3 года назад
Safi sana askari mzalendo
@frankmwajombe177
@frankmwajombe177 3 года назад
Duh umetisha sana ndugu muandishi
@mybrevisai2508
@mybrevisai2508 3 года назад
Ila Mwandishi anajielewa sana, mtu yupo kazini kama wewe, halafu unamtishia wakati uhuru wa habari ni haki ya kikatiba
@vituskabula4770
@vituskabula4770 3 года назад
😂😂😂😂😂bigup mwandishi wa habari
@husseinkarim6745
@husseinkarim6745 3 года назад
Mkuki kwa nguruwe kwa.binadamu nchungu. Wengi hao askari hutumia mwendo kasi vilevile magari yaserikali hata madereva wanaondesha wake za wakubwa.wanaachwa wanajua humo hakuna fine wala hicho kiru
@ellymshana1168
@ellymshana1168 3 года назад
Gaby Mtanzania💪💪💪
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 года назад
Huyu ndo mtangazj ss anaejuw kazi yake ppt Anasubut,!! Mungu akupe maish maref 🙏🙏🙏
@solomonichisaye8767
@solomonichisaye8767 3 года назад
Eti twende nikakulipe🤣🤣🤣
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 3 года назад
Iyo ni tamu Sana uyo Askari kiboko anatisha
@petermunanka3827
@petermunanka3827 3 года назад
Nawasalimia kwa jina lajamhuri ya muungano mama kasema kazi iendelee kazi kwenu polisi tanzania
@bockernyarusahi3655
@bockernyarusahi3655 3 года назад
Huyu Muandishi wa habari ni jasiri,siyo mbabaishaji,yaani kitu ni live,sababu ya huyo Afande ni za msingi
@mwigakatumpula9817
@mwigakatumpula9817 3 года назад
Hatimae nazi imeliwa na juwa 🤣🤣🤣🤣🙆🙆🙆🏃🏃🏃🏃🏃🏃
@kelvinyondani2644
@kelvinyondani2644 3 года назад
😂😂😂😂
@luganomwakyusa7697
@luganomwakyusa7697 3 года назад
R.i.p jpm tutaona mengi sana
@mrematvbabakoku8336
@mrematvbabakoku8336 3 года назад
Safi sana afande bg up
@Noreen-gd6js
@Noreen-gd6js 3 года назад
Safi sanaaaa komesha hao
@jasminegabriel4247
@jasminegabriel4247 3 года назад
Duh kweli hatari
@stevenlugojeremia2323
@stevenlugojeremia2323 3 года назад
Hongera sana mtangazaji..
@jumaalhamid5242
@jumaalhamid5242 3 года назад
safi sana mkuki kw nguruwe kw bnaadam mchungu
@AlAl-sd9pl
@AlAl-sd9pl 3 года назад
Saf Sana Kaka nikweli haki itendeke
@DMteCh-xs2jo
@DMteCh-xs2jo 3 года назад
Wakazie tu walipe
@jongosalehe1036
@jongosalehe1036 3 года назад
Sheria ifuate mkondo wake.
@brownmkana8975
@brownmkana8975 3 года назад
nimeipenda sana hiyo DEMO
@hammerQ954
@hammerQ954 3 года назад
big up Gabby mtz 👏👏👏👏
@graveengrave2936
@graveengrave2936 3 года назад
Hongeraa kaka tunakupataaa
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 3 года назад
Kweli Kabisa Sio Sawa Atua Zichukuliwe Nao Walipe
@kilimileally4866
@kilimileally4866 3 года назад
Big up mtangazaji
@majaliwamsigwa6206
@majaliwamsigwa6206 3 года назад
Hapo sawa,ukisikia haki sawa ndo hiyo,lazima alipe ili twende Sawa,kutii sheria bila kupendelea
@shabanimbenu2163
@shabanimbenu2163 3 года назад
Sema kweli japokuwa chungu. HAKUNA ALIYE JUU YA SHERIA
@omarmkumba3547
@omarmkumba3547 3 года назад
Bbara ya mwendokasi imekua dili
@malimbwikombo2177
@malimbwikombo2177 3 года назад
Mwandishi..... Hongera
@simontamba1285
@simontamba1285 3 года назад
Haki sawa kwa kila MTU na sheria ni msumeno
@umojawawatanzania3813
@umojawawatanzania3813 3 года назад
Enzi za MAGUFULI huyu angepandishwa cheo.
@ramlamburi9743
@ramlamburi9743 3 года назад
Kweli kabisa
@salimsaid7200
@salimsaid7200 3 года назад
@@ramlamburi9743 ENZI YA MAGUFULI HII HABARI USINGEIONA UMEONA RAHA YA UHURU WA WA ANDISHI MAMA SAMIA OYEEEE MALIKIA WETU WA AFRICA.
@alishai4328
@alishai4328 3 года назад
@@salimsaid7200 Oyeeee!!!
@ototek8037
@ototek8037 3 года назад
@@salimsaid7200 usingeiona kwasababu hata muandishi anajuwa akiirusha kunamtu atakosa kazi
@maikodaudi6918
@maikodaudi6918 3 года назад
Hiyo ndio faida ya Uhuru wa vyombo vya habari
@bashiruhassan7310
@bashiruhassan7310 3 года назад
Huyu mtangazaji apewe sifa hawa ndo tunawataka sio kz kuwaoji mijitu ya ajabu ajabu mambo amby hayana msingi wowote💪💪
@magrethmallya7728
@magrethmallya7728 3 года назад
Kimeumana !! Hata yeye yuko kazini Kama wewe.
@reaganlyimo6259
@reaganlyimo6259 3 года назад
Duh
@bakarikayugwa3295
@bakarikayugwa3295 3 года назад
Chuma. Kwa chuma 🔥🔥🔥🔥
@comrademlewaisavile336
@comrademlewaisavile336 3 года назад
Hii ni aibu kubwa sana🤔🤔 Najiuliza kama angekuwa maguful huyu askar leo alikuwa hana kazi nabado anatishia waandishi wa habari. Duuh mh samia chukua hatua. Kama huna cheo huna chakusema
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 3 года назад
Ana hakii kwani mwanzo alijuwa ni laia uwezii ata ww kuchukuliwa video kilais tuu iko ivyoo ata mim piaaa
@anthonykondobole3962
@anthonykondobole3962 3 года назад
@@ramsikhamis7083 kwnn usichukuliwe wkt unafanya makosa?kisa ww ni askar
@feisalissa3009
@feisalissa3009 3 года назад
Hongera global tv 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 3 года назад
Usiombee mwandishi apate nafasi, "Tupo kazini kama wewe"
@changanataliforlife3760
@changanataliforlife3760 3 года назад
Hahahahaha
@madmer1614
@madmer1614 3 года назад
Huyo askar yupo sahihi Sana ingekua nikipindi cha doctor maguful angepandishwa cheo lkn kwa wakat huu wata mtia ndani na kumshusha cheo
@malataogtz2080
@malataogtz2080 3 года назад
Et zima kamera mpuuz kwel huyo akili hana..... Hongera mwandishi uko vizur
@tatukapilimba4535
@tatukapilimba4535 3 года назад
MWANDISHI SAFI SAAAANA...NA AFANDE SAFIIIIIIIII SANAAAA KWA KUKAMATA HAO...KAZI NZURI
@davidlukumay2226
@davidlukumay2226 Год назад
Vizuri sana ,na Mimi piah ninacho kijuaga vizuri Askari na police hawapatani
@fediliaulomi4969
@fediliaulomi4969 3 года назад
Nakuona amani kwenye kazi zako
@allymapinda8804
@allymapinda8804 3 года назад
Kimeumana 🤣🤣🤣
@jumamembe6822
@jumamembe6822 3 года назад
Hakunaga askr wa hvoooo kama askr kwa askr mnazozanabele ya raia hakuna askr hapoooo
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 3 года назад
Ushenzii huu piaa ndham mbovuu aisee
@TheNichym
@TheNichym 3 года назад
Apandishwe cheo huyo askari. Ameonesha umma namna polisi trafiki wanavyoonea wengine kwa makosa ambayo hata wao wanayatenda tena waziwazi. Apandishwe cheo huyo aliyevaa kiraia
@ambakisyejeremia4204
@ambakisyejeremia4204 3 года назад
Naugana na ww
@kishingokishingo1840
@kishingokishingo1840 3 года назад
Ni kweli Ila hapa pana tatizo kwa mujibu wa sharia ukamataji wa makosa ya barabarani anaekamata lazima awe na amevaa uniform zozote za uaskari
@othmanshabani5856
@othmanshabani5856 3 года назад
Hapana askari yoyote ana haki ya kumkamata mhalifu mahali popote maana jukum la askari sio mpaka awe na uniform kwani kitambulisho ndicho kinachomtambulisha
@eliudijastini645
@eliudijastini645 3 года назад
Sema kimeumana
@omarmkumba3547
@omarmkumba3547 3 года назад
Walipe fain
@josephleveri5604
@josephleveri5604 Год назад
Safi sana
@ayishaayisha8053
@ayishaayisha8053 3 года назад
Sasa asakri nje kama anawi kazi itakuaanje? Moja anamakosa 🤣🤣
@elifasingowo7084
@elifasingowo7084 Год назад
Big up kamanda haki kwa wote
@mwinyimsellem2689
@mwinyimsellem2689 Год назад
lakini yule askari mwenye ile gari ni jeuri, kwani hata baada ya kuambiwa kosa lake bado amerudia tena kupita kwenye barabara ile ile anatuhumiwa amefanya kosa. Awajibishwe tu
@athumanijuma8899
@athumanijuma8899 Год назад
Ongera snaa Maandishi uko Poa Sana Gabriel
@Noreen-gd6js
@Noreen-gd6js 3 года назад
Safi sanaaaa komesha
@omaryonga1776
@omaryonga1776 3 года назад
MBONA KAMA MAIGIZO YANACHEZWA.....OK LAKINI WANAIGIZA NADHANI....🙏🙏🙏
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 3 года назад
Hawaigizi ni Kweli imetokea mi nimeshuhudia
@hadijalukas5959
@hadijalukas5959 3 года назад
@@fatmaabdallah7709 ile ya kigoma asikali waliopanda gari la abilia wakiwa wamevaa kilaiya walipofika polini wakawachenjia abilia na kujifanya majambazi uliiona? basi hata hii iko hivo wanakuonyesha wewe na mimi kwamba usipite njia ya mwendo kasi hata kama ni kiongozi. ila hawana rorote kwani hakuna wavunjaji wa shelia barabarani kama viongozi, hata akiwa dreva wa mkubwa yeyote anavunja sheliya sana.sasa hapo najionea kama mbwembwe tu
@omaryonga1776
@omaryonga1776 3 года назад
@@fatmaabdallah7709 👊👊👊
@user-np4di2lg5u
@user-np4di2lg5u 4 месяца назад
Tanzania eeeeee nchi yangu eeeeee
@fleythevoiceofficall5314
@fleythevoiceofficall5314 3 года назад
Ngoja nifumbe mdomo wangu🤐🤐🤐🤐🤐mambo ya watuuuuuuu
@ikramsalum5655
@ikramsalum5655 Год назад
Kwasasa nitakua naishabikia globo . Maana imempata mundishi tunaemtaka.
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 3 года назад
Mi nishawahi kuwaambia sheria zote za kibinadam wamewekewa maboya makapuku walala hoi sio wale wenye mamlaka.
@user-zy5ru7pu9m
@user-zy5ru7pu9m 7 месяцев назад
Ilikuwa sjafaham. Ila nilipoifaham nimeona uyo askar asonauniform yuko sahihi !!!
@user-qy6kt5bb2w
@user-qy6kt5bb2w 6 месяцев назад
Vipi tena tz tunairudisha nyuma mbona vp unataka tuwe kama kongo kweli ivi policy wenyewe ku wenyewe wana papana wao nje ingekuwa sisi wenye ichi ingekuwa nje?
@allymohamed2724
@allymohamed2724 Год назад
TATIZO KUBWA TANZANIA YETU LEO NI NIDHAMU TU BASI. UNAPOZUNGUMZA RUSHWA UWE NA USHAHIDI. ASKARI NI MTUMISHI WA UMMA. KIJESHI LAZIMA UTII AMRI KISHA UTALALAMIKA KTK KITENGO HUSIKA. MWANDISHI WEWE SIO KAMANDA WA KITENGO JESHI. NA HUWEZI KUJUA SHUGHULI ZA ASKARI WAWAPO KAZINI.
@abdallahnassoro2460
@abdallahnassoro2460 Год назад
Mm nchi yangu inanishangaza sana haswa kwamarais wanapo pitishwa namagar Yao barabarani hujiuliza kwann wanapitishwa mbio sana na Sheria wamezitunga wao
@user-bv7yd5cx8z
@user-bv7yd5cx8z 7 месяцев назад
Ingekuwa plate namba inasoma ya serikali apo sawa kumbe inasoma ya kilaia kosa la jku
@ExavelMapunda
@ExavelMapunda 10 месяцев назад
Askali kuvunja Shelia wanaona ni haki yao, walimkata mwenzao na yeye amewakamata kwa kosa lilelile,
@josephmugala1970
@josephmugala1970 Год назад
Askari Anataka kupasua camera 📸👉🤣🤣🤣🤣
@florakabadoelkana6764
@florakabadoelkana6764 3 года назад
Kimeumana kweli
@sethkivuyo3342
@sethkivuyo3342 3 года назад
Askari police wa tz wanafanya kazi kwa mazoea.. wakiwa kwenye unifom utamuona na picpic bila kofa ngumu gari bila kufunga mkanda.. wapingwe lockup ili wajitambue
@loner_wolf
@loner_wolf Год назад
Askari hana maadili ndio tatzo la kuajiri walevi ktk kazi nyeti, sasa wewe ulipita na gari la kiraia na ulikuwa na uniform au ulikuwa kiraia? Na wao umewakamata wakipita ktk mwendo kasi wakiwa na uniform au kiraia? Kwasababu wakuwa na uniform inamaana wapo kazini na kazi yao ni full emergency. Sasa ugomvi wa nini hapo,
@mwadhinjuma8883
@mwadhinjuma8883 3 года назад
Safi Sana usikubali nawwe fanya hivo wakalipetu
@hizamp1827
@hizamp1827 Год назад
Wmeshiva pesa za mama
Далее
TUKIO LA KINYAMA LILILOTOKEA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA
9:29