The guy that wanted his share of Money instead of the car was Smart! Hao wengine ambao walichagua gari ni Mazuzu na ni watu Wajinga sana! One car owned by 3 young boys. italeta shida tupu.
Lakini gari ni ya nini??!! The guy refusing to buy ako sawa, he should have been given his share it’s too soon for a car……alafu wako watatu how will it work??!! Kuna mmoja anakaa ku-take over.
I made a choice to first strengthen my hustle then buy a plot of land then finally build my home alaf gari badaae.....If this music group commute frequently with Uber n it really mess up their finances then it's advisable they get a vehicle bt kama their allocation for transport is not high basi they should have split the money ....Joefes seems to have brains bt hao wengine wawili leave a lot to fathom kwasababu wanataka gari ndio wa flex n it seems crazy to me.
DAMN!!! So a kind hearted man offers to appreciate the group with 600k and all the two artist except one could think of is buying a car??A liability? Just in the name of flexing? and ati ndio waonekane wasanii wako na gari. That decision is not wise at all; why buy a car now yet you can own a G-Wagon 10years from now by working hard? As young people we should invest and think about the future instead of focusing on how to please people. Be blessed! Alafu Mungai Eve, keep up the grind.
Cash Kid always the best and wise namfeel manze shamba kwanza Buda hawa maboys hawajui Kukosa Shamba ni nini Team Cash Kid 💪💪💪 I'm sure Cash Kid anatoka kwa background moja humble RESPECT Bro ...................My opinion
Mimi naweza taka apewe doh zake ajisort..kwanza gari nikama mtoi it needs alot of care na watakuwa wanakosana bure juu ya maintanance..anyway God will open doors for him
@@charitykamum3191 true Tena itaandikwa nani na pia kama itakuwa ikikaa na management atakuwa akiimisuse kuenda biashara zake zenye si relatedna their music
Eve please help me tell the don,mm naitwa tony natoka athiriver.congratulation kwa job ww na don mnafanya,mm sina job,nimesaka job lakini sipati,ambia don akanisaidia nipate pikipiki nikue nabeba bodaboda naeza shukuru sana plz eve