Hongera sana Mzee mwenye BUSARA na usie na woga ktk kusema ukweli. Natamani kama mungekuwa watu japo 20 tu hapa nchini, kama wewe basi TANZANIA INGEKUWA TAYARI INATUMIA KATIBA MPYA. Wanao ikataa KATIBA Mpya wanaona itaminya shibe yao haramu. Big up Joseph.
Huyu mzee asife kwa Kweli maana wanasiasa wanatuharibia nchi,, Nimeongea mm juzi 😂😂 nashukuru Mzee kachana ukweli mtupu, hata mauaji haya vyama vyote vilaumiwe,,
Kuna comment niliandika, ipo siku tutafuta utawala wa vyama, turudishe kwenye Taaluma kila Nafasi itapatikana kwa Taaluma, ubunge usomewe Kama Udoctor na uwalimu tuu, ukuu wa wilaya na mikoa upatikane kwa kosomea 😅😅
@@petersipano6335 kikweli tuna vijana wenzetu wapo kwenye Nafasi nyingi, wameishia kuwa machawa tuu, Mwisho wa siku pesa zao zinaishia kwenye Baga na pizza tuu, Hatakuanzisha miradi ya kimkakati hatuwezi, ni uchawa tuu si cha wanahabari wala nani,,,
Wewe ndiye Baba wa Taifa uliyebaki katika Nchi hii. Asante sana Mzee Warioba. Ninaamini hupati tu nafasi ya kumshauri Rais, ungekuwa unapata nafasi ya kuongea naye asingefikia hapo alipo sasa
This old man is a treasure of our nation, he should be taken care of and protected, because he is speaking, I believe God has decided to reveal himself to this old man, let's think hard and let the current leaders evaluate themselves.
Mzee warioba wewe ni baba yangu nakuombea mungu aendelee kukulinda na kukutunza hakika naamini unahitajika Sana katika taifa la Tanzania mungu akubariki
Msingi wetu wataifa letu nimkubwa sana lakini wakati mwingine unatikisika kwa7babu yaviongozi wetu wanaotumia nguvu nyingi kuongoza taifa LETU,emu TUBADILIKE
Ccn msikilizeni Mzee Warioba acheni kiburi na ubabe kujiona nyie ndiyo bora zaidi kuliko wengine jadilieni na wenzenu walio na mawazo tofauti ili amani itamalaki hapa Tanzania
Wewe ni Mzee ,Kuazia 1964 tuwatu ajirani,Umetukuta, tumia uzee huo vizuri,Uzee dhahabu kwa sonara mzuri, Wengine tuwataalamu lakini tuliongozwa na siasa,Rafiki yako Jim Mdoe alisema (There is no booksh administration)Wisdom only,ask for wisdom God only Grants Iam 84yrs No hatred for any one,
MUNGU AKUTUNZE MZEE WETU WARIOBA, NA USIHOFU MANYANG'AU WA ROHO ZA WATU NAO HAWATAKAA MILELE WATAKUFA PIA. ILA WATZ TUMEUMIZWA NA HILI ZIMWI LINALOKULA NA KUMALIZA.
Halafu anatokea Mtu,, Hajawahi kusema ukweli Kama Warioba nayeye anajiita, professor au Msomi, kwangu mm wanasiasa wote ni Wahuni tuu, Hajasoma kabisa, Selfish people ,anapoteza sifa ya usomi wake kwenye siasa, siasa na Harakati zimetengeneza wahuni wengi mnoo… Na njaa ndo Shida, kuleta mambo ya hovyo kwao sio shida, mpaka sasa mikakati ya kuweka wagombea mtaani kimya,,
Jaji warioba unasema ukweli kuhusu wagombea tunaoletewa na vyama si chaguo la wananchi. Pia ajali ya 2019 na 2020. Dosari isiyotarajiwa. Waliosimamia uchaguzi 2019 na 2020 ndiyo watakaosimamia ? Hapo kweli shida. Toboa waambie. Mungu akuli de baba kwa hekima.
Live long sir nimependa speech yako hasa ulivyosema viongozi wa mihimiri haina haja ya kuwa pamoja yani km mkutano wa raisi haina haja ya spika au jaji mkuu kuwepo vivyo hivyo mkutano wa jaji au spika
Mnatakiwa kutoka na tamko la kuunda tume huru ya uchaguzi itakayofanya kazi kuanzia November 2024. Bila kufikia adhima hiyo mnatupotezea muda. Kwamba tume hiyohiyo zamani ilisimamia uchaguzi vizuri. Hii haiwezikani kuwa sababu. Zingatieni utawala wa vyama vingi. Ninyi wazee wa zamani kuweni na msimamo, TUME HURU bila kupepesa macho.
Maneno yako yanaponya mioyo na kutia matumaini. Ubarikiwe saana na Mungu akutunze zaidi kwa ajili ya taifa letu. Tumemiss saana kusikia busara kama hizi
Kweli kabisa mzee wetu! 2020 wengine hata hatukuthubutu kujiandikisha kwa vile dalili zilionekana kwenye chaguzi za walioacha au kufariki kuwa wananchi hatuna haki ya kuchagua
Mzee Warioba yupo sahihi sana na anatumia raw data tena mbichi kabisa hazijapikwa.... dhambi hana huyu mzee wetu. Manano yake yataishi. Huyu tumuite Baba Mdogo wa Taifa hili...
Wazee wapenda haki wawajibikaji kwa jamii zao ndio kama huyu nao wamebakia kidogo sana yan wapo mwisho,,sasa sijui hawa Mungu akiwachukua hili taifa litakuwaje maana da!! Tunalia tu kila siku wengi wao saizi ni uchawa tu kwaajili ya matumbo yao na sio kuisaidia nchi tena😢😢😢