Shule ni muhimu saaana , angalia utulivu alionao Afande , hata ukutane na askari wa Polisi ambae shule iko aise kuna utofauti mkubwa saana, we ukiona hata kuongea hujaanza ushaanza chezea makofi samehe tu yaishe, hutumia ukali kama defense mechanism ya kuficha mengi
kontawa kontawa jeshi shilling moja yenye pande mbili .upande mmoja askari wengi ,upande wa pili makamanda wachachekupenya nfasi mpaka uwe mess. bro wewe komaa na nyimbo umesi utaweza.nnaitwa kontawa
Asilimia kubwa wa Tanzania wengi wanaona jeshi linakosea hapana, hizi nguo zinazofanania na jeshi kwakuwa ni nguo za majeshi mengine, wanao ruhusiwa kuvaa nguo za jeshi tofauti lingine ndani ya nchi yetu kuna watu wanaitwa waambata jeshi ambao kila wanapelekwa tofauti na hapo basi watavaa kama wapo operation mfano DRC askari wa Tanzania wanavaa mavazi yao
Wanajeshi mmekosa kazi za kufanya kalindeni Bandari zetu majambazi ccm wasiuze mmekalia kukamata nguo za mitumba iliyo lipiwa Kodi na kuzibitishwa na TBS na TRA