Тёмный

KISUGU: ACHACHAWA NA BEKI KISIKI HAMZA KUTUA SIMBA SC | AGEUKA MBOGO KWA AHOUA KUFANANISHWA NA CHAMA 

wispoti tv
Подписаться 45 тыс.
Просмотров 44 тыс.
50% 1

JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Опубликовано:

 

2 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 33   
@barakagwata2378
@barakagwata2378 3 месяца назад
Kisugu ongelea mpira,achana na siasa,mama suluu anaingiaje hapo,au unataka cheo
@ReylaSele
@ReylaSele 3 месяца назад
Safi Kisugu Nakubali maneno kuntu
@MussaEnock
@MussaEnock 3 месяца назад
Nakupata kutoka geita hongera kwa kuwaerewesha watanzania
@MchungajiMwamengo
@MchungajiMwamengo 3 месяца назад
Well done Kisugu Kuna mtu anaumwa eti ulivyo mpongeza mh.Rais kwake Hilo kelo achana naye hanitambui
@MchungajiMwamengo
@MchungajiMwamengo 3 месяца назад
Wewe ni mgonjwa wa kufikiri nyamaza kimya wanaojua kuchangia waendelee.
@FraziaGeorge
@FraziaGeorge 2 месяца назад
Itakuwa ww ndo unaumwa Acha simba ipendeze bana
@rubenntiyaga3358
@rubenntiyaga3358 3 месяца назад
Huyo ni Rais wa nchi ana haki kuiweka picha yake hapoo!!!
@brucardkomba616
@brucardkomba616 3 месяца назад
Ongerea mpira mambo ya siasa yatakupoteza.
@AmosiSimbeye-ll8pg
@AmosiSimbeye-ll8pg 3 месяца назад
Kisugu uposai kabisa mwabiye
@LeonardMayala-gv1yx
@LeonardMayala-gv1yx 3 месяца назад
Hapa dinga misugwi
@BizzBoy-g4o
@BizzBoy-g4o 3 месяца назад
kuwa kataa ni swala la muda
@MsevenSaudisaidi
@MsevenSaudisaidi 3 месяца назад
Acha kujikomba komba kwa mama huna erimu ya kukupa cheo chochote hata ujumbe wa nyumba kumi hupewe alafu bakisha maneno
@danielramadhan1117
@danielramadhan1117 3 месяца назад
😢😢😢😢
@ThePlants-zc3rp
@ThePlants-zc3rp 3 месяца назад
acha kumponda ikiwa ww mwenyew na utopolo yako amna kitu
@davisbwatwa115
@davisbwatwa115 3 месяца назад
ni kweli kisugu japo hawataki ukweli uto
@selemankajonjo1638
@selemankajonjo1638 3 месяца назад
Chawa mpiga debe wa viongozi
@SadamSarita-t7z
@SadamSarita-t7z 3 месяца назад
Toa iyo picha hapo pembeni niilikua nakukubali ila kwaiyo picha nakuona unapigatu makelele huna lolote
@HamisiMnuwe
@HamisiMnuwe 3 месяца назад
Kisugu ongela kwa bek mpya
@davidndungu8619
@davidndungu8619 3 месяца назад
umeanza kuusifu uongozi wa simba mbeleni uliwaponda kalipwa huyo
@mandelamgeta
@mandelamgeta 3 месяца назад
Kombanisheni😅😅
@davidndungu8619
@davidndungu8619 3 месяца назад
siku hizi hata umenona uliwashambulia uongozi hadi wamekuita wakakulisha sasa hata sura imerudi
@salehnassor9553
@salehnassor9553 3 месяца назад
Si ananunua goli moja Tsh.millioni 5 hadi 10.
@GEORGEKASOTE
@GEORGEKASOTE 3 месяца назад
Uko vizuri Dogo Kisugu
@SulemaniNassor
@SulemaniNassor 3 месяца назад
Kisugu upo vizr sana
@DonatelaSanga
@DonatelaSanga 3 месяца назад
Kweli kabisa kaka kisug
@georgegregory8414
@georgegregory8414 3 месяца назад
Kisugu anajiwa sana
@VitalessGalus
@VitalessGalus 3 месяца назад
uyu jamaa ni muongo xana anaga pweti
@MrishoMindu-zq7mz
@MrishoMindu-zq7mz 3 месяца назад
Rudi shule ukajifunze kuandika na kusoma kiswahil. Ujue unapo anza kuandika unaanza vip. Wewe kila siku pwet pwet kirusi gani hiki?
@SamiriWahab-ue1wy
@SamiriWahab-ue1wy 3 месяца назад
Yanga bingwa Mara 5 ngao ya jamii yanga anachukuwa safari hii bila pingamizi
@khadijahussein5298
@khadijahussein5298 3 месяца назад
😂😂😂
@AdamRashidi-n9g
@AdamRashidi-n9g 3 месяца назад
Wewe uwezi kuifunga simba bila figisu na milija yenu yote tumeiacha yote saido ,chama,aishi manula,inonga hao wote ndio waliokuwa munawatumia bc waleteni mama zenu mwaka ili mushinde
@khadijahussein5298
@khadijahussein5298 3 месяца назад
@@AdamRashidi-n9g 🙉😂
@James-h5o1h
@James-h5o1h 3 месяца назад
Mkund wako ww kwel tege
Далее