Тёмный

KIVUMBI WALIOMTISHIA DC, RC CHALAMILA AAGIZA WASAKWE "NITAWAFYATUA, HAKUNA WAKUPANDA KIPARA HIKI" 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 95 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 267   
@AliAhmed-m1o2u
@AliAhmed-m1o2u Год назад
Mhe Rais Samia hongera kwa chaguo😢😢😢lako la mkuu wa mkoa wa Da es salaam
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Kwenye jamhuri yetu ya Ze kabwelas republic nitakupa u waziri mkuu. Yuko vizuri sana Komrade Chalamila kijana wa JPM Watanzania ndio wanataka kuendeshwa hivyo
@daudedson4520
@daudedson4520 Год назад
Haya mamb ndo tunataka Sasa au awe rais au bc 🤣🤣
@m.m.tvmbebamaono
@m.m.tvmbebamaono Год назад
Mwehu huyoo kalewa
@onesmomwakasege5215
@onesmomwakasege5215 Год назад
Huyo ndio kiongozi anae itajika kwa maslahi ya taifa chukua maua yako baba 💐💐💐💐
@ebenezermachange-zp4es
@ebenezermachange-zp4es Год назад
Safi sana Mkuu wa Mkoa uko vizuri.
@FadhiliMasebo
@FadhiliMasebo Год назад
Wapelekee moto mkuu
@RamadhanOmar-ow1ki
@RamadhanOmar-ow1ki Год назад
Safi sana mkuu wa mkoa kwa kweli inauma sana hiyo tabia kwa kweli serikali nyie ndo mnailea hapo mkuu ushasema kuwa hao watu unawajua wanao kula nao .Hivi kwanni wasichukuliwe hatua hao watu wakawekwa hadharani na mwisho wa siku wataifishwe Mali zao wakionekana wameiba .Ila serikali yetu kila siku kwenye madudu hamchukui hatua kabisa kuanzia juu ya serikali mpaka huko chini .Watu wamgekuwa wanafungwa na kutaifishwa mali zao hao walioiba hayo mambo yasingekuwepo kabisa .Kwa kweli inasikitisha kila siku habari ni hizo watu wanaiba hawachukuliwi hatua .Waliotajwa na Cag mpaka Leo kimya hivi tunawqfundisha wengine ni kuendelea kuiba na wanajua hawafanywi kitu chochote.Washahili walisema ".Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo"
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Год назад
Chalamila ni kiboko.hongera sana❤
@FadhiliMasebo
@FadhiliMasebo Год назад
Umetishaaa wa mbeya tunakukumbuka piga kaziiiu
@fathiliamakuka4858
@fathiliamakuka4858 Год назад
Vizuri sana unajua kuna watu wanata ,kupelekwa namna hii , wanajiangalia wao tuu bilakujua wengine wapo, nenda nao hivohivo bila kuogopa.
@fadhilhimid2776
@fadhilhimid2776 Год назад
Nampenda sana mkuu wa mkoa hasa akiongea
@OmmyJames-xn7ji
@OmmyJames-xn7ji Год назад
BIG UP RC SWEKA WOTE KILA ANAYELETA TAHARUKI NCHINI 😢😢😢😢😢
@husseinally3015
@husseinally3015 Год назад
Muheshimiwa chala hongera sana hii tz inatakiwa wa2 makauzu ukijitia mnyonge wanakufata mpk nyumbani bro chala nimekuelewa sana
@AmidaKomba
@AmidaKomba Год назад
Safi sana kazi nzuri,
@barakasandey1980
@barakasandey1980 Год назад
Mimi Huwa namkubali sanaaa huyu mwambaaa
@kitejamayunga7645
@kitejamayunga7645 Год назад
Hapa Mama yangu Samia aliupiga mwingi Kwa chaguo Hili Hapa Dar
@SaidiKidika
@SaidiKidika Год назад
Safi sana mheshimiwa, haiwezekani masokoni ushuru unakusanywe kila siku mabadiliko hayaonekani.TUMBUA TU MHESHIMIWA CHALAMILA.
@SuedSemlangwa
@SuedSemlangwa Год назад
Pigia kazi RC narudia piga kaziiii Dar inahitaji maamuzi ya aina hiii.
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Год назад
FANYA KAZIII BABA MUNGU AKUSIMAMIEEE❤
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 Год назад
Kanywe soda mh nitalipa 💪👍
@deomusyebi9930
@deomusyebi9930 Год назад
Pole sana RC Chalamila baadhi ya watu wamezidi jeuri na hii inakatisha Tamara sana sasa huyo mtu Ana mtu gani nyuma yake anae mpa kiburi kamata wote tupa store washike Adabu wote
@thestonetown3302
@thestonetown3302 Год назад
Mungu akutangulie piga kazi…..
@josephkaunga8014
@josephkaunga8014 Год назад
Salute kwako mkuu
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Год назад
Sanaaaaa waaambiweeeee wanakuja pesaaaaa hao. Viongiziii MATAPELIIII watoweniiii
@yasinimalya4001
@yasinimalya4001 9 месяцев назад
Ayo tv safi sana!!
@edwinmachange6607
@edwinmachange6607 Год назад
Hongera sana Mkuu wetu wa Mkoa kwa kazi nzuri mnoo. Zidi kubarikiwa kiongozi
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 6 месяцев назад
Wende jela au mahakamani mboma umepotoliza kiongozi😂😂3
@joycefrances4516
@joycefrances4516 Год назад
Ni Bora kaingilia kati,kwasababu watu wakishakuwa na ku control eneo la biashara wanaonea wenzao Bora watimuliwe waweke wanaojali bila kunyanyasa wenzao,
@fadhilhimid2776
@fadhilhimid2776 Год назад
Fanya kazi yako bila hofu mh
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 Год назад
Safi sana mkuu
@salumukimbanga2495
@salumukimbanga2495 Год назад
RC Chalamila na DC Komba pigeni kazi
@daudedson4520
@daudedson4520 Год назад
🤣🤣🤣🤣za Moto ka maji ya betrii🤣🤣Hii imeenda sawa
@azizamvungi1871
@azizamvungi1871 Год назад
Piga kazi baba usiwasikilize wanaokuambia hufai usijali hata piga kazi ukweli,ni ukweli tu
@fanuelmpesa3484
@fanuelmpesa3484 Год назад
Kazi iendelee mpaka kieleweke
@ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
@ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl Год назад
Jembe la JPM Hilo piga Kaz baba
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 6 месяцев назад
Kwani huyo dikteta JPM yupo wapi. Na kwa nini liwe jembe Lake?
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI Месяц назад
Hata ww utaondoka lkn kwenye maslahi ya wengi lazima kiongozi asimamie haki​@@MilloWamilonga-ft8ir
@YusufuDunga
@YusufuDunga Год назад
Mh rais kama kuna mtu tunamkubali wakuu wamikoa rc chalamila namkubali sana anamaamuzi yake sahihi
@edwardkongo410
@edwardkongo410 Год назад
Hatariiiii hakuna kuchezeana hapa
@showejikinjekitile5942
@showejikinjekitile5942 Год назад
Sasa munakata kata nini wakati yeye katukana mbele ya wananchi acha ivo ivo
@HamisiPazi-m5p
@HamisiPazi-m5p Год назад
Hapo umenena
@hafidhisaidi6550
@hafidhisaidi6550 Год назад
Kweli kabisa
@emanuelkamangu6500
@emanuelkamangu6500 Год назад
Kweli
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Год назад
Namkubali sana toka enzi za Magufuli alikuwa hana mchezo na mtu
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 6 месяцев назад
Acha kumbuka muuwaji dikteta ni sawa na kukiota kifo chako
@iddimultano9478
@iddimultano9478 Год назад
Kama #Katiba inamruhusu Basi hana baya mwacheni apige kazi ni muhimu sana tunataka maendeleo.
@michaelmrema5233
@michaelmrema5233 Год назад
Safi sana kuyaona hayo
@MichaelEdwrdi-jp5ve
@MichaelEdwrdi-jp5ve Год назад
Daaah hatimae soko la raia aisee ahsante mkuu wa mkoa kwa kuja
@dignapetro2903
@dignapetro2903 Год назад
Umetisha sna mh nakuunga mkono kabisa hali ya hapo n mbya sana tena n muda sana nashindwa kuelewa viongozi wapo wapi kwa hili ubarikiwe sana
@showejikinjekitile5942
@showejikinjekitile5942 Год назад
Aise watazania bure kabisa wao nikushangiliatu kilakitu
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Год назад
Ukiona hivyo ujue hawakubaliani na kikundi kidogo cha wenzao kinachokwamisha ukarabati wa soko
@LaurentMkolea-rh8sh
@LaurentMkolea-rh8sh Год назад
Wanaomuona huyu mwamba kazingua wote was hovyo. Wabongo tunaenda kwa ubabe kidogo ndo inatakiwa hivo.wengine wanajifanya kujaza matumbo yao tu na kunyanyasa wadogo
@RBMBAKARI-bv6wn
@RBMBAKARI-bv6wn Год назад
Huyu ndio mkuu wa mkoa tuliokua tunamtaka
@athumanfuko199
@athumanfuko199 Год назад
Kuna mnyororo hapo km ulivyosema ndio maana wanaleta jeuri.
@ausonjustinian4673
@ausonjustinian4673 Год назад
Uko vzr mkuu nchi hii inaitaji hivo tu. Safi:km Magu vile?? Ila punguza kidg. Bkb tunakukumbuka
@tumainikomba9008
@tumainikomba9008 3 месяца назад
Mhn.....mbona kama sio
@EliasJohn-lc8nu
@EliasJohn-lc8nu Год назад
Huyu jamaaa mtu wa kzi sanaaa nmefatilia vipande vyt nmewaelewa sanaaa na mkuu wako wa wilaya pigen kaz lindez mal zetu
@EliPeter-o2n
@EliPeter-o2n Год назад
Huyu mwamba .ndio anafaa hapa dar..
@ShabaniOnyango-gm3vz
@ShabaniOnyango-gm3vz Год назад
Huyu jamaa hafai kuwa kiongoz gan anawatukana wanachi jipime
@edwardmaguluko6541
@edwardmaguluko6541 Год назад
Huyu mwamba kachafukwa kweli
@isaacndashuka5959
@isaacndashuka5959 Год назад
Hapa ndio mtajua elimu wanayopewa watz ni ziro.kila kitu wanashangilia.aibu kwa viongozi na wananchi pia
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 Год назад
Yaani ni aibu tupu,yaani kuwa mkuu wa mkoa ndio utukane watu na kuwatisha watu kwenye nchi yao,huo uongozi anaosema anauvunja leo,aliuteua yeye?Hana weledi wa kuongoza mkoa,hii ni aina ya viongozi wanaoteuliwa kutoka UVCCM,hovyo kabisa.
@emanuelayubu5021
@emanuelayubu5021 Год назад
watanzania wanatakiwa tujithimini haraka iwezekanavyo, haiwezekanini kabisa kiongozi kuporomosha matusi na kutishia watu.
@yassinnabwera4273
@yassinnabwera4273 Год назад
@@emanuelayubu5021 Halafu kuna Watanzania wenzetu wanamsupport matendo hayo ya kijinga na ya kipumbavu,ni hovyo kabisa.
@dicksonkilupa2258
@dicksonkilupa2258 9 месяцев назад
HII HASIRA NI KUBWA MNO MNAOSUMBUA KIMBIENI HARAKA.
@eliannko
@eliannko Год назад
uyu afai kuwa kiongozi ana busara
@adaboychibu1659
@adaboychibu1659 Год назад
Watanzania hawaitaji busara hivi ndio safi!ukileta kauli za kishoga huta eleweka!busara kamfanyie Baba ako au Mama ako kwenu huko
@gustavompemba1781
@gustavompemba1781 Год назад
Nyie munapend busara kweli
@SandraJackson-b6u
@SandraJackson-b6u 9 месяцев назад
Yani anamatus sana hafai kuwa kiongoz so muda samia atamtumbua tu mbona mama anakauli nzuri sn
@kassimibrahim4776
@kassimibrahim4776 Год назад
Alikuwa muimba kwaya huyo jamaa baada yakutenguliwa......huwa namkubari sana kwenye usimamizi wake wa majukumu yake
@evancykashaga6576
@evancykashaga6576 Год назад
Mbona mnakataka maneno ya mkuu wa mkoa hamtendi haki
@alenialex6941
@alenialex6941 Год назад
Maneno mengine makali ndo misingi ya abari
@EdesPagiel-dh4ls
@EdesPagiel-dh4ls Год назад
Bado ujasema na utasema ( yaani anaongea kwa zarau ya hali ya juu)
@checkchannel3876
@checkchannel3876 Год назад
Chalamila endelea kusimama namna hiyo, watu wanapenda mzaha sana, na ndio maana nchi haiendi! Na nchi hii inataka viongozi wa aina yako. Huo ndio ukweli!
@emmykundy4273
@emmykundy4273 Год назад
Sawa, lakini jazba ya nini? Matusi ya nini?
@checkchannel3876
@checkchannel3876 Год назад
@@emmykundy4273 hakuna matusi hapo! Halafu we ulitaka aende anawabembeleza? Kwa nchi hii ilivyo yuko sawa tu!
@isabujoisabujo1214
@isabujoisabujo1214 Год назад
Yuko sawa sanaaa❤
@leahMaino
@leahMaino Год назад
Chalamila yupo sawa wabongo ndio tunatakiwa tupelekeshwe na kauli za kibabe ata ivyo wamemkera sana
@dynamicplatform2102
@dynamicplatform2102 Год назад
Linafaa kuwa Rais la 2030
@khamismtoma4902
@khamismtoma4902 Год назад
Ayo tv kuna habari huku mtahani ni muhimu Sana tofauti na hapo tunaweza poteza
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI Месяц назад
Unamaanisha nn
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI Месяц назад
Kwamba hapo Ayo tv hakuatahili kurusha habar hii
@SahirAbdul-o6q
@SahirAbdul-o6q Год назад
Kwaiyoo mnatowa pongezi Kwa kutuita tukome kama tulivyo koma ziwa la mama yetu duuuuuh wasomi wa nchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@Ibrahim-ne3in
@Ibrahim-ne3in Год назад
Cha Cha Cha chaaaaaalamilaaaaaaaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@johnzege209
@johnzege209 Год назад
Mtanzania yeye Kila kitu anashangilia, ukimuuliza kimezungumzwa Nini hajui, mradi maisha yanaendelea tuu, 😂😂😂
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk Год назад
Hhhhh
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 Год назад
Hahahaaaaaa kabisa aisee
@MirajiMiraji-v2j
@MirajiMiraji-v2j Год назад
Tanzania bado sana kila kitu mafi , hata mgeambiwa nyie wote mlipo hapa wapumbafu sana , mgepiga makif na vigelegele .
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk Год назад
@@MirajiMiraji-v2j jmn ww jeur duh 😃😃😃😃
@SAIDISHABANI-y6m
@SAIDISHABANI-y6m 2 месяца назад
Dah Yani Mtu Anatukana watu wanashangilia dah hii ni hatali sana
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI Месяц назад
Kama umemia na ww tukana
@frankmlinda1181
@frankmlinda1181 Год назад
Chalamila yuko sawa,wabongo ukiwaendekeza wanaleta dharau sana wasenge hao wanachukua ushuru mazingira mabovu .big up bro.
@GeofreyKalo-ot3we
@GeofreyKalo-ot3we Год назад
Mazingira ya soko la mabibo ni mabovu sana kama kiongozi ukiwachekea hawata ogopakuchukua ushuru na kula tu bila marekebisho safi sana chalamila huo ndio uongozi
@SaidihusseinAthumani-dy9kw
@SaidihusseinAthumani-dy9kw Год назад
chalamila piga kazi wa dar tuna imani na ww dar imepata mkuu sahihi
@rhodapyuza6053
@rhodapyuza6053 Год назад
Safi
@ElifurahaLaizer-lj7ed
@ElifurahaLaizer-lj7ed 9 месяцев назад
Unafaa Kuwa Rais wa Tanzania
@hassanisaimon1531
@hassanisaimon1531 3 месяца назад
Acha kiburi ww Kwan ww nani Umejiumba,nakupa muda huwez kukaa milele apo kwenye kiti Makonda is around the corner
@ElisaLuisMarengula-wg9ul
@ElisaLuisMarengula-wg9ul Год назад
Hii no serikali wa Afrika wanataka
@feisalseif6488
@feisalseif6488 Год назад
Ila kauli na maneno unayotumia yatabalia kuwa kumbu kumbu ndani ya vichwa na mioyo ya watu uongozi ni busara hekima na uvumilivu
@patrickjohn4135
@patrickjohn4135 Год назад
tanzania bil kiongozi mbabebe mnazoeana viby
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 Год назад
Mimi mwenyewe nawadai chenji yangu ya ndizi hapo elfu 1 mpaka leo
@sikalumea9028
@sikalumea9028 Год назад
Acha inyeshe tuone wapi panapovuja😢😢😢
@midundotechtz6843
@midundotechtz6843 Год назад
Nan uyo
@SandraJackson-b6u
@SandraJackson-b6u 9 месяцев назад
Kuwait ma hekima
@MozaAly-st8fl
@MozaAly-st8fl Год назад
Tenda kazi kuwa na hekima km magufuli. Serekali ni alla sio ww mtukanifu. Ukikata roho tu huna lolot.
@shadrackjacob800
@shadrackjacob800 Год назад
Tanzania inatawalika tuuu !
@MwitaSenso
@MwitaSenso Месяц назад
Oya weee unafaaa kula Raisi maan unakaul ngumu
@msafiriomary893
@msafiriomary893 3 месяца назад
TUKWAMBIE TUUU WW BRA MAGUFULI USINGE JURIKANA INCHI HIIIII MAGUFULI ATABAKI KUWA JPM TUUUUUU TUMEKUCHUKIA SANA
@emmykundy4273
@emmykundy4273 Год назад
Hali ya soko la Mabibo ni shida sana, kuna watu walijifanya ni shamba la bibi yao. Sasa wamekutana na mwehu zaidi yao, jamaa kaamua ajifanye mwehu ili apambane nao ki-wehu… Hilo soko lipo kama dampo
@lanezboy7016
@lanezboy7016 Год назад
Daaaaaaa hii nch kuna watu wanausenge sanab
@cosein
@cosein Год назад
Yaani huyu jamaa akiwa rais Tanzania itafika mbali
@reginas1832
@reginas1832 Год назад
Hii nchi Mungu tusaidie.
@salummhina4857
@salummhina4857 Год назад
HUYU BWANA CHALAMILA AMEKOSEA SANA KUTUKANA WATU.KUTISHA WATU SIO SAWA.BILA KUJALI HAO WENGINE WALIFANYA NINI YEYE NIKIONGOZI HAPASWI KUJIBU HOJA KWA KUTUKANA .SIJA PENDA KABISA
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI Месяц назад
Upende usipemde hiyo imeisha kamanumeumia kasage chupa ubwie
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 Год назад
dah naona reo umeongea kwaasira kweri reo
@kiwangasaidi6284
@kiwangasaidi6284 Год назад
Safisanaa Mkuu wa Mkowa Nakutakiya Kila Laheli Natamani Ufikembali Katika Uongozi Wako
@mathiasmanonga3939
@mathiasmanonga3939 Год назад
Hizi kauli ni mbaya sana,
@bouzartbc5641
@bouzartbc5641 Год назад
najiona mimi nkijaa,
@barakanestory3521
@barakanestory3521 Год назад
Halafu kwanini umeme unakatika katika? Dar! Kama ndiyo tunapata uhuru?
@bonabonala5559
@bonabonala5559 Год назад
huyu chalamila nikama mwanri hawafai kua viongozi huyu kweli ni mtawala kama irivyo tabia ya ccm ni watawala sio viongozi hawa ccm mtaondoka siku moja tu
@MilloWamilonga-ft8ir
@MilloWamilonga-ft8ir 6 месяцев назад
Bwege wewe hata kuandika kwako ni mgogoro
@MWINYIKADHI
@MWINYIKADHI Месяц назад
Hata ww huwezi ishi milele
@devotamutayoba9373
@devotamutayoba9373 Год назад
Mmm ngoja nipite tu😊😊
@mpigadaud4180
@mpigadaud4180 Год назад
Yaani wabongo wanashangiliaga kila kitu ata angesema mavi yanariwa wangeshangilia tu
@kenedytheonest2798
@kenedytheonest2798 Год назад
Wanyooshe
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 6 месяцев назад
Kiongozi hakupaswa kutukana hata kama mtu kakosea. Kiongozi tumoa busara kama kiongozi. Kama umekasirishwa basi tumia busara na usitukane wala usikasirike mpaka ukapotiliza mipaka.
@Halidmohamed-n1d
@Halidmohamed-n1d 3 месяца назад
Majitu yanafulaia ujinga
@michaelmrema5233
@michaelmrema5233 Год назад
Huyu nizaidi ya magufuli. Tuache ubinafsi chalamila jembee.
@ImaniHussein
@ImaniHussein 3 месяца назад
😢
@salama1113
@salama1113 Год назад
Kwahiyo nyie mnao shangilia kama mzaziwako anatukanwa mnalidhika akili kweli mali bola ukose mali upate akili
Далее
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Просмотров 6 млн