Тёмный
No video :(

KIMEUMANA! MPINA VS MWIGULU BUNGENI "HUO NI WIZI NA UFISADI, MWIGULU, MBARAWA WAKAMATWE!" 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 283 тыс.
50% 1

KIMEUMANA! MPINA VS MWIGULU BUNGENI "HUO NI WIZI NA UFISADI, MWIGULU, MBARAWA WAKAMATWE!"
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 682   
@enoszaka-tx8qw
@enoszaka-tx8qw 10 месяцев назад
mbunge wangu wa nguvu mtu makini ruhaga mpina 💪🙏
@mwandisimfukwe326
@mwandisimfukwe326 9 месяцев назад
alikuwa wazir alifanya nini🫣
@toney..
@toney.. 10 месяцев назад
Mbunge bora WA mwaka.... Kuwe na tuzo za wabunge bora kila mwaka jamani....
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 10 месяцев назад
Daaah huyu mwamba namkubali sana yuko smart kuanzia mavazi mpaka point zake
@francismigongwa4146
@francismigongwa4146 10 месяцев назад
Mh Mpina pokee 🎉🎉🎉🎉💐💐💐💐 yako ukweli utabaki ukweli maana Kila point unapigwa taarifa ili uzibwe mdomo muuu, Mungu wetu tushike mkono peke yetu hatuwezi RIP MH JPM .
@MkoiTvTz
@MkoiTvTz 9 месяцев назад
MTANZANIA ALIYEOLEWA NIGERIA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YA JUMBA LAO LA KIFAHARI HUKO.! ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-9bXTiw6Qklc.html. MSICHANA MREMBO WA KITANZANIA ALIYEFAHAMIKA KWA JINA LA TED JOHN ALIYEKUWA AMEOLEWA NCHINI NIGERIA NA TAJIRI MKUBWA. AELEZA ALIVYOMZIKA MAREHEMU MUMEWE NDANI YAJUMBA LAO LA KIFAHARI LILIPO NCHINI HUMO KISHA KUKIMBIA NA WANAE. UBALOZI WA TANZANI WAMUOKOA NA KIFO KWA KUMTOROSHA USIKU NA KUREJEA TANZANIA NA WANAE WATATU, AMUOMBA RAISI SAMIA. WATANZANIA WOTE NA DIASPORA KUMSAIDIA KUHUSU WANAE AMBAO HAWAJUI KISHWAHILI HATA. CHEMBE. AONGEA NA MKOI TV, VIDEO HII HAPA, SHARE KWA KILA MTANZANIA DUNIANI KOTE ILI WAMSAIDIE DADA HUYU. COMMENT NA SUBSCRIBE MKOI TV ONILI AU KAMA UNA MAONI TUTAFUTE WHATSAPP NO +255713575718. KARIBUNI SANA
@georgesemakula1063
@georgesemakula1063 9 месяцев назад
😊😊
@merygodfrey3709
@merygodfrey3709 9 месяцев назад
Kwa nini mnaingilia taarifa mmeshaona anaonyesha nja za upigaji.Hongera Mpina Songa mbele.
@user-go2op5ql4y
@user-go2op5ql4y 10 месяцев назад
Mpina kutoka moyoni Mungu anisamehe dhambi zangu ili akubali maombi yangu kwakweli mpina Mungu akulinde sana
@adamukidua962
@adamukidua962 10 месяцев назад
Awe makini, wasiojulikana hawapo,mbali 😭😭😭
@tusajigwe7491
@tusajigwe7491 10 месяцев назад
Amina kwa ajili yake
@user-jt4lo1og8w
@user-jt4lo1og8w 10 месяцев назад
Congration mr.mpina mungu akulinde sana mpina,kwasababu nchi msema kweli hadumu.
@user-gb4yp3um8o
@user-gb4yp3um8o 10 месяцев назад
Hongera Sana mpina mungu akusimamie ktk uwakilishi wa nchi,wewe ni mzalendo
@kumekuchaonlinetv
@kumekuchaonlinetv 9 месяцев назад
Wabunge wetu hongereni sana kwa angalau kuonesha Uzalendo kwa nchi yetu!
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 10 месяцев назад
Ndo namkumbuka kauli ya ndugai iv uh wizi mpaka lini mbunge wangu bola ni mpina tu mungu akulinde sana
@gwamakagwamaka
@gwamakagwamaka 9 месяцев назад
Ndugu yangu mpina ww unamoyo mzuri naunaipenda nchi yetu mungu akuwekemaisha marefu Huyu mwinguru na naibu waziri hawanauruma nanchi niwezi tu
@nestor384
@nestor384 10 месяцев назад
Hii ndiyo tafsiri halisi ya mwakilishi wa wananchi. Wenye akili wamewekwa kando wapumbavu watuongoze!!!💔
@bockerbocker8495
@bockerbocker8495 10 месяцев назад
Ndilo lipo kwa sasa,akili ndogo kuongoza akili kubwa
@clarencelazaro9600
@clarencelazaro9600 10 месяцев назад
Duuuu kweli tunaongonzwa na vilaza waliopelekwa bungeni kwa wizi
@jacksonchaula6010
@jacksonchaula6010 10 месяцев назад
Mungu akulinde mpinaa
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 10 месяцев назад
Very true
@georgesemakula1063
@georgesemakula1063 9 месяцев назад
P0😊
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 10 месяцев назад
Mpina ni mtu na nusu..Big up sanaaa...The Next president
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z 10 месяцев назад
Ashukuriwe mungu Hapo hakuna upinzani.
@user-xn3gs9qc8u
@user-xn3gs9qc8u 9 месяцев назад
Muda wake ulikuwa haujaisha ukiondoa muda wa hizo taarifa big up muheshimiwa Mpina kwa uthubutu wa kusimamia rasilimali zetu za nchi
@user-iq4px2te4o
@user-iq4px2te4o 10 месяцев назад
Mheshimiwa Mpina Mwenyezi Mungu akupe ulinzi.
@user-eg8yq7nf2m
@user-eg8yq7nf2m 10 месяцев назад
Harafu wengine wanacheka baada ya kusikitika Bungeni nomaa
@reubendofu1760
@reubendofu1760 10 месяцев назад
Keep it Up Mheshimiwa Luhaga MPINA Mchango mzuri wenye hoja na uthibitisho wa kutoka Kilichobaki ni serikali kuyafanyia Maamuzi yanayosemwa
@eliakanyika4921
@eliakanyika4921 10 месяцев назад
Mpina Mungu akubariki
@sadokibrasio4777
@sadokibrasio4777 10 месяцев назад
Big up mpina,unamachungu na nchi hii
@jilalamaligisa4854
@jilalamaligisa4854 10 месяцев назад
Nilizoea sana kuangalia taarifa ya habari kufahamu yaliyojili na nchi inavyoenda lakini siku hizi hata hamu tu ya kuangalia taarifa ya habari sina kwa sababu najua kabisa naenda kupata maumivu ya moyo, hakika ipo siku wachache hawa walioamua kupuuza thamani ya jasho la wanyonge watalipa maumivu haya, iwe kwa Mungu kuwapa magonjwa yasiyotibika pamoja na wingi wa pesa zao haramu, watoto, wajukuu na vizazi vyao vyote kupata matatizo mbalimbali hapa duniani. Huwezi kupuuza maumivu na thamani ya binadamu mwenzako ukabaki salama.
@user-gb4yp3um8o
@user-gb4yp3um8o 10 месяцев назад
Wabunge wenzenu wakichangia ya maana musiwe wa kupiga makofi bila kujua mwenzenu anaongea Nini Sasa mnafurahi Sana tunapoambiwa uongo kumbukeni huyo ni mbunge anaye jitabua
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 10 месяцев назад
Pole sana, kweli tunabeba maumivu mioyoni nwetu!
@omaryyusuph7877
@omaryyusuph7877 10 месяцев назад
Tupo wengi atuangalii habari
@Leeeeeeee-96
@Leeeeeeee-96 9 месяцев назад
bora kuangalia tamthiliya tyu kuliko habari mijizi tyu inaoa wanawake kila siku 😂
@bahatikyomo4067
@bahatikyomo4067 9 месяцев назад
Kweli shauku ya kuangalia taarifa ya habari kama Kwa Magufuri haupo
@Nyanda506
@Nyanda506 10 месяцев назад
Wabunge wanacheka nakushabikia bila kujari masirahi ya taifa yaani ni upuuzi tu .Safi Mpina wabane kabisa hao
@janetsemahimbo8083
@janetsemahimbo8083 10 месяцев назад
Mungu amlinde kwa kweli
@bernadethashiduki6936
@bernadethashiduki6936 9 месяцев назад
Mungu wa mbingu na nchi akulinde na kukutunza Mpina
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 10 месяцев назад
Nilikuwa naomba kuwe na kura za maoni kuhusu mwigulu hebu jaribuni
@hassaniulende-sp6io
@hassaniulende-sp6io 10 месяцев назад
KWA KWELI MPINA NDIO KATIKA WAZALENDO WALIOBAKI NCHI HII , NI WACHACHE SANA , HONGERA SANA MPINA ,SISI WATANZANIA TUNAPOKUONA NI LAZIMA TUKUSIKILIZE SPICH ZAKO , HATUSIKILIZI MADUNDUKA SISI ,
@elisifajoshua6155
@elisifajoshua6155 10 месяцев назад
Kwann taarifa nyingi sana mwachen aongee. Mungu akulinde usiogope mtetezi wako yuu hai
@BonepherceMichael
@BonepherceMichael 10 месяцев назад
Huyu mbunge ni hazina🎉 ya nchi, Watanzania wema na wenye mapenzi mema na Taifa letu la Tanzania tumwombee kwa MUNGU amwagizie Malaika walinzi wamulinde usiku na mchana,MUNGU AKUBARIKI AKUTUNZE NA KUKULINDA.AMINA.
@evancykashaga6576
@evancykashaga6576 9 месяцев назад
Mtamkumbuka sana Magufulitu mtake msitake hataondoka mioyoni mwa watu hatakidogo uozo huu hakuna wa kufumbia macho niuozo mtu mtupu yani mpaka inaogopesha wananchi wanapita katita maisha magumu umeme mgao mlipuko wa bei alafu ipo mijizi ina kula kodi ya wana nchi haita wezekana
@GraceShayo-mj3oc
@GraceShayo-mj3oc 10 месяцев назад
Mungu akuinue kukuweka nafasi ya juu ktk jina la Yesu
@sethdaniel5560
@sethdaniel5560 9 месяцев назад
Amen
@osumsafi2095
@osumsafi2095 10 месяцев назад
Daah mpina wewe kweli mwamba MUNGU akulinde Sana
@sospetermigera685
@sospetermigera685 9 месяцев назад
Kwa Sasa Mpina duhh ndo Mbunge wangu wa mwaka . Makini sana jamaa
@emmanuelndone4767
@emmanuelndone4767 10 месяцев назад
Mpina much respect
@sikuzamwishotutaonamengira6788
@sikuzamwishotutaonamengira6788 8 месяцев назад
Hongera sana mh Mpina kwa uzalendo wako kwa taifa letu la tanzania... Nchi inajengwa na wanyonge inaliwa na familia za wachache serikalini inauma sanaaaaaaa
@toney..
@toney.. 10 месяцев назад
Mwigulu kuwa waziri WA fedha ni dharau Kwa taifa......
@emmanueliman7408
@emmanueliman7408 10 месяцев назад
Shangaa anajitetea kulinda upigaji alafu eti baadhi ya wabunge wanamshagilia eti.
@tusajigwe7491
@tusajigwe7491 10 месяцев назад
😂😅
@kisabihamadi7555
@kisabihamadi7555 10 месяцев назад
​@@emmanueliman7408dah hatari sana
@bwilumarigo
@bwilumarigo 10 месяцев назад
Mwiguru anasitahiri kufungwa maisha ana nimwizi wa kupitiriza
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 10 месяцев назад
Akika mpina tunakuombea sana awa wezi tunawasubili sana 2025
@Gamba177
@Gamba177 10 месяцев назад
Wezi watupu mijizi ccm kazi ya kulala bungeni na kujamba ovyo bila ya kusaidia walalahoi.
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 10 месяцев назад
😂😂😂🤮🤮
@stellakaguo8728
@stellakaguo8728 9 месяцев назад
Safi sana mpina sema kweli mafisadi wamezidi kuitafuna nchi.
@BernadethaSimba-qi4dw
@BernadethaSimba-qi4dw 10 месяцев назад
Asante sana M/Mungu anatenda sasa Mama Mh Samia ona mama madudu hayo walikuwa wanakudanganya hao ndiyo maana wananchi mioyo yetu inavuja damu wakati sisi hali huku mbaya wenzetu Maisha Raini vitambi vinakua kwa kodi zetu walala hoi Siyo hao tu wapo wengi tunakupigia magoti mama tenda kazi yako kwa mamlaka uliyopewa hao watu kama hao wanakuchafua sana funga hao hata kumi tu heshima yetu itarudi
@AbdillahSOthman
@AbdillahSOthman 10 месяцев назад
Muda wake mume uchukua kwa mitaarifa yenu mlipaswa mkae kimya tusikie aibu zenu mnatusababishia gharama za maisha kuwa juu kumbe pesa mnazibeba...
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 10 месяцев назад
Luhaga mpina wewe ndio mzalendo wa kweli MUNGU AKULINDE YEYE NDIE AJUAE
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 10 месяцев назад
Nina wasiwasi bunge lijalo watamwacha kwa kuwa hawataki mseji mkweli
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 10 месяцев назад
@@geraldlyimo2859 😂😂😂 hawawez coz wakimuacha akihamia CHADEMA anapata Jimbo coz wananchi wanamkubali
@maryfranknamkumba9182
@maryfranknamkumba9182 9 месяцев назад
The only man with balls CCM Penda sana wewe kaka na Ahsante from the bottom of my heart ❤️🙏🏾
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 9 месяцев назад
Daaa Mungu akubariki mpina aendelea kitupambania
@aloycesamba998
@aloycesamba998 10 месяцев назад
Mpina pokea🎉🌹🥀💐🌹yako mapema maana umeongea point sana
@mcmetroboom530
@mcmetroboom530 9 месяцев назад
Watu wa jimboni kwa mpina uyu jamaa anawawakilisha vyema ❤️ aisee
@user-ss1ph9vp7h
@user-ss1ph9vp7h 9 месяцев назад
Bunge hili sasa lina wabunge wawili tu wengine chenga tu. MPINA ❤+ MSUKUMA❤
@fredimtaze9982
@fredimtaze9982 10 месяцев назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Lissu alisema hawa jamaa wana tupiga kwenye mradi leli kwa kuongeza kilo mita
@bockerbocker8495
@bockerbocker8495 10 месяцев назад
Mpina anachokiongea anakijua,hawa wengine wanaleta porojo tu na fujo
@simonibonifasi3131
@simonibonifasi3131 10 месяцев назад
Safi sana mpina namungu akulinde vyakutosha
@ChristineElias-bn4dw
@ChristineElias-bn4dw Месяц назад
Chukuwa maua yako 🎉🎉🎉 kazi unaweza xnaaaa na mungu akulinde
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 10 месяцев назад
Mpina safi sana keki watu wanakula wachache sana
@jumamakamba2212
@jumamakamba2212 9 месяцев назад
Hakunaga msukuma boya hongera wapoti
@stevenmeshack467
@stevenmeshack467 9 месяцев назад
Mwiziiiiiii uyoooo
@DoriceSawaki-vg4sb
@DoriceSawaki-vg4sb 10 месяцев назад
Waziri wa fedha Mwizi anaimaliza nchi hii cjui kwann mama anamng'ang'ania atatufnya tuamini Wanashirikianaaa
@mohsixtus7048
@mohsixtus7048 10 месяцев назад
Wanabebana
@shabanimasue6546
@shabanimasue6546 9 месяцев назад
Mpina Mungu akulinde. You are excellent 👏
@samwelililenga
@samwelililenga 10 месяцев назад
Nafasi ya kiongizi wa juu ifanye kazi wananchi tunaumizwa sana sana
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 10 месяцев назад
Mi nikimuona Mwigulu nasikia kama aibu ya Taifa
@hilalmohd8941
@hilalmohd8941 10 месяцев назад
😢😢yani
@andreampemba1465
@andreampemba1465 10 месяцев назад
Kimeumana wazalendo bado wapo
@alikokibona1583
@alikokibona1583 10 месяцев назад
L
@elidiustudoy2640
@elidiustudoy2640 10 месяцев назад
Mwingulu akamatwe
@benjaminsendula7503
@benjaminsendula7503 9 месяцев назад
Sema wasukuma tunaongoza kuwa na viongozi wenye uelewa saana bungeni
@erickdioniz8277
@erickdioniz8277 10 месяцев назад
Aisee mpina Mungu akulinde sana
@Keyjop
@Keyjop 10 месяцев назад
Nliposikia mwigulu anaingi hiki kitengo daah ... 😢😢 Kwanchi kama Tz kuwa na kiongozi kama mh.mwiguru niaibu kwetu kama watanzania Kiukweli viongozi wetu mnatuangusha saana ... Eti transaction sio uhamisho kwahiyo English ndio lugha sanifu ya nchi now daaah ...🤣😄😄🙌
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 9 месяцев назад
Anafikiri tuko mbumbumbu!!! Transaction na uhamisho,,,anasujudu lugha za watu kuliko anaowaita watanzania wakat alishatuhamishia Burundi kitambo,,, shameless
@user-qp2pq1uq4k
@user-qp2pq1uq4k 9 месяцев назад
Naliona giza katika nchi yetu ukweli utaongea daima, RIP Rais Magufuli
@MageAwe-hl5zb
@MageAwe-hl5zb 9 месяцев назад
Hongera mheshima a mpina wewei Kweli ni mzalendo siyo hao wengine
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 10 месяцев назад
Hao wanao mpigia makofi mwiguru viraza kila hoja ndio mpina nakukubali sanaaa
@JoelSacta-rk5iy
@JoelSacta-rk5iy 9 месяцев назад
BIG UP
@isayakazimoto3192
@isayakazimoto3192 9 месяцев назад
Kazi nzuri my mpina ww ni kama magufuli hutaki madudu unapasua jipu hapo hapo.Ni wakati ss raisi alone hilo
@EzraKwili
@EzraKwili 9 месяцев назад
Duh My country 😂
@neemamajana3078
@neemamajana3078 9 месяцев назад
Wabunge simameni imara Wananchi tumechoka sana, Majizi wametuchosha sana, tusaidieni msiogope kuuawa.
@malugukushaha6764
@malugukushaha6764 10 месяцев назад
Mwenyezi mungu mwingi wa rehema, utukufu ni wako mwenyezimungu, naomba umlinde mbunge mzalendo mh. Luhaga Mpina na unusuru taifa letu dhidi ya mafisadi wa rasilimali zetu😭😭.
@gracemwakibolwa7910
@gracemwakibolwa7910 10 месяцев назад
Mungu amlinde huwa hawatakiwi watu kama huyu.❤
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 10 месяцев назад
Mtu anaongea ukweli mara taarifa mnatuona hatuna akili
@user-cz7bd9tc5k
@user-cz7bd9tc5k 10 месяцев назад
Hapa ndio Makonda na Chongolo Waingilie kati Kama kweli Wamepewa Meno ya kung’ata
@eliudntabusi9712
@eliudntabusi9712 6 месяцев назад
Namkubali sanaa MPINA
@ZulfikaHussein-fl9gt
@ZulfikaHussein-fl9gt 10 месяцев назад
Wazir wa fedha ni mwizi mnambeba sana afukuzwe
@jalaryababilasi1562
@jalaryababilasi1562 10 месяцев назад
Cyo kufukuzwa tu akamatwe Kwa kuhujum uchumi
@kambalakafuko7695
@kambalakafuko7695 10 месяцев назад
Hongera Mpina, lakini kwa serikali hii karibia watakupeleka kuwa balozi Msumbiji
@user-fb6dh6sz2g
@user-fb6dh6sz2g 10 месяцев назад
😂😂😂😂 ama kweli
@Brama_A37
@Brama_A37 10 месяцев назад
Natamani hapo angekuwepo John Heche, Tundu Lissu
@ZeraGeofrey
@ZeraGeofrey 10 месяцев назад
😂acha kutaman tumia ulichonacho
@patrickmfundiri8669
@patrickmfundiri8669 10 месяцев назад
Mbunge wa ukweli hongera mpina
@simonjnrmabula3785
@simonjnrmabula3785 9 месяцев назад
Mhe. Mpina 👏👏👏
@TECHTZTV
@TECHTZTV 10 месяцев назад
Huyu mpina atasababisha mwigulu ajinyonge
@kambamazig02024
@kambamazig02024 10 месяцев назад
transaction ni uhamisho wa fedha, hapo waziri umekula pabaya. Transaction = uhamisho wa fedha kielectronic.
@humphreynyiti516
@humphreynyiti516 10 месяцев назад
Huyu mbungehaki ya mungu nawambia ni zaidi ya wabunge 200 wa ccm namfananisha na marehemu deo philikunjombe huyu jamaa asee mungu amlinde
@novathmsanyamsanya7702
@novathmsanyamsanya7702 10 месяцев назад
Hakuni nchi inaweza endelea kwa kufanya Importation zaidi kuliko export
@alphoncekagezi4950
@alphoncekagezi4950 9 месяцев назад
Taarifa,za nini? Waziri wa fedha unapaswa usikilize hoja wabunge maana nao wana ufahamu pengine kuliko hata wa kwako. Wizi ukiwepo acha ujengewe hoja huo wizi. Mkaguzi wa hesabu za Selikali hata hujui anachochsngia mbunge Luhaga Mpina ww ni Waziri gani wa fedha ss? Kiatu kinakupwaya ebu Mh Raid aangaze nn anafaa kuendelea kukusaidia ktk maswala ya fedha kwa uwazi zaidi hasa tunahitaji kuingia uchaguzi wa Selikali za mitaa bila maswali tata kuhusu taarifa za ukaguzi wa mkaguzi mkuu wa hesabu za Selikali.
@benedictmabuga8707
@benedictmabuga8707 9 месяцев назад
L
@antonywilliama2868
@antonywilliama2868 9 месяцев назад
mnafany janja janja ya tarifa za wizi wa mda pia mna ufisadi
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 9 месяцев назад
Mwigulu mwizi ndoana anaingilia hoja wt wasiapate kumuumbuwa
@jimmymbella997
@jimmymbella997 9 месяцев назад
😂😂😂 nimependa mapendekezo yako safi sana kijana, ruhaga mpina unafaa sana. mafisadi wakamatwe washitakiwe, hasa huyo mwigulu nchembe sipendi kabisa Kazi yake!
@user-xx1jb5fq5p
@user-xx1jb5fq5p 10 месяцев назад
Usipotajirika kwenye hii serikal basi wew nimasikin wakufa
@Mwalimuchannel208
@Mwalimuchannel208 10 месяцев назад
Watu wenye akili na fact wamewekwa kando ila waliopewa nafasi ni akina naniii. Very sad😢
@BenjaminJambo-oy5ce
@BenjaminJambo-oy5ce 10 месяцев назад
Mwazo nilikuwanga sikwelew kwa sasa nakwerewa sana mbunge wetu wa kisesa tunakpa tena miaka 5
@angenyalusischmidt2321
@angenyalusischmidt2321 9 месяцев назад
TRUE
@yyprint8263
@yyprint8263 9 месяцев назад
Wakipewa nafasi wanabadilika pia
@victoriamefya6287
@victoriamefya6287 10 месяцев назад
Mpina hoyeeee Mungu akulinde
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 10 месяцев назад
wasipo tajilika kipndi hiki cha Samia ndo bx acha wale ulefu wakamba zao bn washapewa luhsa namama
@Pips_Lab-v2f
@Pips_Lab-v2f 9 месяцев назад
Mpina mwenyez Mungu akuweke sanaaaa😊
@simonsonda5363
@simonsonda5363 9 месяцев назад
MZEE WA TRABU AND TRAT ANAPIGA HELA TU MPK NDEVU KASAHAU KUNYOA BADO TOZO AMEKUSANYA
@hatari9591
@hatari9591 10 месяцев назад
Huyu jamaa ni noma sana!
@healingsschool4630
@healingsschool4630 9 месяцев назад
Our Father which art in heaven. Hallowed be thy name. 10 Thy kingdom come. Thy will be done in earth, as it is in heaven. 11Give us this day our daily bread. 12 And forgive us our debts, as we forgive our debtors. 12 And led us not into temptation, but deliver us from evil: For thine is the kingdom, and the power, and the glory for ever. Amen.
@meckmussa1840
@meckmussa1840 9 месяцев назад
Ameen
@roggoyacny
@roggoyacny 10 месяцев назад
NCHI yetu ukisema ukweli unachukiwa KAZI kwako mama SAMIA RAISI WETU mpe ushirikiano Huyo Mpina 🙏
@user-ky7qi7ud3u
@user-ky7qi7ud3u 10 месяцев назад
Kanda ya ziwa kuvichwa hatar genius
@teophilmbalamwezi
@teophilmbalamwezi 9 месяцев назад
Mpina Mungu akulinde bro,,
@protamwenyegzaketv7408
@protamwenyegzaketv7408 9 месяцев назад
Mwigulu Ni Mwizi
@ommymsangi9182
@ommymsangi9182 10 месяцев назад
Kuna genge la upigaji hapa TZ.Inapaswa kuwe na uwajibikaji kunakotokea kuna dosari kwenye kuendesha ofisi za umma.
@feliciarfrancis2388
@feliciarfrancis2388 10 месяцев назад
CCM inafaa kabisa kabisa ( Jibu Horn Mwigulu)
@masoudymichael
@masoudymichael 9 месяцев назад
Mpina alitakiwa awe makamu waziri mkuu🎉
@Emmanuelilemomo2024
@Emmanuelilemomo2024 4 месяца назад
Mpina mungu akupe her
@edwintouches
@edwintouches 9 месяцев назад
Jamaa hana muda na taarifa zao, "muheshimiwa mwenyekiti akae na taarifa yake". 😂 🙌
@nsajigwamwakalonge5702
@nsajigwamwakalonge5702 9 месяцев назад
Na unaweka na emoji ya kicheko?
@edwintouches
@edwintouches 9 месяцев назад
@@nsajigwamwakalonge5702 Ulitaka niweke ya mkundu wa mamaako? Pumbavu.
@gudimbwana8088
@gudimbwana8088 9 месяцев назад
Mpinaaa go on as MAGU way fire fire out
@johnsonmwesige8574
@johnsonmwesige8574 10 месяцев назад
Safi mpina
@Jovahn_company
@Jovahn_company 3 месяца назад
Kwamba waziri hana uelewa juu ya Financial intelligent unit (FIU).
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 9 месяцев назад
Watu wanfunguwa akaunt nje ya nchi wnaenda kuficha pesa. Uyo mwigulu afai ni. Mwizi
Далее
Chelsea gym be like.. 😅⚽️
00:20
Просмотров 14 млн
НЕ ИГРАЙ В ЭТУ ИГРУ! 😂 #Shorts
00:28
Просмотров 287 тыс.
Naibu Waziri Luhaga Mpina Awashangaa Wapinzani
5:08
Просмотров 1,9 тыс.
Chelsea gym be like.. 😅⚽️
00:20
Просмотров 14 млн