Uwanja umelipuka kwa ndelemo na vifijo jinsi wanavyomkubali Simba wa Tanzania!!!nimepapenda hapo alipoingia uwanjani tuu.imenisaidia kuhakiki mawazo yangu kuwa J.P.M ndiye raisi bora barani Africa na anakubalika ndani na nje ya nchi. Asante sana kwa clip nzuri!!
@@audifasmassera1289 sawa ndugu yangu ! Tumuombee Rais wetu anafanya Kazi kubwa sana sana ! Mimi namuunga mkono kwa jitihada zake kwa 100% kabsa , mifumo mingi na uendeshaji wa taifa letu umerudi kuwa katika muundo wenye kuleta maendeleo ya Nchi yetu na sisi wana Nchi ! CCM HOYEEEEE