Тёмный

KITALE MKUDE SIMBA STAN BAKORA NI WEZI WA KUTUMIA AKILI. 

KitaleMkudeSimba
Подписаться 432 тыс.
Просмотров 645 тыс.
50% 1

#Stanbakora #MusaKitale #KobeloChapombe

Опубликовано:

 

15 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 273   
@manasseninteretse8510
@manasseninteretse8510 2 года назад
Yaani wanangu nawapenda sana kinoma😄 kitale namkubali sana, tunawapenda sana kutokea Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮 mjini Rumonge tunawafuatilia.
@selestinsongola2787
@selestinsongola2787 2 года назад
Kaz Kaz babaa ktale Stan nawakubali sana
@mbenamdudu7856
@mbenamdudu7856 2 года назад
Safi sana hii ikiendelea zaidi itabasti shoo Kali sana
@reinatave3022
@reinatave3022 2 года назад
Hii team nawapenda bule kazi zao zinakuaga pouwah mno
@naturenature931
@naturenature931 Год назад
Good job guys keep it up
@naturenature931
@naturenature931 Год назад
The big 5
@benardmutayi5738
@benardmutayi5738 2 года назад
Daaa mchongo wayeyuka😃Mogela katapeliwa vinoma😃🇰🇪
@kamaukahn6308
@kamaukahn6308 2 года назад
Umetisha kitale mandonga move kari namwili umetoka
@jumakandy2075
@jumakandy2075 2 года назад
Daa Hili Dili ni kali sana kubwa kuliko
@zenaathuman2619
@zenaathuman2619 2 года назад
Dah!!hyo michongo yazamani sana naijua hiyoo ilikuta mitaa fulani mwanza 😂😂 mogela hana ham
@obootopaulo5781
@obootopaulo5781 2 года назад
Kazi iendelee
@tinnoboy3273
@tinnoboy3273 Год назад
Dah ii kitu ilisha wahi kunikuta uwanja wa taifa dahaaa
@bobelichi7721
@bobelichi7721 2 года назад
Kamaliza form six juzi kesho anapiga pepa ya form 4...mloiskia hii tujuane kwa likes😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@azizaaziza9113
@azizaaziza9113 2 года назад
Mchezo umekwenda vzr lkn kuna makosa madogo madogo yamejitokeza lakwanza ni hilo halaf kitale aliona toka mbali kuwa dogo kaokota kitu alijuaje ni milion moja! Anasema askari hao watu wenyewe ni watoto wakihuni eti askari ck nyingine tafuta watu wanaoelekea kufanana na afande kweli
@zanabzanab
@zanabzanab 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mgbboyonline654
@mgbboyonline654 Год назад
🤣🤣🤣🤣
@abdillahrashid7759
@abdillahrashid7759 Год назад
😂😂😂😂😂
@timothykeverenge9153
@timothykeverenge9153 Год назад
😂😂😂😂anasoma kinyumenyume😅😅
@zuberiismail2972
@zuberiismail2972 2 года назад
Hii kitu ilinikuta mimi, elf 10 yangu ilienda na simu na laini na toothpic walinambia nisiache chochote kwenye mfuko labda mchanga walijifanya waganga af nlikuw naumwa kweli walinizuia geti la hospitali yaan daaaaaah hawa watu mungu anawaona
@suzanafromomani2973
@suzanafromomani2973 3 месяца назад
Mimi pia irinikuta magomeni sim zote mbili zilienda😂😂😂😂😂😂😅😅😅
@zuberiismail2972
@zuberiismail2972 3 месяца назад
@@suzanafromomani2973 hahaaaa pole boss
@antoniasanga2633
@antoniasanga2633 2 года назад
Fundisho ahsante
@سوزي-ع1ل
@سوزي-ع1ل 2 года назад
Nakukubali sana bwakila ✌️
@suleimanrashid3918
@suleimanrashid3918 2 года назад
Km umeona kitale kakonda gonga like tujuane
@zenaathuman2619
@zenaathuman2619 2 года назад
Naona kama vile ameharibikia
@suleimanrashid3918
@suleimanrashid3918 2 года назад
@@zenaathuman2619 nadhani sijui km nae hajaanza kugonga ile kitu maana kapururuka km muhindi
@hassanirajabu5453
@hassanirajabu5453 2 года назад
@@suleimanrashid3918 msimuhukum ingia kwenye account yake huyo anafanya mazoezi alikuwa anaounguza ule mwili wake mkubwa
@zenaathuman2619
@zenaathuman2619 2 года назад
😂😂😂 kitoko kachanganya na roboti
@eashaeasha9776
@eashaeasha9776 2 года назад
@@suleimanrashid3918 wabongo mmeanza tena khaa huyu anafanya mazoezi muwe muna mfatilia huko ista
@lwogasgenius9147
@lwogasgenius9147 11 месяцев назад
Huo mchezo unaitwa bwagabwaga hataree sana
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 2 года назад
Kitale mwili wako ulikupendeza sana aisee sa hiv umekuwa Kama Dr wa mifugo bwana
@mwitaagness455
@mwitaagness455 Год назад
Labda ana tatizo kweli kapungua.
@mipazoartist
@mipazoartist 2 года назад
Hatari Sana
@consolatamedard6593
@consolatamedard6593 2 года назад
Wa Tz atuna jema kitale kafanya mazoez kawa vizur tunasema kachukiza Mogera Bonge tunasema mbaya lipi jema sasa
@pascokibesa918
@pascokibesa918 2 года назад
Hii iko poa xn👏
@farajafleva
@farajafleva 2 года назад
Nairobi 1 tunawakubali sana
@Nahran13
@Nahran13 5 месяцев назад
Huu mchezo Moshi unachezwa sana wakataka kuniokota siku moja nimetoka zangu Mbuyuni niko NMB mandela, akajifanya Muhuni ,asijue karate imelala hapa😊 wenyew waliweka hela za bandia nkamwambia we unanijua , eti amna bro njoo tugawanae twende chobi nkamwambia amna apa apa, eti sa wew unasimu apo, nkamwambia ntakupiga wew haunijui kumbe, eti bas bro , nkachukua kuzichek kumbe 20 bandia katkat zimewekwa tishu mamae
@AbdallahHamisi-s4h
@AbdallahHamisi-s4h 8 месяцев назад
Nakubali san
@annointkiboi4647
@annointkiboi4647 Год назад
😂hii nayo nilifanyiwa pale kitale😢
@bensilmwamila8092
@bensilmwamila8092 2 года назад
kitale na stan mmetupa funza kubwa mno,huo wizi ulofanyika sana Tanga barabara ya saba miaka hiyo,wanaweka elfu kumi juu na chini katikati karatasi kama zote,jichanganye kila kitu watakubebea
@johelieza5908
@johelieza5908 Год назад
Huyu mi Mdogo wangu Baba mmoja Mama Mmoja.
@vikramlufunyo5832
@vikramlufunyo5832 2 года назад
Mbona kitale amekonda sana
@chidyobey10
@chidyobey10 2 года назад
One man army like za kutosha basi nikifungua dimba hapaaa
@kimbyarungwe4959
@kimbyarungwe4959 2 года назад
Timu hii nakubali sana🔥🔥🔥🔥🔥
@aminamasamba9879
@aminamasamba9879 2 года назад
kitare mtoto wa mjini safi sana
@sharifuamuri4638
@sharifuamuri4638 2 года назад
Kitale kama kweli muhuni kweli unakipaji
@amanishiughaaa6345
@amanishiughaaa6345 2 года назад
Wahuni kazini mji una kazi
@sasyasalum1169
@sasyasalum1169 Год назад
MapenZi
@sasyasalum1169
@sasyasalum1169 Год назад
Mitimng
@askofugenerallykenya6576
@askofugenerallykenya6576 2 года назад
Pia Mimi nilifanyiwa hivyo hivyo simu yangu ya Infinix Na headphones na doh zikaenda Nairobi Kenya Nairobi Sio kitu mgeni kwetu
@mabebibablii3056
@mabebibablii3056 4 месяца назад
Kitale kavuu sanaa
@rehmahamishamismkande4348
@rehmahamishamismkande4348 Год назад
Iliwahi kunikuta maeneo ya tandale
@suzanafromomani2973
@suzanafromomani2973 3 месяца назад
Magomeni 😂😂😂😂😂
@husseinchande2741
@husseinchande2741 2 года назад
Mmmmm. Nakubali
@shadrackniyomukiza9045
@shadrackniyomukiza9045 Год назад
Oya izo pigo kali
@TemwaJilaha-vw9md
@TemwaJilaha-vw9md Год назад
Kwahii nimekoma wamechez
@donmvunjambavu3453
@donmvunjambavu3453 2 года назад
Well done
@Hemed-nz2yg
@Hemed-nz2yg 5 месяцев назад
kitale tunakukubali mzir san tunajifunz mengi kupitia nyiny
@KagoseNjume
@KagoseNjume 5 месяцев назад
Kitale noma
@mwitajohn2118
@mwitajohn2118 2 года назад
Kamaliza form six juzi tu kesho anapepa la form 4
@timothykeverenge9153
@timothykeverenge9153 Год назад
Haya mbo huku Kenya 🇰🇪 ndio yapo kibao sana yaitwa utalijua jiji😅😅
@Onesmoboyz
@Onesmoboyz 2 года назад
Nakubali san kitare
@azaboicomedy
@azaboicomedy 2 года назад
Kamaliza form6 kesho anapiga paper ya form4😂😂😂😂😂
@ferouzmasoud4870
@ferouzmasoud4870 2 года назад
Michezo hiyo tunduma ipo Sanaaa wazambia wanapngwa sanaaa
@mymbaralitv2968
@mymbaralitv2968 2 года назад
Hiyo dondosha😭😭😭
@marychiwowa1759
@marychiwowa1759 2 года назад
This is exactly how my husband was robbed here in Cape town. Smart robbers
@allymohamed5328
@allymohamed5328 2 года назад
Da!! Hii Mimi nilipigwa Kweli nilipokuwa na miaka 17, mzee alinipa elfu 50 nipileke bank ya NMB Temeke yakanikuta haya nakumbuka bahasha nilienda kuifungulia feri ufukweni mwa bahari,nilipanda gari mbili eti kumkwepa jamaa aliye act nafasi ya kitale,😭😭😭
@shebbyconscious277
@shebbyconscious277 Год назад
Haahahahah kwakweli ata mimi nilipigwa nilipanda gali nikashuka kituo pili nikapita shotikatia asnione alipiga sm ndogo na elufu nne
@boyimchawi
@boyimchawi 3 дня назад
Sema walah😂😂
@DigaBoyTz
@DigaBoyTz 4 месяца назад
Nyimbo zangu nicheki diga boy tz
@ziddyziddy2524
@ziddyziddy2524 2 года назад
Dah hii michezo kitambo sana
@wellbrand3415
@wellbrand3415 2 года назад
The Don analia😂😂😂
@timafahad3764
@timafahad3764 2 года назад
Mmewapa mbinu wezi tutaibiwa kila siku 🤣🤣🤣🤣🤣
@NassibUkasha
@NassibUkasha Месяц назад
Mombasa ndio wamezidi kinoma
@jn_mustonez7842
@jn_mustonez7842 2 года назад
Bro kitale unajua
@kboymfalme
@kboymfalme 7 месяцев назад
Wezi wasioumiza
@qadirshaffiy5893
@qadirshaffiy5893 2 года назад
Shaffiy kitale @Wajina...🤣🤣🤣🤣🤣
@marioedward4125
@marioedward4125 2 года назад
Mdogo wa harmonize huyo
@azaboicomedy
@azaboicomedy 2 года назад
Sema "wallahhhhhh" hahahahahahahahah
@stevenjonstone897
@stevenjonstone897 2 года назад
Kazi nzur
@shamisjamal8392
@shamisjamal8392 2 года назад
Mmhm kaka mkubwa naon umekonda vepe....kitale teena
@uvuvweweonyetenyevwe1348
@uvuvweweonyetenyevwe1348 2 года назад
Mazoez kwa sana
@AhmedMohamed-so7db
@AhmedMohamed-so7db 5 месяцев назад
Hiyo ilinitokea ivoivo kariakoo acha cjawahi adithia mtu hadi leo
@Gody360
@Gody360 2 года назад
Mwizi
@kamaukahn6308
@kamaukahn6308 2 года назад
Bro mpigishe mogera mazoezi
@chani_tayra_official1860
@chani_tayra_official1860 2 года назад
Mbon Kitale Umekonda vibay jamani Nini shida 🥺🥺🥺🥺🥺
@maherzain615
@maherzain615 2 года назад
Zoezi
@salehsuleiman1218
@salehsuleiman1218 2 года назад
Skuiz anapiga chuma sana
@keylacbabako8325
@keylacbabako8325 2 года назад
kitale mwanangu damu
@OthumankibabiKocho
@OthumankibabiKocho 5 месяцев назад
😂😂😂😂kitale unajua kuapa
@bostonmakokha5994
@bostonmakokha5994 2 года назад
Ririfa nywa hifo tu somo
@lungaitomodari8151
@lungaitomodari8151 4 месяца назад
HATIMAYE ISHAKUA ..USIPITWE ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Yh7w06CqR0A.html ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Yh7w06CqR0A.html ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Yh7w06CqR0A.html ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-Yh7w06CqR0A.html
@athumanochu-bc7dz
@athumanochu-bc7dz Год назад
Tujuane vp
@raphaelamani913
@raphaelamani913 2 года назад
Stani mbona unapiga kibao hivo babu heeeeeeee
@kerryrummy633
@kerryrummy633 2 года назад
Kibonge mwepesi🤣
@RamazanihusseniOmari
@RamazanihusseniOmari 2 месяца назад
Du noma
@ambokilemussa3518
@ambokilemussa3518 Год назад
Askari kanyoa kiduku
@marurualex9827
@marurualex9827 5 месяцев назад
Ila kwel hii hatari
@HassanMeja-rs4cy
@HassanMeja-rs4cy 5 месяцев назад
Yaani huu wizi ni wamorogoro kabsa daa nshawahi kuibiwa kama huyu jamaa
@Sonny733
@Sonny733 2 года назад
🤣🤣🤣🙌 Kitaleeee
@fredricknkole7457
@fredricknkole7457 2 года назад
Aisee mmenikumbusha myaka 12 iriyo pita in Uganda
@lucymtuka6393
@lucymtuka6393 Год назад
Niliwahi kuibiwa cm ivi ivi kariakoo sitosahau 😅😅
@eidylee5618
@eidylee5618 2 года назад
2009 nilipigwa karume 🤣🤣🤣🤣
@alhimnamussasaid3619
@alhimnamussasaid3619 2 года назад
Kitale karudi yule wa zamani kama ilivokua, kama anafanya mazoezi ni jambo jema lkni kama anaumwa ni vyema atafute tiba mapema
@TamuzaKale
@TamuzaKale 2 года назад
Haumwi. Anafanya mazoezi mengi mno!
@eashaeasha9776
@eashaeasha9776 2 года назад
Kapungua Sana mazoezi yame mpunguza kapendeza
@mikekassege8529
@mikekassege8529 2 года назад
Michezo ya wahuni wa Ngalenaro sekondari sijuhi kama bado wapo na style yao hii
@DigaBoyTz
@DigaBoyTz 4 месяца назад
New song nyimbo yangu mpya ndugu jamaaa na malafiki usisaau COMMENT LIKE SHARE SUBSCRIBE 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 natumia jina diga boy tz song umebadilika please please please please pleas🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@swaloweddingcollection
@swaloweddingcollection 5 месяцев назад
Hahaha Hii boder ya wajanja
@abdullatifkhamis3787
@abdullatifkhamis3787 2 года назад
Wa mwanzo 🥰npen like zangu
@saramamboka5120
@saramamboka5120 2 года назад
Mume tishaaa kinyama wanaaaa
@emmanuelmbelele8954
@emmanuelmbelele8954 Год назад
🤭🕺💪
@HappyDesertCreature-cx6bv
@HappyDesertCreature-cx6bv 4 месяца назад
😢
@wilsonkahamba7702
@wilsonkahamba7702 2 года назад
Leo
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 3 месяца назад
Oyaaa ila nyinyi kwelimmeshindikana
@SebiusKanyopa
@SebiusKanyopa 5 месяцев назад
Huu ni wizi kanyaboya ya miaka ya 1980, wamejitahidi kucopy na kupest Kwa nyia ya video,
@DullySaidy-hu8it
@DullySaidy-hu8it 3 месяца назад
👍👍👍👍👍
@خديجهالبلوشي-د4ك
@خديجهالبلوشي-د4ك 2 года назад
Kitale kakonda khaa
@samwelmarty6759
@samwelmarty6759 2 года назад
Kitale wapasuee tu haoo
@rakibali3650
@rakibali3650 Месяц назад
"Kaangusha Millioni moja" Yeye alijuaje na Hajaiyona 😂
@abdulmauya4874
@abdulmauya4874 Год назад
Wanna upeo mkubwa wa kuzingatia matukio ya mitaani vinavyofanjika kiuhalisia .
@MusaLutumo-r4r
@MusaLutumo-r4r Месяц назад
wizi kama huuu ndo upo tundumaaa yan ukiwa n tamaaa umekwishaaa😂😂😂
@nurudaud3993
@nurudaud3993 2 года назад
Aiseee🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nishawahi kuibiwa hiv buguruni wapo wez wa hivi aiseee😄😄😄😄😄☹️🤔🙄
Далее
KITALE, STAN BAKORA, KOBELO, CHA POMBE,.
10:08
Просмотров 308 тыс.
KWA MWENYEKITI KUNA BILIANI
28:54
Просмотров 303 тыс.
Слушали бы такое на повторе?
01:00
Outsmarted 😂
00:20
Просмотров 3,2 млн
KITALE NA KISOSI |ep 5 | WEZI WA KUKU
8:05
Просмотров 36 тыс.
MASAI APAGAWA NA YANGA | NG'OMBE WANGU NAWAPA YANGA
14:25
KITALE NA STAN BAKORA WAKAMATWA NA BANGI
11:52
Просмотров 325 тыс.
MPOKI / BROTHER KEY_ MJOMBA CHIZI
23:09
Просмотров 84 тыс.