Тёмный

KIMEUMANA! BASHE AMVAA HALIMA MDEE “USINILISHE MANENO ,UMECHANGIA", SPIKA AINGILIA KATI 

Подписаться
Просмотров 66 тыс.
% 363

Опубликовано:

 

9 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 133   
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Год назад
Bashe you are visionary na unajua ukweli kuhusu uchumi, asante sana kwa kulihimiza hili . God bless you!
@deogratiashaule8958
@deogratiashaule8958 Год назад
Hakika ninamkubali sana Bashe , ni one of our think tanks in the country. Great job
@mteweleannon9293
@mteweleannon9293 Год назад
This is the vision we need in Agricultural. I support you ideas
@jesusiscoming237
@jesusiscoming237 Год назад
I repeat this once again katika widhara ambazo mama kalamba dume ni hii
@abubakaryduma5374
@abubakaryduma5374 Год назад
Keep on pushing the horizons Brother, This is modern wisdom . May Godbless our Madam president and all Cabinet members
@AMBINHED
@AMBINHED Год назад
Mh Bashe nakukubali upo vizuri sana . Halima Mdee kachemsha. Bashe 🫡
@JaneMlangwa-qd1jc
@JaneMlangwa-qd1jc Год назад
Hongera sana kaka Bashe!Nakuelewa sana! Mungu akutangulie na kukulinda kukunua katika mipango hiyo mizuri,wenyefikra tofauti Mungu awatie upofu!!
@willibroadwilliam6798
@willibroadwilliam6798 Год назад
Brother uko vizuri sana Watanzania tuige mfano wako.
@glassdubaialuminiumprofile2026
Ww ni kijana pia hazina kwa taifa brother MUNGU akutunze. I wish all the best
@benjaminlijongwa3715
@benjaminlijongwa3715 Год назад
Bashe ni wazuri Bora sana wakilimo haijawahi kutokea .Mimi namkubali sana yaani nimeamua kulima
@innaenock2074
@innaenock2074 Год назад
Bashe mi nakuelewa Sana we sio mnafiki🇹🇿👍
@mustaphampandi137
@mustaphampandi137 Год назад
hongera sana waziri wa kilimo bashe Mimi mwanyewe na omba shamba
@babuusemvua4831
@babuusemvua4831 Год назад
Safi sana wazir Bashe Mungu akusaidie
@jeromepantaleo8356
@jeromepantaleo8356 Год назад
Bashe keep it up,you are visionary
@happyyohana9881
@happyyohana9881 Год назад
Kazi zuri kaka Mungu akubariki sana
@yusufunkondo512
@yusufunkondo512 Год назад
Good work,agriculture is only solution to build our country.
@karenstephen8738
@karenstephen8738 Год назад
This is my president for sure !!
@monicamsile2284
@monicamsile2284 Год назад
Hongera Bashe,unabusara Sana,na utulivu wa kujibu hoja,hiyo ni sifa mojawapo ya kiongozi anayejitambua
@weastekadmin5760
@weastekadmin5760 Год назад
Bashe uko vizuri nakubaliana na unachosema. Lazima kama nchi tulenge kuondoka mashambani kuingia viwandani na maofisini ndivyo uchumi unavokua
@mdz.d.k360
@mdz.d.k360 Год назад
He's right on all points. nakupa mkono waziri I second the Motion😍👍
@eddovanny
@eddovanny Год назад
What a Speech....!!!
@juliasmwambulukutu3461
@juliasmwambulukutu3461 Год назад
Wizara ya Kilimo umempata Waziri, hao Wabunge wasio jielewa wa kuachana nao. Bashe Hoyeeeeee
@salimliemba3458
@salimliemba3458 Год назад
Mh bashe on fire halima punguza kuvuta 🎉
@chrisskazimoto675
@chrisskazimoto675 Год назад
Bashe uko vizuri Mungu akulinde
@amsiabbas3809
@amsiabbas3809 Год назад
Kama Mheshimiwa Bashe namuelewa Alafu Simuelewi vile !!
@emmanuelsamwel9970
@emmanuelsamwel9970 Год назад
Nakuheshimu sanaa mheshimiwa waziri. Bwana YESU azidi kukupa nguvu, hekima, na maarifa. Ameen.
@winnifridaashery4449
@winnifridaashery4449 Год назад
Safi Bashe,waambie🙏🙏
@elimuvisioncenter
@elimuvisioncenter Год назад
saaaaf sana Waziri Wangu 👏
@issaabdi471
@issaabdi471 Год назад
Waziri bashe wapambanie vijana wakitanzania hao ndio taifa lakesho wasikukwamishe
@yusufunkondo512
@yusufunkondo512 Год назад
Agriculture for Young's is now.Kwa mazingira haya wanaweza.
@kalolontungo8476
@kalolontungo8476 Год назад
Nakupenda Sana kaka Bashe
@FoodAsMedicine-mb5dj
@FoodAsMedicine-mb5dj Год назад
Visionary!! a dedicated Agri Minister!!
@peaceappolinarygahene9646
@peaceappolinarygahene9646 Год назад
Safi sana,hawo bado wanamawazo ya kikoloni ya mwaka 1960.
@superbillionairea5987
@superbillionairea5987 Год назад
MH bashe nakuona ktk uongoz yajuu kabisaa.
@christineluhanga6664
@christineluhanga6664 Год назад
Bashe ni Kijana safi sana!
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 Год назад
Huwezi kuchukua wakulima kutoka mjini vyuoni ukasema kuna impact utaiona, nendeni kwa wale wale walio field muone impact kubwa kwa muda mfupi
@stanleyevanda797
@stanleyevanda797 Год назад
I support you brother kwenye BBT wamejikoroga ,wangesupport kwanza waliopo
@chummaulid7115
@chummaulid7115 Год назад
Bashe ni wazir namba moja TX nzima
@bakarimohammed2796
@bakarimohammed2796 Год назад
Jamaa Anajua Sana
@fenrickmsigwa7437
@fenrickmsigwa7437 Год назад
🙌🙌
@zedymicheal9407
@zedymicheal9407 Год назад
Bashe wewe ndo Raisi wa baadae
@brightonchedego8100
@brightonchedego8100 Год назад
Safi sana👏👏👍👍
@aretassilayo3587
@aretassilayo3587 Год назад
Mungu atusaidie
@lianaelgomezulu2259
@lianaelgomezulu2259 Год назад
Bashe akili nyingi sn!! Mengine sijui.
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 Год назад
Watu km hawa chakushangza hawatawekwa katika ugombea urais mbeleni hyu mwamba ana vision yenye mantiki mtu muhimu san hyu kwenye hii nchi na ndo umuhimu wamawaziri wenye knowledge ya uongozi iliyo Shiba
@obeymunisi2059
@obeymunisi2059 Год назад
Bashe yuko vizuri sana hii sector anaiwezea
@emmanuelsamwel9970
@emmanuelsamwel9970 Год назад
What a leader
@otiatobakari752
@otiatobakari752 Год назад
Safi sana bashe
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Год назад
Bashe waelezee hapo hakuna wazalendo, wote wanaokuuliza haya maswali hawana uzalendo!
@dativamachary
@dativamachary Год назад
Yes
@dlumala
@dlumala Год назад
Pls week greenhousemoja k ila wilaya
@frankrowland2884
@frankrowland2884 Год назад
Halima amezingua
@julianmadosh2951
@julianmadosh2951 Год назад
Bashe wewe Ni kiongozi Wa uwakika pambana Kaka achana Na Halima uyo Ni Wa mchongo nenda katimize malengo ya watu wengi
@haidaryjoe5546
@haidaryjoe5546 Год назад
Bahat mbaya kazunguka sana na mwsho wa siku hajajibu hoja za msing...Kwa hili Bashe na wafuas wake wanaomtetea hapa 'KIPOPOMA' wamepuyanga ! ...Bahati nzur Muda n hakimu mzuri Sana..hatuombei Mabaya lkn Lina kila dalili kwamba hili Suala Halina 'Mataharisho'.....
@peaceappolinarygahene9646
@peaceappolinarygahene9646 Год назад
Tanzania tunahitaji mawaziri kama Bashe.
@SAPABoY114
@SAPABoY114 Год назад
OUR NEXT PRESIDENT ❤
@timboxlee919
@timboxlee919 Год назад
Ni kweli watapewa watoto wa maskini,au hiyo ardhi mtajilipa wenyewe
@namsamson3443
@namsamson3443 Год назад
Huyu jamaa apewe urais
@florianminja8427
@florianminja8427 Год назад
Acha unafki
@hilmialjahdhami9787
@hilmialjahdhami9787 Год назад
Flora unafiki gani Bashe Anasifa ya kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
@EliudNnko-rw8fm
@EliudNnko-rw8fm Год назад
Piga kazi kijana wetu! Nimekuwa kwenye sekta ya Kilimo zaidi 30; ila umefanya mabadiliko makubwa kwenye sekta mama ya Kilimo piga kazi jembe letu.
@mohamednassor4294
@mohamednassor4294 Год назад
Hyu jmaa apewe uraisi tuu future
@salumjuma3152
@salumjuma3152 Год назад
Sometimes unafikiri hawa kina halima wanachotaka nn
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 2 месяца назад
Huyu waziri huwa simuelewi kabisa,
@ellymathewkika5568
@ellymathewkika5568 Год назад
😭😭😭 keep moving bro
@furahamandai6628
@furahamandai6628 Год назад
Jaman mwachen basi mh bashee ajibu oja sasa mnatakaje basi akae kimya tunataka kumuelewa
@JosephJoseph-tz8cj
@JosephJoseph-tz8cj 3 месяца назад
Huyu ni kiongozi wa taifa letu badae
@danielkanso
@danielkanso Год назад
Huyu mheshimiwa yuko vizuri
@saketnicholaus9962
@saketnicholaus9962 Год назад
Geneus
@amosepimack399
@amosepimack399 Год назад
Waziri yuko sahihi.
@johnmacha2194
@johnmacha2194 Год назад
😁😁😁 Indirect villagilization is back. Agriculture should be more capitalist and not socialistic. It takes an ordinary farmer 10years to adopt into Agriculture to be extraordinary, acheni siasa. I have been in the game for the past 10years its not easy it has never been easy, it takes sweat and blood my friends. Let's make Agriculture more capitalist and not socialistic, to some extent i am sailing with Halima, kwa attitude ya vijana wetu😁😁😁😁, Mungu atupe umri mrefu.
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 Год назад
shida sio kumilikisha vijana shida ni kuanzisha mashamba mapya,wakulima wapo kwa nini msipime hayo maeneo ambayo tayari yanamashamba ili muyawekee hizo huduma za kisasa? hapo ndipo utaona upigaji,
@AbdallahSaidi-xe1se
@AbdallahSaidi-xe1se Год назад
akimaliza mama tumpe nchi bashe
@JosephJoseph-tz8cj
@JosephJoseph-tz8cj 3 месяца назад
Wa mpe urais huyu anatufaa
@brigithadidas5128
@brigithadidas5128 Год назад
Hivi Bashe huna mpango wa kuchukua fomu ya raisi? Maana sekta nyingi zinahitaji such a visionary leader na kwa kuwa hatuwezi kukuweka kote at once, a presidential post itakufaa sana
@barakamanyasi3719
@barakamanyasi3719 Год назад
The upcoming magufuli, #husseinbashe
@nyembobea7285
@nyembobea7285 Год назад
Mimi namshukuru MUNGU kwa kuzaliwa bashe pia namshukuru mh rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania samia suluhu hassan kumchagua hussein bashe huyu ndio waziri wa kilimo haswa
@piuspanga864
@piuspanga864 Год назад
Kwani Mzumbe ni Chuo?
@jamesbella6692
@jamesbella6692 Год назад
Kiongozi uko sahihi piga kazi
@emmanuelsamwel9970
@emmanuelsamwel9970 Год назад
What I leader
@vicentdasilva4518
@vicentdasilva4518 Год назад
nawaza Ccm wakija kumpa nafac ya rais itakuw xafi xana
@rev.thobias2756
@rev.thobias2756 Год назад
BASHE HONGERA SANA HARIMA MCHONGANISHI TU WALA SIO MPINZANI SPIKA MTULIVU TUSISAPOTI MTU HATA KAMA NI CHAMA CHAKO THAPOTI UKWELI ILI TUONDOKANE NA UMASKINI TANZANIA
@ayububrantaya6624
@ayububrantaya6624 Год назад
Chuma lingine hili nakubal man
@jofreydaudishamdilu1321
@jofreydaudishamdilu1321 Год назад
Halima noma
@princekagame8203
@princekagame8203 Год назад
Chapa kazi kaka natamani siku 1 polepole awe the president and. U Minister of Agriculture
@hamisipolenisanaissa8859
@hamisipolenisanaissa8859 Год назад
umeongea ukweli
@malkavoice2570
@malkavoice2570 5 месяцев назад
Lkn hawa vijana mmewasomesha kwa pesa za serikali na mnawaandalia kazi kwa pesa kubwa mno na tunavyofahamu wakihitimu wanatakiwa kulipia boom za vyuoni je hii garama mnayoitumia kwao kujiajiri utaratibu wa kuja kuilipa endapo watafail au wakadumaza mafanikio ukoje?
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 Год назад
Bashe apewe nchi,awe raisi
@aminakasim1198
@aminakasim1198 Год назад
Halima mdeee ajee OMANI ajifunzee maishaa ndoatajua Tanzania ni matajir tuipendee tanzania jamani
@happyyohana9881
@happyyohana9881 Год назад
😂😂😂 umeona
@suzyjoseph6706
@suzyjoseph6706 Год назад
Kabisa
@ezekielmabwai4614
@ezekielmabwai4614 Год назад
Kilimo cha makaratasi Si mnakuwaga wazuri kwa kuandika na utekelezaji Ina kuwa ZERO?
@evelina9621
@evelina9621 Месяц назад
Hapana.;bei.garama Ya.kulima.kubwa.mno
@filbertfaustine7357
@filbertfaustine7357 Год назад
Kuna kitu hapa mtakuja kuniambia baadae
@manwoka4078
@manwoka4078 Год назад
Vingereza Vingi,ni dalili ya utumwa wa kiakili.kiswahili kinajitosheleza
@mcback4384
@mcback4384 Год назад
Ndio lugha mwanao anaitumia shuleni
@Stevelosa
@Stevelosa Год назад
alichokuwa anakitaka halima amekipata
@The7101987
@The7101987 Год назад
Vijana wangapi bana hee!? Wezesha kwanza waliopo mashambani bana acha maneno mengi. Unavyojihakikishia kama vile utakuwa hapo miaka yote, kesho tu Mama akileta mkeka mpya ushahamishwa wizara
@silasjacob9132
@silasjacob9132 Год назад
Acha makasiriko anamikakati ...bashe. mungu amuongoze tyu
@manufredmbai9322
@manufredmbai9322 Год назад
Alima umefeli. Base una akili kubwa sana.
@user-rs8tm5bq9b
@user-rs8tm5bq9b 3 месяца назад
Wazr umetsha
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 Год назад
mwamba uyu hapa
@furahamandai6628
@furahamandai6628 Год назад
Tulia namuelewa basheee bado
@J4UPro
@J4UPro Год назад
Wewe mwamba ni kiboko
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 Год назад
Bashe unaleta siasa kwenye kilimo
@princewilliam6662
@princewilliam6662 Год назад
Kingereza kiiiingi asa babu na bibi yangu ambao ndo wanataka mbolea wataelewaje hiyo lugha?
@jesusiscoming237
@jesusiscoming237 Год назад
Mtu na nusu huyu