Baba tunakukubali na kukuamini hao washenz wanatengenez matukio wanasukumizia serekali , utawala wa magufuli waliichoma ofisi yao fulani na mlinzi wa ile ofisi ya chadema alikiri kuwa alikuja mtu wao uck wa tukio na ana wcwc wa kuhusika n lile tukio ,mbali ya hilo ww hujiulizi chadema tangia ianze MWENYEKITI habadiliki mpk leo kweli, ana makandokando meng jamaa na wanayatengenez wenyew na Dr. Slaa aliwahi kusem hat dereva wake alitumik kw baadhi ya matukio yy haeleweshwi
Ahsante kwa ujumbe huu mzuri. Sasa naanza kuamini kwanini yule mzee alivyotekwa tu, mtu wa kwanza kutoa taarifa kwa vyombo vya habari walikuwa CHADEMA wenyewe na sio ndugu wa aliyetkwa, wala abiria waliokuwa katika basi pamoja na yule mzee hawakupost chochote kwenye mitandao ya kijamii kwenye accpount zao mpaka Mnyika alipoongea na vyombo vya habari. Tena CHADEMA walionesha kabisa njia zote tangu mwanzo mpaka mwisho za namna mzee alivyotekwa, na hata taarifa za kuokotwa mwili wa mzee hazikutolewa na yeyote ispokuwa CHADEMA pekee Sasa wanaandaa maandamano ili kuwavuruga polisi wasifanye kazi yao ya kuchunguza tukio hili vizuri. Watajulikana tu soon.
Police tunaomba kuwa muanze na huyu awape siri zote kama tena si kwamba ni mtu wa kuteka watu maana amesema tunaomba mmukamate awape ukweli kwani mnataka nini na upelelez kama ngan au yupi mnataka ila anhekuwa ni mwingine mngekuwa mmemkamata na kumfunguliwa kesi kubwa.
Wewe Ndio Unamjua Sasa Sbb Chadema Umeijua Juzi Chadema Si Chama Cha Ukombozi Sbb Ni Chama Cha Wapigaji Ndio Mana Hakina Dira,Uchaguz ni Mwaka Huu Na Mwakani Chama Makkini Kongejipanga Kujiandaa na Uxhaguzi
Achaneni nayo huyo musipoteza muda wenu,nadhani anachangamoto kubwa zaidiwa mfumo wake wa fikra/maisha kuliko mnavyo mjudge,so mpuuzeni tu watu wa Mungu.
Unaongea mambo gani katikati ya maumivu makubwa haya. Hacha propaganda za kishamba. Tuache vyombo vichunguze mambo haya na kuja na suruhisho kama Rais alivyoelekeza.
Sasa wewe mtu wa Mungu c ndo uwasaidie polisi sasa ili haki itendeke na tumsaidie rais,na vingozi wake ili huu mtanziko uishe,otherwise utakuwa kama unadharau utawala uliopo kana kwamba Mbowe anakuwa juu ya Serikali, kitu ambacho si kweli.Tunawaomba watu wa Mungu wenye nafasi za kutumia hizi platform tulisaidie taifa ipasavyo,na Mungu atacama dhawabu stahiki.Unaposehema ni chadema ndo wanafanya hayo kwa sababu tu dr slaa aliandika kwenye kitabu bado haitoshi na kuikumu Chadema ,vile vile hata wale wachache wa cmm wanatoka na kusema yao pia haitoshea kuikumu ccm per say,Mungu atusaidei tuiishi kwa chuki kiasi hicho, hebu tujitafakarishe sana kabla hatujatoka kuzungumza,kwa maslahi mapama na ya Taifa letu zuri.