Simba amepingwa mara 3 na yanga tena kwa magoli mengi je!wao Simba wamedhaminiwa na gsm?Hali kadhalika Azam jana kaadabishwa kwa goli nyngi Naye amedhaminiwa na gsm? Jibu ni Moja tu ubora wa timu huamua matokeo chanya,zngne mtatafta pakujifichia tu!na bado hamjasema msimu huu mtapigwa Hadi na timu furani za daraja la chini kabsa