Yani waandishi hawajui hata kuandamana ni haki na ipo kikatiba wao Wana ng'ang'ania 4R ya mama tu ndo kama vile imeruhusu maandamano so sad for country kama wasomi wenyewe tulio nao ndo kama Hawa,wapo kwenye media kubwa
Walitaka wajadiliane ili kila kijana atowe shida zao ili waweze kutafuta matatizo yao ili waweze kuyajadili. Sasa watajuaje hatima yao wakati hawajadili kwa pamoja waweze kujadili kwa pamoja waweze kutafuta hatima ya viongozi hata hawa waandishi wametumwa pia.
Yaani hawa waandishi wamepewa script, hawataki kuuliza maswali nje ya script. Yaani wanachotaka kijibiwe ndicho wanachokomaa nacho, hawataki kujiongeza. Huu ni upuuzi wa hali ya juu sana. Dr. Nchimbi na Mnyika wana nafasi sawa (Makatibu wa Vyama Vyao). Je Mnyika anaweza kuagiza polisi (dola) wawaachie watuhumiwa?
Na ninyi waandishi jinsi mnvyohoji ni kama mnaonekana mnafanya kana kwamba mnataka kulazimisha kauli ya Hatima ni kama vita, pia kwa mnavyoonekana ni kama mna hofu na mamlaka kumbukeni ninyi mnatakiwa kusimama kwenye sheria si kulemea upande fulani.
Hawa waandishi kwani mstakabali ni kutojua maana ya maneno haya mawili hamyajui? Mbona mnamtaabisha huo mnayemuuluza? Mbona hamfuati huyo mkubwa wa polisi wajibu kwa nini aliwashika hao watukufanywa watumwa katika Inchini kwetu? Kwahiyo sasa Kwahiyo Katibu wa CCM ndiyo aliwagiza kuwafanyia hivyo wana CHADEMA?
Hivi vijitu vya east Africa Nimewagundua Toka John heche na peter msigwa akiwa chadema walifanyiwa mdahalo na east Africa aisee ndipo NILIPOANZA kujua Hawa ni wasenge
Hawa kwa kupata iki kibarua cha utangazaji wanadhani matatizo ya wengine hayawahusu akili zao ni kuwaza tu kujipwndekeza labda ili kuvizia teuzi. So disgusting
Nyie watu wa redio, (Vyombo vya habari) acheni ujinga, sometimes mnauliza maswali yakipuuzi, au mnaogopa kukamatwa na nyie? Maana maswali yenu yanaonekana dhahiri yanaegemea upande mmoja, jitathminini acheni ujinga
Mh. Kigaila achana na hiyo radio huo ni mkono wa serikali wanauliza nn wakati kongamano halijafanyika maswali au ufafanuzi ungekuja baada ya kongamano na siyo kabla hivi mtu anakamatwa au anahukumiwa kabla ya kutenda kosa.
Hutana kbsa Waandishi wa habari hasa huyo dada hafai kbsa kuwa mwandishi sioni hata sifa moja alonayo angalau kwa mbaaali hao Jamaa wawili ila kwa ujumla tu waandishi Bongo hii unaweza bahatisha 2 tu wa maana
Hakuna waandishi Bongo ni wababaishaji tu, wanauliza maswali ya kipuuzi hata wakijibiwa hawataki. Wote machawa WA Mama au wanaogopa CCM na serikali yake
Hawa watangazaji ni hovyo hawajui hata msamiati wa hatma .au ni vibaraka?kwani kujadili hatma ya nchi ni makosa .?sasa nchi itaendeleaje bila kujadili badae yake
Nimesikia kiongozi wa ccm ametoa kauli VIONGOZI wa CHADEMA na wananchi waliowekwa ndani waachiwe ! Ccm wanahusikaje ktk hili ni vizuri wakatoa maelezo. TAIFA hili litaangamia kwa kukosa watu wenye HEKIMA.... Haki ya kikatiba haiwezi kuwa ni Mali ya ma-ccm na machawa wao eti eeh! When we lose our Fear they lose their Power... Let's stand and fight for our Right muda unakimbia haraka . KATIBA MPYA ni sasa na TUME HURU YA UCHAGUZI ni sasa.
Mmmh eti busara nchi inaongozwa kwa busara za mchimbi mmhhh za viongozi wa ccm hawa watu waswekwe ndani police wenyewe waliokubali kufanya hivyo wafunguliwe kesi