Тёмный

KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT. MAGUFULI NCHINI AFRIKA KUSINI, NAMIBIA NA ZIMBABWE 

Ikulu Tanzania
Подписаться 286 тыс.
Просмотров 21 тыс.
50% 1

KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT. MAGUFULI NCHINI AFRIKA KUSINI ,NAMIBIA NA ZIMBABWE MEI 2019

Опубликовано:

 

12 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 34   
@henrickchambilo4806
@henrickchambilo4806 5 лет назад
Best president in world
@josephsureeliajosephmion9997
RIP comred JPM itatuchukua miaka mingine kumpata kiongozi ainayake maana alisema ipo siku tutamkumbuka nasasa tunamkumbuka tukiwa mayatima pumzika kwaamani Kaka dunia badoinasikitika.
@wailesdeus3764
@wailesdeus3764 5 лет назад
Safi sana rais wetu
@ababuumwana5102
@ababuumwana5102 5 лет назад
Love u My President Tanzania yetu Taifa letu Amani yetu Maendeleo mbeleee JPM Unatosha miaka 40
@audifasmassera1289
@audifasmassera1289 5 лет назад
Kabisa kabisa, umenena vyema.
@SuperKibwana
@SuperKibwana 5 лет назад
Asante sana kwa juhudi zenu za kutuhabarisha. Mungu ibariki Tanzania na Viongozi wake, Mungu ibariki Afrika.
@emmanuelmasito
@emmanuelmasito 5 лет назад
Ahsante sana Ikulu kwa hii.
@thamu3133
@thamu3133 5 лет назад
Kumbe tanzania tulikuwa hatuna urafki na majiran zetu,Magu Mungu akupe uzma baba kwa kutuunganisha had marais wanafurah sana
@freddymello3227
@freddymello3227 5 лет назад
Uwanja umelipuka kwa ndelemo na vifijo jinsi wanavyomkubali Simba wa Tanzania!!!nimepapenda hapo alipoingia uwanjani tuu.imenisaidia kuhakiki mawazo yangu kuwa J.P.M ndiye raisi bora barani Africa na anakubalika ndani na nje ya nchi. Asante sana kwa clip nzuri!!
@masagapaul5039
@masagapaul5039 5 лет назад
Rais wa Africa. Hongera sana Rais wetu mpendwa, Asante SADC
@abcswahilii3322
@abcswahilii3322 5 лет назад
Rais bora kabisa afrika...
@grediuce7039
@grediuce7039 5 лет назад
Ahsante sana Rais wetu
@tozzaalexandar4905
@tozzaalexandar4905 5 лет назад
Safii magu upo vyema mkuu
@mswanawamswana3129
@mswanawamswana3129 5 лет назад
Mmefanya vzr kutupatia ufupisho huu wa ziara za mkuu wa nchi yetu tukufu ya Tanzania
@athumanomary1438
@athumanomary1438 5 лет назад
Asante san mwenyez MUNGU kwa upendo wako mkubwa kwa viongozi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 5 месяцев назад
Mashaalah
@peterniboye3462
@peterniboye3462 5 лет назад
We are proud with our President...
@lomnyakijohn8672
@lomnyakijohn8672 5 лет назад
Kweli huyu mzee wetu mungu ampe afya na nguvu na miaka tele
@romeoromeo4125
@romeoromeo4125 5 лет назад
Ahsanteni, ila mjitahidi kutuwekea mapema, mda unakuwa mkubwa. Au mpaka tulalamike kwa JPM atumbue kitengo cha mawasiliano!!!
@kadirdhulfiqaar7820
@kadirdhulfiqaar7820 10 месяцев назад
😢😢Endelea kupumzika kwa amani
@henricokanogu2223
@henricokanogu2223 5 лет назад
Magufuli Oyeeeeee
@mokhimji
@mokhimji 5 лет назад
1:21 - JMK nudged JPM "Oya Chuma, Waage basi na Ishara wakuone mpole kidogo" hahaha
@erickpascal2249
@erickpascal2249 5 лет назад
Rais ambae natamani akae madarakani mpaka mwisho wa uhai wake ni DR Joseph John Pombe Magufuri ! Kwa sababu kadha wa kadha !
@audifasmassera1289
@audifasmassera1289 5 лет назад
Kabisa kabisa, maneno matupu hayashibishi, mpendwa sana rais wetu amelitambua hilo kwake Ni VITENDO zaidi, wazo lako ni zuri sana.
@erickpascal2249
@erickpascal2249 5 лет назад
@@audifasmassera1289 sawa ndugu yangu ! Tumuombee Rais wetu anafanya Kazi kubwa sana sana ! Mimi namuunga mkono kwa jitihada zake kwa 100% kabsa , mifumo mingi na uendeshaji wa taifa letu umerudi kuwa katika muundo wenye kuleta maendeleo ya Nchi yetu na sisi wana Nchi ! CCM HOYEEEEE
@tituskidava2169
@tituskidava2169 5 лет назад
🤝
@geneouscravery3428
@geneouscravery3428 Год назад
Ok
@samuelndalahwa3423
@samuelndalahwa3423 5 лет назад
Misheni maalum ya kutangaza soko LA ajira ya Ualimu wa Kiswahili hongera Mwl Magufuli
@anthonymaganjo1646
@anthonymaganjo1646 5 лет назад
The guy doesn't know English.Poor Magufuli.Lowassa oiyee
@audifasmassera1289
@audifasmassera1289 5 лет назад
@@anthonymaganjo1646 hao wanaojua English wamefanya nini cha mfano?
@audifasmassera1289
@audifasmassera1289 5 лет назад
@@anthonymaganjo1646 kwa nionavyo mimi, kinachotakiwa ni uwezo wa KUONGOZA si lugha.
@davidelliot3267
@davidelliot3267 5 лет назад
my president mbaka 2035 JPM 🔥🔥🔥🔥
@audifasmassera1289
@audifasmassera1289 5 лет назад
Kabisa kabisa mkuu.
@flowinkilangira1545
@flowinkilangira1545 5 лет назад
😂😂 naona wazee zilipigwa mpka za akina Less wanyika hukohuko kwa mnangangwa???
Далее
Maneno ya Alhaj Ali Hassan Mwinyi kwa rais Magufuli
13:03
HOTUBA YA RAIS MAGUFULI AKIWA UKEREWE - 04/09/2018
59:24
RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
32:41