Ukiona club inamilikiwa na mchezaji hiyo sio club ya Mpira Simba tumewafundisha hakuna mchezaji kushinda brand ya club mshafukuza makocha tunawasubiri kipindi cha bakuli tushapita ,mbwai mbwai...
Well said masatu Simba ni passion kwa Africa nzima wanacheza mpira safi, mpira mtamu, mpira ambao hata ukiwa unaumwa unapoona, au kama unapepo linatoka lenyewe lakini wenzetu pira wanalocheza kulitazama mpaka uwe na makande pembeni