Watu km hawa chakushangza hawatawekwa katika ugombea urais mbeleni hyu mwamba ana vision yenye mantiki mtu muhimu san hyu kwenye hii nchi na ndo umuhimu wamawaziri wenye knowledge ya uongozi iliyo Shiba
Bahat mbaya kazunguka sana na mwsho wa siku hajajibu hoja za msing...Kwa hili Bashe na wafuas wake wanaomtetea hapa 'KIPOPOMA' wamepuyanga ! ...Bahati nzur Muda n hakimu mzuri Sana..hatuombei Mabaya lkn Lina kila dalili kwamba hili Suala Halina 'Mataharisho'.....
😁😁😁 Indirect villagilization is back. Agriculture should be more capitalist and not socialistic. It takes an ordinary farmer 10years to adopt into Agriculture to be extraordinary, acheni siasa. I have been in the game for the past 10years its not easy it has never been easy, it takes sweat and blood my friends. Let's make Agriculture more capitalist and not socialistic, to some extent i am sailing with Halima, kwa attitude ya vijana wetu😁😁😁😁, Mungu atupe umri mrefu.
shida sio kumilikisha vijana shida ni kuanzisha mashamba mapya,wakulima wapo kwa nini msipime hayo maeneo ambayo tayari yanamashamba ili muyawekee hizo huduma za kisasa? hapo ndipo utaona upigaji,
Hivi Bashe huna mpango wa kuchukua fomu ya raisi? Maana sekta nyingi zinahitaji such a visionary leader na kwa kuwa hatuwezi kukuweka kote at once, a presidential post itakufaa sana
Mimi namshukuru MUNGU kwa kuzaliwa bashe pia namshukuru mh rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania samia suluhu hassan kumchagua hussein bashe huyu ndio waziri wa kilimo haswa
BASHE HONGERA SANA HARIMA MCHONGANISHI TU WALA SIO MPINZANI SPIKA MTULIVU TUSISAPOTI MTU HATA KAMA NI CHAMA CHAKO THAPOTI UKWELI ILI TUONDOKANE NA UMASKINI TANZANIA
Lkn hawa vijana mmewasomesha kwa pesa za serikali na mnawaandalia kazi kwa pesa kubwa mno na tunavyofahamu wakihitimu wanatakiwa kulipia boom za vyuoni je hii garama mnayoitumia kwao kujiajiri utaratibu wa kuja kuilipa endapo watafail au wakadumaza mafanikio ukoje?
Vijana wangapi bana hee!? Wezesha kwanza waliopo mashambani bana acha maneno mengi. Unavyojihakikishia kama vile utakuwa hapo miaka yote, kesho tu Mama akileta mkeka mpya ushahamishwa wizara