Тёмный

Kisu hiki cha Kihindi ni noma, Tazama avyokichapa Kiswahili vizuri, huyu ndio JIYA mwenyewe 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 25 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 91   
@SaidaRamadhan-j7m
@SaidaRamadhan-j7m 19 дней назад
Hongereni sana mmefiti
@thedon8467
@thedon8467 6 месяцев назад
WANASEMA KISWAHILI KULIKO WAKENYA
@rhodanakamba5279
@rhodanakamba5279 3 месяца назад
Good job guys God blessing you
@saumodzumbo9671
@saumodzumbo9671 6 месяцев назад
Hongereni sana kwa kazi nzuri
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 7 месяцев назад
JIYA asante kwa ule wimbo wako wa "watoto wasafi moyoni",uliufanya utoto wetu kuwa mzuri sana wallahi😂😂😂🎉. Eti sasa hivi nimekuwa mtu mzima nautafuta uzee.Miaka yaenda mbio sana.
@barakaekuro
@barakaekuro 7 месяцев назад
Can i get the link ya huu wimbo
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 7 месяцев назад
@@barakaekuro Andika tu kwenye search engine watoto wasafi moyoni,utauona.
@kyannickk2be
@kyannickk2be 6 месяцев назад
kumbe ndo huyu huo wimbo...
@shirazmunawar4433
@shirazmunawar4433 7 месяцев назад
Sasa jamani sisi tumezaliwa Tanzania na wengine wetu ni kizazi cha tano au cha sita ukihesabu kutoka kwa Babu zetu. Hatuna mahusiano na India kabisa. Naam asili yetu ni kutoka India lakini kwa sisi vizazi vya tano au vya sita tunajihesabia na watanzania asili kabisa. Sielewi mtu kusema hawaa wanaongea kiswahili kuliko watanzania. Hapo kweli unakosea.
@tatuathmani883
@tatuathmani883 6 месяцев назад
Samahani kwani ishatoka hiyo muvi inaitwaje
@contempo_builders
@contempo_builders 5 месяцев назад
@@tatuathmani883 Inaitwa JIYA
@SharifuHatibu
@SharifuHatibu 3 месяца назад
❤❤❤ ni kweli kwamba nyie ni wahindi sio watanzania kwani ni uongo
@Jamila-cz5ge
@Jamila-cz5ge 6 месяцев назад
Inshalla Mungu asikujalie sapoti
@hoseastephen4508
@hoseastephen4508 6 месяцев назад
Ifike mahali Watanzania tupate elimu sahihi ya uraia aisee! Tuelewe kuwa mtu anaweza kuwa muhindi au mzungu na akawa ni raia wa TZ. Maswali ya kishamba shamba eti 'Mbona we muhindi lakini unaongea kiswahili fasaha' tuyaache.
@RamadhanMashaka-q3m
@RamadhanMashaka-q3m 3 месяца назад
KAzi mzur
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 7 месяцев назад
Yani hawa wahindi wanatushinda mpaka kuongea swahili ingekuwa akina gigy,zari,nandy. Hapo sasa
@aminnoour4788
@aminnoour4788 7 месяцев назад
Tatizo wanawake wenu wengi wa kitanzania wanaongea matusi hawajifunzi ki swahili chashuleni
@Niget-us1np
@Niget-us1np 7 месяцев назад
Sasa zari mtanzania yey Uganda Wana lung yao
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 7 месяцев назад
@@Niget-us1np lakini Bado ni mswahili kwani kiswahili ni lugha ya Africa
@CharlesJelel
@CharlesJelel 4 месяца назад
Nimekubari
@WinfridaCharles-dp7nc
@WinfridaCharles-dp7nc 10 дней назад
Huyu manager hapo anaimba nyimbo za mboso live band mpaka raha yaan hawa ni was wawili tupu
@surusuru1994
@surusuru1994 7 месяцев назад
❤mashaallah🇹🇿💪🤗
@BijouxBulose
@BijouxBulose 3 месяца назад
Uyu bibi namukubali kweli
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 7 месяцев назад
SNS HUYU MSCHANA JIHA, NDO ALIIMBA WIMBO WA WATOTO MAARUFU REDIO ONE. WATOTO WASAFI MOYONI... VARDA ARTS
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 7 месяцев назад
Duuu kitambo ndio huyu?
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 7 месяцев назад
Ile sisi ni maua tuliyopendwa na mungu mwenyeziii,laa lalalaaaa
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 7 месяцев назад
@@fettyrashid9042 acha kabisaa
@Nanah18
@Nanah18 7 месяцев назад
Okey, kuna kipindi alihojiwa na stesheni fulani ya television alikuwa Chuo kipindi hicho
@nancyg8664
@nancyg8664 7 месяцев назад
Ghai kumbe asee jmn, hv watoto wa ef wanaujua kwel (jokes)😂
@salmabasil385
@salmabasil385 7 месяцев назад
Mwandishi kitu kinaitwa jiya we unasema jiha ujui kusoma au?
@selestinimbezi7345
@selestinimbezi7345 Месяц назад
Jiya ni bonge la movie
@fora2009
@fora2009 7 месяцев назад
Mashaallah
@EricUbalijoro-x1l
@EricUbalijoro-x1l 7 месяцев назад
Woow safi sana
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 7 месяцев назад
Safi sana mtapata support tu
@IrakozeAssia
@IrakozeAssia 4 месяца назад
🎉
@RobertsonNandime-eo9fp
@RobertsonNandime-eo9fp 7 месяцев назад
Mzuli sana
@hezronjoseph405
@hezronjoseph405 7 месяцев назад
Hawaendagi saluni hawa😁😁
@surusuru1994
@surusuru1994 7 месяцев назад
Unyama wige mono🔥💞🇹🇿💞
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 7 месяцев назад
Asiongee kiswahili vipi na wamezaliwa bongo hawa? Mnapenda kuona watu wa asili fulani kuwa tofauti mhhfyuuuuuu
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 7 месяцев назад
Lakini kuna wasanii wa tz wamezaliwa bongo lakini kiswahili chao cha kuunga unga na hata herufi hawatamki sawa wanajifanya hawajuwi kiswahili lakini hawa wahindi kiswahili chao kisafi.
@kwisa4899
@kwisa4899 7 месяцев назад
kuna mtu ajui kusonga ugali
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 7 месяцев назад
@@kwisa4899 ndio hao hao😂😂😂
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 7 месяцев назад
@@kwisa4899 ndio hao hao😂😂
@omarifadhili651
@omarifadhili651 7 месяцев назад
Wazawa Hao mbona wengi xana tz
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m 6 месяцев назад
Nice
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf 3 месяца назад
Wahindi washwahili😂
@BoniphaceCosta-kd2yw
@BoniphaceCosta-kd2yw 6 месяцев назад
Wasukuma wa magu hao nawajua
@zamdayusuph858
@zamdayusuph858 7 месяцев назад
Itaonyeshwa wapi jamaniiiiii
@zolongOne
@zolongOne 7 месяцев назад
Maisha Magic Bongo
@johanjoha5262
@johanjoha5262 7 месяцев назад
Wanaongeya kiswahili hadi raha apana abby chams anajifa kiswali niluga mpyakwake kipindi ata barrak Obama😢
@radhiamussa1629
@radhiamussa1629 6 месяцев назад
Kaka yake na mama yake wanaongea kiswahili kizuri zaidi
@hamsikrasheedi1796
@hamsikrasheedi1796 7 месяцев назад
❤❤
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 7 месяцев назад
Bongo raha tunasubiri kwa hamu tamthilia
@benjo_brighter
@benjo_brighter 7 месяцев назад
Hawa si wamekaa Bongo muda mrefu sana. Kiswahili lazima kipande
@MinskBelarus-il2tl
@MinskBelarus-il2tl 6 месяцев назад
😂😂😂😂😂unachekesha Sana. Mbona MASAI yupo long time
@jamillahaidha8184
@jamillahaidha8184 7 месяцев назад
Mbona Hawa wahindi wanaongea vizuri kiswahili yule abbychams yeye Kila siku anakuwa haongei kiswahili vizuri
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 6 месяцев назад
Si mababu zao walizaliwa bongo wajuku lazima waongey kiswa
@zamdayusuph858
@zamdayusuph858 7 месяцев назад
N tamthilia gan wanaiongelea?
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 7 месяцев назад
JIHA inaanza kuonyeshwa kesho
@khafsayahya4066
@khafsayahya4066 7 месяцев назад
Siyo jiha jamani, Ni JIYA🤣🤣🤣, Itaoneshwa DSTV saa moja na nusu jioni .
@RehemaWambura-x1d
@RehemaWambura-x1d 3 месяца назад
Bib ukovizuli san
@pro_the_dj
@pro_the_dj 7 месяцев назад
Huyu ni #muhaya kabisa 🤣🤣
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 7 месяцев назад
Umeuliza Kwa mbwembwe hapo mwenye ila ingekuwa anaongea kingereza tupu hapo mmh mngetufanya wakenya watucheke tu ...jaman jifunzen kingereza mkiwa waandishi wa habari
@amriamraan2612
@amriamraan2612 7 месяцев назад
Jifunze wewe ukafanye kazi kenya
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 7 месяцев назад
@@amriamraan2612 sisi atujifunzi sisi tunaongea mburula wewe na hatufanyi kaz East
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 7 месяцев назад
​@@mancholotrasco8350uandishi tz uandishi ni kazi ya vilaza tz ndio maana ni watu wachache sana smart utawaona tena kwenye hizi TV za mitandao wengi viazi ingawa baadhi wako poa.
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 7 месяцев назад
@@mancholotrasco8350 🤣🤣🙏 jibu zuri
@Louessentials
@Louessentials 7 месяцев назад
Sasa kwani wa tanzania first language si ni kiswahili?kwanini tukipraise kiingereza wakati tuna lugha yetu?....
@Mimi.Official
@Mimi.Official 7 месяцев назад
Wameongea vizuri wanatamka maneno vizuri kushinda nyie watanzania
@Marjeby
@Marjeby 7 месяцев назад
Nani kakwambia hao ni warusi?!
@khadijaramadhani5562
@khadijaramadhani5562 7 месяцев назад
Watanzania kama sisi😂
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 7 месяцев назад
Na ww MTUNISIA vipi hawajakushinda
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 7 месяцев назад
Mtanzania gani anaesema kitu kikuba? Anaesema jia badala ya njia?😂
@Mimi.Official
@Mimi.Official 7 месяцев назад
@@subrynerysegerow1323 😆 kiswahili ya Tanzania utajua huyu anatoka tz, luninga ,nafula sana🤣🤣
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 7 месяцев назад
nakiona hicho kitoto kinavonyarii hatari
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 7 месяцев назад
Kaaa ila wewe muache mtoto bwana😂😂😂
@agnesjohn9382
@agnesjohn9382 7 месяцев назад
Mi nikajua kisu 🗡️🔪 kweli 😂😂
@ElisanteShayo
@ElisanteShayo 7 месяцев назад
Acheni kubabaika na maponjoro
@sheikhanasser4714
@sheikhanasser4714 7 месяцев назад
Hasira ujaribu kuificha usianike hapa Chuki nini sasa
Далее
MISSION IMPOSSIBLE [60]
23:51
Просмотров 131 тыс.
🎙А НЕ СПЕТЬ ли мне ПЕСНЮ?🕺🏼
3:06:10
Varda Arts - Watoto
5:05
Просмотров 42 тыс.
🎙А НЕ СПЕТЬ ли мне ПЕСНЮ?🕺🏼
3:06:10