Mchezo umekwenda vzr lkn kuna makosa madogo madogo yamejitokeza lakwanza ni hilo halaf kitale aliona toka mbali kuwa dogo kaokota kitu alijuaje ni milion moja! Anasema askari hao watu wenyewe ni watoto wakihuni eti askari ck nyingine tafuta watu wanaoelekea kufanana na afande kweli
Hii kitu ilinikuta mimi, elf 10 yangu ilienda na simu na laini na toothpic walinambia nisiache chochote kwenye mfuko labda mchanga walijifanya waganga af nlikuw naumwa kweli walinizuia geti la hospitali yaan daaaaaah hawa watu mungu anawaona
Huu mchezo Moshi unachezwa sana wakataka kuniokota siku moja nimetoka zangu Mbuyuni niko NMB mandela, akajifanya Muhuni ,asijue karate imelala hapa😊 wenyew waliweka hela za bandia nkamwambia we unanijua , eti amna bro njoo tugawanae twende chobi nkamwambia amna apa apa, eti sa wew unasimu apo, nkamwambia ntakupiga wew haunijui kumbe, eti bas bro , nkachukua kuzichek kumbe 20 bandia katkat zimewekwa tishu mamae
kitale na stan mmetupa funza kubwa mno,huo wizi ulofanyika sana Tanga barabara ya saba miaka hiyo,wanaweka elfu kumi juu na chini katikati karatasi kama zote,jichanganye kila kitu watakubebea
Da!! Hii Mimi nilipigwa Kweli nilipokuwa na miaka 17, mzee alinipa elfu 50 nipileke bank ya NMB Temeke yakanikuta haya nakumbuka bahasha nilienda kuifungulia feri ufukweni mwa bahari,nilipanda gari mbili eti kumkwepa jamaa aliye act nafasi ya kitale,😭😭😭
New song nyimbo yangu mpya ndugu jamaaa na malafiki usisaau COMMENT LIKE SHARE SUBSCRIBE 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 natumia jina diga boy tz song umebadilika please please please please pleas🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿