Tuwenye dhambi tena wahitaji tunahitaji msaada japo vikwazo ni vingi sana lakini tujipe moyo tulia kwake kuna amani farijiko la moyo wako usikate tamaa mwokozi yuko nawe x2 Nimetikiswa kidogo,nimeyumbishwa kidogo,nimetembea kwenye miba mikali maana mwenyewe ataaniinua tena Mahangaiko na masumbuko yote katika dunia hii wakati wake umesha kwisha mwokozi anarejea,mateso yote yatatoweka itakuwa furaha tele,wokovu wako uko karibu jipe moyo x2
This is absolutely amazingly powerful. I just can't get enough of this piece honestly. I have been listening to it over and over again, this being my 3rd day ever since I came across it. Zingine ziroll tafadhali, nimeshasubscribe