Тёмный

KUACHIWA KWA MBOWE CHADEMA WATOA TAMKO KALI | WANAZUIWA WASISEME | KULINGWANISHWA NA KENYA 

EastAfricaRadio
Подписаться 520 тыс.
Просмотров 39 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

24 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 195   
@bukeyyerawadh1725
@bukeyyerawadh1725 2 месяца назад
Huyu Kigaila bado hajawajuwa hawa wenye hii radio ni machawa wa CCM
@pmfalila
@pmfalila 2 месяца назад
Hatuna waandishi kwa kweli!
@rejobu9723
@rejobu9723 2 месяца назад
Wantangazazi wote mmeniangusha yaani mmeonyesha uwezo wenu wa kuhoji maswali yamsingi hamna!
@frankmaeda4284
@frankmaeda4284 2 месяца назад
Waandishi ubwabwa hawajui wanachohoji angali wao ni vijana. Chawaaa
@mutabebwa-bm6pm
@mutabebwa-bm6pm 2 месяца назад
Ni kweli hamna. Inaelekea uwelewa ni mdogo. Uwelewa ukiwa mdogo hata uulizaji wa maswali unakuwa ni mgogoro.
@mpendamema3694
@mpendamema3694 2 месяца назад
Beni kigaila ni chuma ❤❤
@exaudmohamed736
@exaudmohamed736 2 месяца назад
Nimefurahishwa na mjadala wa maswali nimeelewa kitu Fulani angalauu Asante redio Asante kigaila
@ernestkibada3845
@ernestkibada3845 2 месяца назад
Kwa kweli watangazaji wetu uwezo wao no mdogo Sana hawana uwezo wa kuhoji Hilo ni tatizo kubwa,uwezo mdogo sana
@sofiamsuya2254
@sofiamsuya2254 2 месяца назад
Wakenya hawana waandishi wa habari hovyo kama hawa
@B23-i8p
@B23-i8p 2 месяца назад
Yani waandishi hawajui hata kuandamana ni haki na ipo kikatiba wao Wana ng'ang'ania 4R ya mama tu ndo kama vile imeruhusu maandamano so sad for country kama wasomi wenyewe tulio nao ndo kama Hawa,wapo kwenye media kubwa
@leokamil6284
@leokamil6284 2 месяца назад
Hawana upeo na ndio shida ya watanzania wengi. Pia hakuna Elimu ya uraia infact since Mwalimu tulifanywa vipofu
@B23-i8p
@B23-i8p 2 месяца назад
@@leokamil6284 kabisa
@LuciaAgustino-pt5mg
@LuciaAgustino-pt5mg 2 месяца назад
Uko vizuri Kwa maneno ya makini
@ntegrity277
@ntegrity277 2 месяца назад
FANYENI STUDIO KUWA SEHEMU YA MAANA MZIKI HUO NI WA NINI
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 2 месяца назад
Wanaifanya studio kama kuna Disco huu ni ujinga jamani 😂😂😂😂 kelele za watu na za music...
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 месяца назад
Walitaka wajadiliane ili kila kijana atowe shida zao ili waweze kutafuta matatizo yao ili waweze kuyajadili. Sasa watajuaje hatima yao wakati hawajadili kwa pamoja waweze kujadili kwa pamoja waweze kutafuta hatima ya viongozi hata hawa waandishi wametumwa pia.
@Thevineyard9889
@Thevineyard9889 2 месяца назад
Ila maswali ya waandishi wa habari wa Kibongo ni kama hawakwenda shule vile. Uwezo wao mdogo sana..!
@bukeyyerawadh1725
@bukeyyerawadh1725 2 месяца назад
Halafu wako hapo kujipendekeza na kujikomba kwa CCM
@gaspermatee3970
@gaspermatee3970 2 месяца назад
Bravo kigaila weldone baba
@lotimwansule5017
@lotimwansule5017 2 месяца назад
Huyo Dada ni CCM
@elibarikimbise1896
@elibarikimbise1896 2 месяца назад
Nyie waandishi ni sifuri mtu mmoja mapambana naye kwa maswali hii inaonyesha nyie hamjielewi
@daudkondo4069
@daudkondo4069 2 месяца назад
Hawa watangazaji siwaelewi , ufahamu wao kichwani
@EmmanuelSabibi
@EmmanuelSabibi 2 месяца назад
Watangazaj wanataka watake kujibiwa wanavyotaka wao ,kwa swala la kutetea Chama Cha ccm
@josiahsimon5333
@josiahsimon5333 2 месяца назад
Waandishi Bana kazi tunayo
@josephatkajange8714
@josephatkajange8714 2 месяца назад
Redio zingine bwana!
@mwalyoyoalexander2758
@mwalyoyoalexander2758 2 месяца назад
Yaani hawa waandishi wamepewa script, hawataki kuuliza maswali nje ya script. Yaani wanachotaka kijibiwe ndicho wanachokomaa nacho, hawataki kujiongeza. Huu ni upuuzi wa hali ya juu sana. Dr. Nchimbi na Mnyika wana nafasi sawa (Makatibu wa Vyama Vyao). Je Mnyika anaweza kuagiza polisi (dola) wawaachie watuhumiwa?
@CHARLESKINYALA
@CHARLESKINYALA 2 месяца назад
Na ninyi waandishi jinsi mnvyohoji ni kama mnaonekana mnafanya kana kwamba mnataka kulazimisha kauli ya Hatima ni kama vita, pia kwa mnavyoonekana ni kama mna hofu na mamlaka kumbukeni ninyi mnatakiwa kusimama kwenye sheria si kulemea upande fulani.
@WazaeliStefano
@WazaeliStefano 2 месяца назад
Nyie waandishi mnajua kiswahili kwelii
@daudibukuku6490
@daudibukuku6490 2 месяца назад
Pamojaaaaaaa!!!
@daudibukuku6490
@daudibukuku6490 2 месяца назад
Waandishi daaa!! Mkiulizwa swali hamjibu
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 2 месяца назад
Elimu ndogo sana sana . Mnapataje hizi ajira?
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 месяца назад
Hawa waandishi kwani mstakabali ni kutojua maana ya maneno haya mawili hamyajui? Mbona mnamtaabisha huo mnayemuuluza? Mbona hamfuati huyo mkubwa wa polisi wajibu kwa nini aliwashika hao watukufanywa watumwa katika Inchini kwetu? Kwahiyo sasa Kwahiyo Katibu wa CCM ndiyo aliwagiza kuwafanyia hivyo wana CHADEMA?
@Zenny89
@Zenny89 2 месяца назад
East Africa radio ni ya Serikali..Mzee wa watu anapoteza nguvu tuu kuongea nao.
@SakinaHassan-xc2in
@SakinaHassan-xc2in 2 месяца назад
Hawajaenda shule hawa wasndishi pia chadema kuna watu wa kuijenga nchi
@philemonsnyanda9450
@philemonsnyanda9450 2 месяца назад
Siku hizi hakuna wandishi wa habari bali makanjanja
@PASCALJUMANNE-s7w
@PASCALJUMANNE-s7w 2 месяца назад
Kuanzia leo unikuti naskiliza hii redio anauliza maswali kinafki sana tangu afariki mwenyewe
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 2 месяца назад
Tuliosoma Cuba tunaelewa ambacho kingefanyika mbeya
@makeyhunter2006
@makeyhunter2006 2 месяца назад
Ukiwasikiliza watangazaji lazima ukasirike. Uwezo mdogo plus uchawa ndani yake. Pumbavu kabisa
@JacksonMartin-pb2vq
@JacksonMartin-pb2vq 2 месяца назад
Ila sister Kissa umewazidi mbali sana uwezo wa kufikiri hao jamaa studio
@abbynimel-kindy5107
@abbynimel-kindy5107 2 месяца назад
Hawa waandishi wote machoko.. Hamujuwi Maana Kujadili Hatma nyinyi mbwa wakubwa nyinyi waandishi hamjasoma nin wapumbavu wakubwa..
@SeverinMagwaya
@SeverinMagwaya 2 месяца назад
Mchimbi ana mamlaka gani ya kuwaelekeza police kuwaachia chadema!!
@MsAggie5
@MsAggie5 2 месяца назад
Ni yeye aliwaweka Kwa hiyo ana mamlaka kuwatoa. Nchi ngumu sana hii
@RahmaMwamwezi
@RahmaMwamwezi 2 месяца назад
Walijua wanatufukuza kumbe wanatusindikiza kila mtu aone sasa acha tuzidi kuipendaaa chadema yetu japo ulikuwa wakati mgumu kwetu
@frankcharles3980
@frankcharles3980 2 месяца назад
HIRI RADIO TUMEPIGWA NI ZILO TU MATANGAZAJI NIVICHWA HASARA PORENI SANA
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x 2 месяца назад
Hivi vijitu vya east Africa Nimewagundua Toka John heche na peter msigwa akiwa chadema walifanyiwa mdahalo na east Africa aisee ndipo NILIPOANZA kujua Hawa ni wasenge
@pablo_066
@pablo_066 2 месяца назад
Hawa kwa kupata iki kibarua cha utangazaji wanadhani matatizo ya wengine hayawahusu akili zao ni kuwaza tu kujipwndekeza labda ili kuvizia teuzi. So disgusting
@RwelamiraPascal
@RwelamiraPascal 2 месяца назад
Ninyi east Africa radio acha unafiki
@ZainabuHassan-uk2zt
@ZainabuHassan-uk2zt 2 месяца назад
Chadema hatokagi fara
@jimmyluhende5417
@jimmyluhende5417 2 месяца назад
Kwa hiyo Polisi wakiona kuna kiashria cha uvunjifu wa amani unakamata wenye jambo au unaongeza nguvu kullwalinda wahusika wenye jambo ?
@irenemwanja3800
@irenemwanja3800 2 месяца назад
Mbe wanahabari wetu sio waelewa kiasi hicho. Sikuamini warudi darasani na wakasome sheria
@thobiasmarandu214
@thobiasmarandu214 2 месяца назад
Takataka Hizi
@timothbenard8213
@timothbenard8213 2 месяца назад
Watangazaji wahovyo
@leokamil6284
@leokamil6284 2 месяца назад
Sana
@richardmakweta8875
@richardmakweta8875 2 месяца назад
Kigaila usipoteze muda kuongea nawatu ambao wana maslahi yao wanayo yajua.
@rebekakulwa6159
@rebekakulwa6159 2 месяца назад
Nyie watangazaji. Ni mafisi em. Kakojoeni mlale mungesubir waitamuke hiyo hatima yao msilazimishe
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 2 месяца назад
Nyie waandishi kwani hamna mstakabali wa maisha yenu?
@bezalelmbijima8182
@bezalelmbijima8182 2 месяца назад
Kwa nini usiulize walioqakamata unawauliza waliokamatwa uandishi uchwara tu huu. Ungewauliza Polisi uliowasikia uoga wa nini ninyi waandishi.
@yordanyona1234
@yordanyona1234 2 месяца назад
Hakuna Maombi ni amri ...hiyo mkasome protocol za uongozi...Ile ni amri ndio maana waziri alijibu nimepokea mkuu
@sadhamis5463
@sadhamis5463 2 месяца назад
TATIZO LA TANZANIA WANA HABARI NI MASHABIKI WA CHAMA FURANI NA NI MASHABIKI WA CHAMA FURANI NDIYO MAANA HUWA AWAWEZI KUKEMEA WAO WANASHABIKIA TU.
@dizzytv7981
@dizzytv7981 2 месяца назад
Hii radio ya hovyo
@RevocatusKitambi
@RevocatusKitambi 2 месяца назад
Wahandish wa 2024
@yaronaWilliam
@yaronaWilliam 2 месяца назад
Hao mnaowakamata kesho wakija kuongoza nchi itakuwaje?.
@sofiamsuya2254
@sofiamsuya2254 2 месяца назад
Naomba cv za waandishi😂😂😂
@kisinza6077
@kisinza6077 2 месяца назад
Hatuna waandishi😢😢
@richardmakweta8875
@richardmakweta8875 2 месяца назад
Nanyinyi niwaandishi wa habari??
@jimmyluhende5417
@jimmyluhende5417 2 месяца назад
eastafrica, kuna mtoto kafanyiwa ukatili (gandrape) lini mnawapigia simu wahusika na kujadiliana nao kwa nguvu kama hii hii ?
@JackKanyigo
@JackKanyigo 2 месяца назад
Hawa waandishi ni wa hivyo na nimeanza kuidharau Eastafrica radio hamna watu humu
@ntegrity277
@ntegrity277 2 месяца назад
Pia lindeni ikama ya uandishi na utangazaji
@pitosjuma7224
@pitosjuma7224 2 месяца назад
Nyie waandishi vipi mbona mnatia shaka,
@Farida-jx5nz
@Farida-jx5nz 2 месяца назад
Nyinyi watangazaji wanafiki mnahoji maswali wakt uharisia mnujuwa ....huo ni uchochezi
@maikonyondo-gr7gd
@maikonyondo-gr7gd 2 месяца назад
Hanna waandishi hapo
@AishaShaban-x4m
@AishaShaban-x4m 2 месяца назад
Yaan nyinyi wandishi naona hamuoji ya msingi
@christinenyagiro6662
@christinenyagiro6662 2 месяца назад
Hawa waandishi ni wanauliza maswali haya wauliza maswali ni wachawa.
@mussakilo4916
@mussakilo4916 2 месяца назад
Hahahaaaaa hawa jamaaaa bhana ooo ngojj nipitie
@REUBENIMWAMBUJULE
@REUBENIMWAMBUJULE 2 месяца назад
Est Africa Kuna namna hamko sawa kwenye kuhoji mjitafakali lakini pia ongezeni kusoma
@danielkanso
@danielkanso 2 месяца назад
Waandishi uchwara hawa
@yosephatMasanyiwa-oh1rl
@yosephatMasanyiwa-oh1rl 2 месяца назад
Mmeona Kigaila alivyowakojolesha sasa😂😂😂
@mpendamema3694
@mpendamema3694 2 месяца назад
🤣
@JacksonMartin-pb2vq
@JacksonMartin-pb2vq 2 месяца назад
Hakuelekeza mbona mashirika mengi yameelekeza watolewe ila ccm waliomba tena ni wa mwisho kabisa hapo chadema ila nimeelewa nia ilikuwa nini
@MustaphaSeleman-z7c
@MustaphaSeleman-z7c 2 месяца назад
😂😂😂 uyo kigaira noma 😅😅
@Zenny89
@Zenny89 2 месяца назад
Polisi wa Tanzania ni MACHANGUDOA wa CCM!!! Wakiambiwa Ruka!!! WanaRuka!!!😆
@MaridadiBakari
@MaridadiBakari 2 месяца назад
Kinacho niuma waandishi mmekuwa machawa sana
@JuliusMhina
@JuliusMhina 2 месяца назад
Waandishi hawajui maana ya mustakabali
@FabianPhene
@FabianPhene 2 месяца назад
Nyie watu wa redio, (Vyombo vya habari) acheni ujinga, sometimes mnauliza maswali yakipuuzi, au mnaogopa kukamatwa na nyie? Maana maswali yenu yanaonekana dhahiri yanaegemea upande mmoja, jitathminini acheni ujinga
@AlexMlaba
@AlexMlaba 2 месяца назад
Wana habari msiwe chawa wa ccm hayo maswali mbona hukuwauliza ccm agenda ya mkutano wao
@kaburi920
@kaburi920 2 месяца назад
Mh. Kigaila achana na hiyo radio huo ni mkono wa serikali wanauliza nn wakati kongamano halijafanyika maswali au ufafanuzi ungekuja baada ya kongamano na siyo kabla hivi mtu anakamatwa au anahukumiwa kabla ya kutenda kosa.
@josephmakutano7067
@josephmakutano7067 2 месяца назад
Wanauliza kinafikinafiki ushenzimtupu watz tunashidasana yakwelewa ,wapumbavu niwengi zaidiy😅
@issasabuni7632
@issasabuni7632 2 месяца назад
Maswali gani sasa hayo, kama hamjajipanga cha kuuliza bora mjipange kwanza.
@abdullahmasakata170
@abdullahmasakata170 2 месяца назад
Ulitaka Waulize maswali gani unavyoona wewe
@RwelamiraPascal
@RwelamiraPascal 2 месяца назад
Don't ask questions
@francissimwinga-gb2vd
@francissimwinga-gb2vd 2 месяца назад
Kwani hatima ni mabaya au kiswahili kigumu
@ivanrobert3071
@ivanrobert3071 2 месяца назад
Hutana kbsa Waandishi wa habari hasa huyo dada hafai kbsa kuwa mwandishi sioni hata sifa moja alonayo angalau kwa mbaaali hao Jamaa wawili ila kwa ujumla tu waandishi Bongo hii unaweza bahatisha 2 tu wa maana
@MsAggie5
@MsAggie5 2 месяца назад
Hakuna waandishi Bongo ni wababaishaji tu, wanauliza maswali ya kipuuzi hata wakijibiwa hawataki. Wote machawa WA Mama au wanaogopa CCM na serikali yake
@bukeyyerawadh1725
@bukeyyerawadh1725 2 месяца назад
Radio yenu nyie wala haina ladha
@pablo_066
@pablo_066 2 месяца назад
Ukiwasikiliza hawa watangazaji wa tz ys leo utajua kiasi gani cha ukasuku na uchawa ulivyojaa kwenye jamii yetu
@maggiehiza5884
@maggiehiza5884 2 месяца назад
Hawa watangazaji wanakupotezea muda. Achana na machawa hawa.
@yordanyona1234
@yordanyona1234 2 месяца назад
Na wale waliosema washa kijani wengine Zima ni sawa....walimaanisha Nini? ....
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 2 месяца назад
Hawa watangazaji ni hovyo hawajui hata msamiati wa hatma .au ni vibaraka?kwani kujadili hatma ya nchi ni makosa .?sasa nchi itaendeleaje bila kujadili badae yake
@edwardmwambene2295
@edwardmwambene2295 2 месяца назад
Maswali Mnayoyauliza Kiukweli mhhh!!
@bukeyyerawadh1725
@bukeyyerawadh1725 2 месяца назад
Na hapo wanamsanif na kumpotezea muda wake
@eliah1993
@eliah1993 2 месяца назад
Jembe hilo chadema hakuna mtu kama huyo
@abdullahmasakata170
@abdullahmasakata170 2 месяца назад
Wale wengine ni manini Kama huyo ndio mtu pekee pale? Au mahaba yamekushika ukapaliwa?
@gidongailo7174
@gidongailo7174 2 месяца назад
Ina maana hawa waandishi wanadhani vijana wa Kenya wamefanya makosa?
@pitosjuma7224
@pitosjuma7224 2 месяца назад
Waandishi mnatuangusha,
@daudibukuku6490
@daudibukuku6490 2 месяца назад
Kigaila heshima kwako kwa majibu mazuri!!!!!
@AndreaDaud-k2c
@AndreaDaud-k2c 2 месяца назад
Watangazaji wanajikana wenyewe, Yani wameona wamejipata au ndo kibarua kisiote nyasi
@misanamaige
@misanamaige 2 месяца назад
Hatima gani mnawapotosha vijana. Wahimizeni wajitambue wafanye kazi. Acheni kuwatumia vijana kisiasa. Mnakosea sana. Kuiharibu amani ya nchi ni jambo baya sana.
@salimamri6738
@salimamri6738 2 месяца назад
Hawa wanahabari hawajielewi.Hasa huyu binti.
@MariamDilla
@MariamDilla 2 месяца назад
Nimesikia kiongozi wa ccm ametoa kauli VIONGOZI wa CHADEMA na wananchi waliowekwa ndani waachiwe ! Ccm wanahusikaje ktk hili ni vizuri wakatoa maelezo. TAIFA hili litaangamia kwa kukosa watu wenye HEKIMA.... Haki ya kikatiba haiwezi kuwa ni Mali ya ma-ccm na machawa wao eti eeh! When we lose our Fear they lose their Power... Let's stand and fight for our Right muda unakimbia haraka . KATIBA MPYA ni sasa na TUME HURU YA UCHAGUZI ni sasa.
@daudibukuku6490
@daudibukuku6490 2 месяца назад
Waandishi mbona mnauliza maswali ya kutega Wakat mnajua majibu!!!!????????
@B23-i8p
@B23-i8p 2 месяца назад
Ndo waandishi wetu hawa
@elibarikimbise1896
@elibarikimbise1896 2 месяца назад
Hivyo ndo vichwa vinapaswa kuongoza nchi
@allyshaban406
@allyshaban406 2 месяца назад
Hawa nao ni walewale,
@danielkanso
@danielkanso 2 месяца назад
Mmmh eti busara nchi inaongozwa kwa busara za mchimbi mmhhh za viongozi wa ccm hawa watu waswekwe ndani police wenyewe waliokubali kufanya hivyo wafunguliwe kesi
@AbdallaMwagora-sm1rj
@AbdallaMwagora-sm1rj 2 месяца назад
Tatizo la hawa watangazaji hata katiba hawajasoma wasikupotezee muda kigaila
Далее
iPhone Flip станет ХИТОМ!
00:40
Просмотров 319 тыс.