Тёмный

KIMEUMANA! MKURUGENZI ALIYESEMA HATAMBUI KAULI YA WAZIRI MKUU, RC MAKALLA AULIZWA "MLISHINDWA NINI" 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 298 тыс.
50% 1

KIMEUMANA! MKURUGENZI ALIYESEMA HATAMBUI KAULI YA WAZIRI MKUU, RC MAKALLA AULIZWA "MLISHINDWA NINI"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

3 окт 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 273   
@paciencemaumba7022
@paciencemaumba7022 9 месяцев назад
Pole Sana Mh waziri mkuu, watumishi Kama hao wako wengiii. God bless you
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 9 месяцев назад
Majaliwa you deserve to be a presdent,
@jumakondo5688
@jumakondo5688 5 месяцев назад
My next President
@leodegarfoyanshaw7111
@leodegarfoyanshaw7111 9 месяцев назад
Mh.Waziri mkuu, kwa kweli unachapa kazi iliyotukuka, wanamchi wako tunakushukuru sana na tunakuamini Sana na tunakuombea sana Mungu akubariki
@Mkrist
@Mkrist 9 месяцев назад
Hii ndiyo Serikali ya Samia Suluhu. Angekuwa Marehemu Magufuli, hapa vichwa vingeanguka leo leo. RIP Magufuli
@omaryramdhani9823
@omaryramdhani9823 3 месяца назад
Hana lolote lilikua na roho mbaya hilo dude lako uliko litaja
@sulemanmndeme8961
@sulemanmndeme8961 9 месяцев назад
Washitakiwe. Naomba kuwekwe Sheria ya utumishi wa umma. Atakaeenda kinyume na taratibu za kazi,kula rushwa,kufanya dhuluma na kutofuata Sheria za kazi washitakiwe. Tunawalipa Kodi zetu na watanzania wengi waadilifu hawana ajira.
@ahz6907
@ahz6907 8 месяцев назад
Wanyongwe😅
@sambulugu9988
@sambulugu9988 9 месяцев назад
Daah baadhi ya watendaji ni wabaya sana na wana roho mbaya sana! Asanteh Waziri Mkuu! Wazawa wanawekeza wazawa hao hao wanakwamisha! 🙏
@knight6757
@knight6757 9 месяцев назад
👀
@elisantemrita9490
@elisantemrita9490 9 месяцев назад
Watanzania huyu jamaa Mungu katupa 1) Awe raisi 2) CCM wakikataa awe raisi basi tumchangie hata 💯 kila mwananchi
@mikbete
@mikbete 9 месяцев назад
You are among few remaining TRUE SONS OF AFRICA.
@user-uj9zn6mj5b
@user-uj9zn6mj5b 4 месяца назад
Ndicho tunakipata WAKULIMA WA VANILLA MKOANI KAGERA TUNAIDAI KAMPUNI YA SOSAKA
@saidhamza5318
@saidhamza5318 9 месяцев назад
Hapa Kuna mambo mengi yalienda mrama .. kuhusu utaratibu. Pm amelazimika Hadi kutumia vetto.
@juzepha3160
@juzepha3160 9 месяцев назад
Baba jiuzuru uwaachie nchi yao, kipindi kikifika tutakuchagua 😢 Wasikudharau Bure Baba
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 9 месяцев назад
Mhh mhh siku ya hukumu imekuwa tumevurgwa na yetu Ila tungekuwa na wasaa wa kuangaliana tungebaku midomo wazi,kutokuamini ukweli wa mambo
@johnmworia1062
@johnmworia1062 9 месяцев назад
Sukuma ndani alafu wachunguzwe inaonekana ni wapigaji hawa.
@richardjoseph2921
@richardjoseph2921 9 месяцев назад
Kweli kaka huyu mzee wetu wanam~buruza tu. Usikute hata kustaafu wanamgomea hili kuficha......
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 9 месяцев назад
@@richardjoseph2921 usilolijua sawa na usiku wa giza
@wamoyothenumberone4356
@wamoyothenumberone4356 8 месяцев назад
Yeye sindo wazili mkuu sianamaamuzi na Utawara Akonaoo
@nekaagripa3993
@nekaagripa3993 9 месяцев назад
PM ni mmoja TU TZ
@kambamazig02024
@kambamazig02024 9 месяцев назад
Mwanza kuna syndicate mbaya sana inayohujumu kila kitu cha maendeleo na wanajifanya wao ni untouchable. Hongera waziri Mkuu kwa kuwakabili hawa.
@kristofuraha3369
@kristofuraha3369 9 месяцев назад
Aisee wanyonge wanapata tabu sana!😭
@vincentauxerbius7554
@vincentauxerbius7554 9 месяцев назад
Mzee wewe ni mtu sahihi peke ako ambae umebaki kwenye uongozi huu hao wengne wanafata upepo tu mungu akuweke sana mzee unapiga kaz nzuri sana🙏🙏🙏
@fidemgonja1966
@fidemgonja1966 9 месяцев назад
Nchi hii ukisimsma kwenye haki utapgwa vita kama sana pm kazia apoapo
@user98771
@user98771 9 месяцев назад
Watendaji Ardhi Halmasahauri manispaa ya kinondoni wanatapeli mnoooo
@scolasticakaduma5143
@scolasticakaduma5143 9 месяцев назад
Waziri Mkuu wewe ni damu ya JPM kabisa tunakupenda Watanzania wote. Hao mashetani ni majipu tumbua.
@Prax1
@Prax1 9 месяцев назад
The only Leader at the Moment
@rkcomercialenterprises3209
@rkcomercialenterprises3209 9 месяцев назад
Mali iliyopatikana kutoka kwa wananchi kwa njia ya compasation kwa manufaa ya Umma haiwezekani tena wananchi wengine wauziwe. Kuna shida hapa.
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 9 месяцев назад
Uyoo ni kibuli SANA. Anaweza kushindana na Mkuu wake WA KAZIIII DUUUUU GONJWAAA SANA LA UBONGOOO
@godlovemasamakibatandu2092
@godlovemasamakibatandu2092 9 месяцев назад
Kwani hujui teuzi za mama? Ni kujuana ndio maana kamweka wazuri mkuu naibu
@filmmaker8444
@filmmaker8444 9 месяцев назад
Inafurahisha sana level ya ufuatiliaji But the irrelevance of the issue is even next level. i wish vipewe kipaumbele vitu vyenye msingi kwa Wote in such a public level of detail.
@user-pn2vj2zi5f
@user-pn2vj2zi5f 9 месяцев назад
Vzr sana waziri mkuu binafsi nakuamini sana,
@yonangobito281
@yonangobito281 9 месяцев назад
Huyu ndiye kiongozi mwenye hofu ya Mungu
@naldclever
@naldclever 9 месяцев назад
Mh.Waziri mkuu kama wanakuzingua jiuzulu 2025 tukupe nchi....
@brother_majesty
@brother_majesty 9 месяцев назад
Naona PM akapewa kinoti..aloo...hii nchi aliiweza MAGU tuu
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 9 месяцев назад
Hongere Mhe Wazir Mkuu kazi inaendelea..........
@stephenndagalla8183
@stephenndagalla8183 9 месяцев назад
Na huyo àliye toa kauli ya kumdharau WM pamoja na Mkuu wa Mkoa wanachukuliwa hatua zipi.Ikumbukwe kuwa huyo Kamishna wa ardhi aliyetoa hiyo kauli ya dharau na DED wàlitumbuliwa na Magu, lkn wakarejeshwa na Mamlaka iliyopo, hapo picha ni kubwa zaidi. WM ana kazi...
@evansmoshi1923
@evansmoshi1923 9 месяцев назад
Tunashkuru sana wazirimkuu Kwa maamuzi sahihi mungu akubariki sana ,naona wakuu hapo vipara ving'aa kwelkwel
@wamoyothenumberone4356
@wamoyothenumberone4356 8 месяцев назад
😂😂😂
@yuenwilington835
@yuenwilington835 9 месяцев назад
Majaliwa kama majaliwa waukweli ndoo huyu mwamba wa serikali tatu.
@DullaSelemani
@DullaSelemani 3 месяца назад
Mkuu mpo vizuri sana ww na mama yet rais Wa jamhuri ya muungano wa tanzania mheshimiwa samia sulluhu hassan
@robertmkude8234
@robertmkude8234 9 месяцев назад
Hivi huu utamaduni wa watu kuwa incapable ya kufanya jukumu lao alafu wanahamishwa badala ya kufukuzwa na kutaifishwa mali zao kulipia hasara waliyosababisha haya mambo ndio maana hayakomi. Hapo ndipo walipomchukia JPM,yaani haiwezekani watu kuwa that stupid. Alafu bado ana kazi,WaTZ over 65mil tuna recycle same idiots? Aisee kiendelea hiyo nchi ni ngumu sana,biashara ya kuoneana aibu hii inatutia umaskini. Wafukuzwe na wafilisiwe,inaonekana sababu ni pesa ya serikali hakuna mwenye uchungu nayo. Ni JPM(RIP) tuu ndio aliyekuwa anamaanisha alichokuwa anakiongea,love or hate him.
@sanaanimaisha4072
@sanaanimaisha4072 9 месяцев назад
Umesema kweli ndugu. Recycling the same idiots, incapable fools
@janethpallangyo3855
@janethpallangyo3855 9 месяцев назад
Kabisa
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 9 месяцев назад
Jpm mengine mnamsingizia angekuwa hai angekataa ayo maneno mnayo mlisha Magu alikuwa anawatumbua tu lkn wako huru na sanasana ni wale viongozi walioteuliwa tu mfanyakazi aliyeajiriwa kuna hatua za kufuata tofauti na apo ata atakushitaki na utalipa fidia na kazi anaendelea sio rahisi Mana wengi wangekuwa walishafukuzwa, lkn pia matumaini yamekuwa makubwa kuliko uhalisia yule alikuwa mkali lkn watu walikuwa wanapiga kama Kawa
@onekisstv8412
@onekisstv8412 9 месяцев назад
Tafuta pesa Broo 😂😂😂 tuachane nao hao sio tz ndo inawatu wa hovyo nnchi nyingi duniani zipo hivyo
@prospervedasto4366
@prospervedasto4366 9 месяцев назад
Sidhani kama PM walopita wangaliweza kuendesha kikao na kulalamika hivyo, Mh. PM ajitafakari analiwa kisogo heri awaachie kiti hicho abaki na heshima yake
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 9 месяцев назад
Waziri mkuu Majaliwa wewe ndiyo ulistahili kuwa Rais mama hawezi wewe ni kama hayati magufuli unachapa kazi vizuri sanaaaa
@ZanzibarOrchestra
@ZanzibarOrchestra 4 месяца назад
kumbuka uweko wake hapo ni kwa sababu ya mama asingetaka awepo ungekuwa ushamsahau. mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni.
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle 9 месяцев назад
Shughulika nao mheshimiwa waziri mkuu kwani viongozi mmekuwa mnapoteza imani kwa wananchi kwaajili ya watu wachache wenye mambo ya hovyo kabisa kama hao wanao nyima haki za watu kwa maslahi binafsi
@mariomachecajoaquim1921
@mariomachecajoaquim1921 9 месяцев назад
I hope your Excelence One day to BE the Next President of Tanzânia. Naipenda bure kazi yako safi sana Mze
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 9 месяцев назад
Tanzania Kila mtumishi ni mwizi.Nchi ina loopholes nyingi sana hii na haitatoboa
@josephntongolo-kh5lm
@josephntongolo-kh5lm 9 месяцев назад
Unahitaji katika wakati huu mkuu kumsaidia mama.
@deborahmgedzi632
@deborahmgedzi632 9 месяцев назад
Tuwe wangalifu na maneno kwani yanaumba. Tuseme unachopenda na wewe usikie. Mungu Baba Mwenyezi tusameje kwa udhaifu wetu. Amina
@meshackmpalanga9130
@meshackmpalanga9130 9 месяцев назад
Yaaaan, hao jamaaa waliuza hadi eneo la kujenga kanisa
@YustoMlay-cv4zb
@YustoMlay-cv4zb 9 месяцев назад
Uyu Mzee anafaa kuwa Rais kabisa
@edmundchota2664
@edmundchota2664 8 месяцев назад
Safi saana Mheshimiwa Waziri Mkuu kwa maamuzi magumu.Hongera Sana!!
@frankmganda2424
@frankmganda2424 9 месяцев назад
Mkuu hao sio wakuongea nao kama wanakuzarau wachukuliwe atua haraka sana
@onekisstv8412
@onekisstv8412 9 месяцев назад
Aliesikia jambo dakika ya tisa sekunde ya 14 mpka 19 agonge like hapa😂😂😂😂😂
@josephshee
@josephshee 9 месяцев назад
Hongera Mh. Waziri Mkuu, huko ardhi yapo mengi tuu, ya aina hiyo. Wengi wana viliyo kama hivyo.
@jofreusimon8514
@jofreusimon8514 9 месяцев назад
hayo yaendelee katika uchunguzi mbalimbali nchi nzima inchi itakuwa inaviongozi wachapa kazi na waaminifu na wenye hofu ya mungu na kazi iendelee. ubarikiwe sana kiongozi.
@user-wu9zz1bm9h
@user-wu9zz1bm9h 6 месяцев назад
Tuna macho hatuoni tunamasikio hatusikii mama akimaliza muda wake tunakuomba baba gombea urais mungu akuweke insha Allah.Au ikiwezekana jiuzuku igombee Kwa chama chochote tutakuja kura
@sichahaule2819
@sichahaule2819 9 месяцев назад
Magufuli alikataa makala wengine wanasema makala.mzuri
@wamoyothenumberone4356
@wamoyothenumberone4356 8 месяцев назад
Huyo aliepinga maagizoo ya wazili mkuu maamuzi aliyatoa waapi
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg 9 месяцев назад
Hii nchi imekwisha kufa unachofanya ni sawaswa na kutaka kufunika mwili kwa leso.
@mapendomeela7166
@mapendomeela7166 8 месяцев назад
Mweshimiwa waziri mkuu gombea uraisi unapita mia ya mia mungu akulinde
@suratibrahim6417
@suratibrahim6417 9 месяцев назад
Siku zote nakuamini PM✍️ keep going...naomba mh chukua maamuzi magumu juu ya maadui hawa😢😢😢..inauma sana👽 nimeumia sana kudharauliwa mh waziri mkuu wetu🤨💯
@user-uy2dk2yv2c
@user-uy2dk2yv2c 9 месяцев назад
Tanzania bhana hatari Sana mkuu wa mkoa anajimwambafy kwa waziri mkuu hii ni hatari Sana
@TM.Sullusi
@TM.Sullusi 9 месяцев назад
Sio hata mkuu wa mkoa ni Mkurugenzi wa halmashauri 😂😂😂
@husseinabdallah916
@husseinabdallah916 9 месяцев назад
Waziri mungu akubaliki akulinde kwakutendaaki atasisi uku avc wanatutesa sana juu yamambo kamaayo
@zariadunia6328
@zariadunia6328 9 месяцев назад
Kuna watuhumiwa wawili hapo mzee wetu magu aliwatumbua mama akasema sikubali wakarudishwa mlimfanya magu chizi nyinyi ndo wajuaji wameboronga tena bado huyo mmoja makalla mnahangaika naye kumuhamisha mikoa mpaka analeta dharau bado waziri mkuu unamtetea eti wamemmislead haya hangaikeni naye tu sijui mtamrudisha Dar bado tu zunguukeni naye ila iposiku mtajua magufuli hakukosea kumtumbua Amos Makalla sema mama kama alikuaga na nongwa na magu
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 9 месяцев назад
Kumbe alitumbuliwagw
@abdullahchabukila6686
@abdullahchabukila6686 9 месяцев назад
Kabsa wanajifanya wajuaji ona sasa madudu Baba magu alitoa takataka zote bikidude kaludisha ni upuuzi tu 😢
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 9 месяцев назад
Wale watu wa Magufuli wote aliowatumbua wamerudi basi acha wale nchi
@ahz6907
@ahz6907 8 месяцев назад
​@@abdullahchabukila6686bi kidude...
@Abdulhamid-pw3qy
@Abdulhamid-pw3qy 3 месяца назад
Nyie wote ni pumba tu. Mna ndoto na mwenda zake dikteta jiwe Magu muuwaji asie na huruma ktk utawala wake wa mkono wa chuma. Yule alikuwa na roho mbaya na chuki na ndio maana M/Mungu alimuondoa mapema ili kuwapa amani viumbe wake. Moto wa milele umuunguzie dikteta mtoa roho magufuli.
@justinleveran6137
@justinleveran6137 9 месяцев назад
Tunasimama na wewe Waziri Mkuu wetu, kauli ya Mkurugenzi imetuumiza hata sisi wananchi .....Our future President
@user-dw6uy7tv9o
@user-dw6uy7tv9o 9 месяцев назад
😁😁😁😁 majamaa wanajifanya kuandika notes kama wako serious vile ha ha ha ha
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 9 месяцев назад
Safiii baba waziri mungu akulende na zidi yaa mafisadi baba
@frankmganda2424
@frankmganda2424 9 месяцев назад
Muwekeni ndani uyo mkurugenzi
@amisamaurid1882
@amisamaurid1882 6 месяцев назад
Xafi xana wazir mkuu tumia fyekeo lilelile tumechoka ❤
@floriannkwita4672
@floriannkwita4672 9 месяцев назад
Mhe Waziri mkuu binafsini nimeumizwa sanaaaa na hata kwenyemjadala wetu hapa wanainchi wameumizwa sanaaaa na kauli ya ,Mkurugenzi ya zarau kwako wewe waziri mkuu ,hapawi kuachwa madarakani nahuyo kamishna hapaswi kuhamishwa wanapaswa kufukuzwa kazi ,tunashangaa kuona Serikali mnazidi kuwabembeleza ,wakati wzsomi wengi wapi wanaotii mamlaka hawa watu wafukuzwe iwe mfano kwa watumishi wenye zarau kama hao
@Kanyawela
@Kanyawela 9 месяцев назад
Waziri Ongera sana kwa Kazi
@samsonkivuyo9548
@samsonkivuyo9548 9 месяцев назад
Mkuu wa Mkoa anasinzia mbele ya Boss wake
@alexchonanga1821
@alexchonanga1821 9 месяцев назад
Good job mhe PM MAJALIWA MAJALIWA HAKUNA ASIEKUELEWA TANZANIA HONGERA SANA KWA KUMSAIDIA KAZI MAMA SAMIA LAKINI HONGERA SANA KWA KUSOLVE MATATIZO YA WANANCHI
@user-jr2qk2sq4e
@user-jr2qk2sq4e 9 месяцев назад
katiba mpy ndo kilakitu
@midundotechtz6843
@midundotechtz6843 9 месяцев назад
Mm sijui niseme nn yan watanzania washamilza ❤❤ PM kasim
@ezekielkandonga9238
@ezekielkandonga9238 8 месяцев назад
Waziri Mkuu Mungu awe nawe,Hawa viongozi wengine ni takataka ni na mzigo kwa Taifa Letu.
@singanoatanasi1994
@singanoatanasi1994 9 месяцев назад
Dhamiri hai kwa binadamu zimekufa . Dhamiri hai njema zipo chache hatutaweza kuishi kwenye aridhi hii milele alie iumba anatuangalia sana tu Mungu atusaidie sana wenye haki aisee
@user-qg9ui2oy8b
@user-qg9ui2oy8b 8 месяцев назад
CONGATURATION OUR MP I WANNA YOU BE OUR FORE PRESIDENT 2025 and not samiah suluhu hassan I BELIEVE 2025 THERE WILL BE HIGH POLITICAL SITUATION RATHER THAN EXPECTED
@edgarnemass4645
@edgarnemass4645 9 месяцев назад
Akawaambia, Mavuno ni mengi, lakini watenda kazi ni wachache; basi mwombeni Bwana wa mavuno apeleke watenda kazi katika mavuno yake. (LUKA 10:2)
@hassanisaimon1531
@hassanisaimon1531 9 месяцев назад
The fittest one will survive.....!
@francismlembwa2733
@francismlembwa2733 9 месяцев назад
Huyo makala ni Basua kichwa Sana hata Dar es salaam ametusumbua Sana maamuzi yake ni maumivu Sana kwa WANANCHI , mkurupukaji awezi kuita pende mbili ili kupata suluhu, Mungu atamlipa tu hapa Dunia, Uongozi ni Busara,hekima na Utu
@user-gj5qk3wd4p
@user-gj5qk3wd4p 5 месяцев назад
Naomba number zenu Nna habari moto sana Arusha kuna wakubwa wana tafuna ela za shule
@singanoatanasi1994
@singanoatanasi1994 9 месяцев назад
Jamani leo tupo tunaishi hivi kesho yetu ipi kwa Mungu haki ikwapi viongozi mliopata wadhifa wa kuwasadia wananchi mpaka waziri mkuu aumize kichwa ili kuweka usawa . Pongezi waziri mkuu
@hamzakamil5001
@hamzakamil5001 9 месяцев назад
inshallah one you must lead this country
@michaelmatonange630
@michaelmatonange630 9 месяцев назад
Mama tumbua ayo majipu😢😢
@davidmisiwa4622
@davidmisiwa4622 9 месяцев назад
Anaanzaje
@josephvenus3259
@josephvenus3259 9 месяцев назад
WAZIRI MKUU WE KATA FUNUA HAO 😏😏
@MeshackLukanda
@MeshackLukanda 6 месяцев назад
Ila hii nchi tuachieni wasukuma muone naona Moto wetu mnaujua vzr
@Fundi12345
@Fundi12345 4 месяца назад
Mama sasa sasa hapo alitakiwa kumuunga mkono wazili wake kwa nguvu zote sisi mama akinyamaza inaoneswa kuwa ni nguvu ya waziri tu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@ZanzibarOrchestra
@ZanzibarOrchestra 4 месяца назад
kwani kila mmoja ana serikali yake?
@robsonlotyloy5678
@robsonlotyloy5678 9 месяцев назад
Mungu akulinde baba.
@josephlorri431
@josephlorri431 9 месяцев назад
Waziri mkuu anaongea kwa kuumia,anatetea ofisi ya PM, sio yeye kama Majaliwa. Kama huyu mwenye dharau kwa maagizo ya PM ndo wale 'chawa wa mama',bado tuna safari ndefu
@ElishaMgimba
@ElishaMgimba 9 дней назад
Kuna jamaa nimemuona alifukuzwa namakonda Arusha aliyenyoa kipara mweusi sijajua kwann bado yupo kazn mpaka Sasa alikua mkurugenz wa arusha
@MsanangoMwalabu-rx1oo
@MsanangoMwalabu-rx1oo 9 месяцев назад
Tatizo kupeana. Kazi makada wa ccm tunasumbuliwa Sana kwenye ardhi ndio sehemu yao Kuu wanaojifanya wakonayo bize kuleta migogoro
@habibukitwana1552
@habibukitwana1552 9 месяцев назад
Waziri mkuu kazi unayo maana huna support kutoka kwa Rais😢😢😢😢
@mbenambenanga8889
@mbenambenanga8889 8 месяцев назад
Huyu makalla hamna kitu kabisa Mzee,,, ata uku dar alishanza kuvurunda
@arthurkasiba751
@arthurkasiba751 9 месяцев назад
UnApata wapi ujasiri wa Kumzungusha Hon; PM majaliwa
@chesconkwera2005
@chesconkwera2005 9 месяцев назад
Kiburi cha madaraka.Mtu anatamka kutotambua maamuzi ya waziri mkuu😢😢😢
@user-iu1iy6tz9t
@user-iu1iy6tz9t 9 месяцев назад
Tunakuomba mpwapwa mh. Waziri mkuu
@luganojohn2673
@luganojohn2673 9 месяцев назад
Mtatibuana wenyewe mpk mkome
@amosdonjohnson1643
@amosdonjohnson1643 9 месяцев назад
Hyu makala anatakiwa achunguzwe ana kanamna sio bure
@lucassalvatory7251
@lucassalvatory7251 9 месяцев назад
Our next president
@thomastarimo
@thomastarimo 9 месяцев назад
Mweshimwa waziri kuu uyo makala hafai kabisa hapa dar alitukana waananchi na ushahidi upo sasa aijulikaniki ni kitu gani kinachofanya asifukuzwe moja kwa moja hafi kwanza ni lijizi likubwa sana hapa dar aliunda timu ya majambazi kupora vijana pikipiki zao na kwenda kutozwa faini laki mmoja
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 9 месяцев назад
Wazurumaji hao wapiga diri hao kuoneya wanyongee wasio kuwa na pesa😢😢😢
@emmasonanjawe9042
@emmasonanjawe9042 9 месяцев назад
Mh.inabidi uwe mkali sana hao wanakuzoea wakikuzalau wewe soon watamzalau Rais
@revocatussebastian2427
@revocatussebastian2427 9 месяцев назад
Makala kila mkoa akipelekwa anazingua na mzee jakaya anamtetea kwa mama ila hafai ndiomaana alitumbuliwa na J.p.m kule morogogo
@jumamsuya6670
@jumamsuya6670 9 месяцев назад
Kuna nafasi Fulani natamani nikuone huyu mwamba ,naomba nisiitaje Hadi mwanasheria wangu aniruhusu😊
@GiftWilliam-tz7ws
@GiftWilliam-tz7ws 4 месяца назад
Ndiyo Mheshimiwa Ida
@bebysheni-gf1zf
@bebysheni-gf1zf 8 месяцев назад
Hii imeenda Al ahali imekuja dar es salaam wakagungana Simba imeenda misri Moja Moja afu Simba katolewa vipi hawa
@franciskassanga7999
@franciskassanga7999 9 месяцев назад
Mwamba huyu hapaaaaa !!!
@ml-elisante-kwayayavijanai6570
@ml-elisante-kwayayavijanai6570 9 месяцев назад
Dah kweli hii nchi imeyumba.
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад
Kakukejeli Atambui kauli ya waziri Mkuu wewe Ndio wapili nchini sukuma ndani😂😂😂
@michaelmwalimu6057
@michaelmwalimu6057 5 месяцев назад
Makala lazima afukuzwe hafai kuwa kiongozi alituumiza sana huku Daresalam
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx 6 месяцев назад
Kwel kukosa kujitambua no hatari sn.et kiongozi anasema hatambùi maagizo ya Waziri mkuu?
Далее