Тёмный

Kujikolonisha na Hatari za Wakati Tuliomo 

Gumzo la Ghassani
Подписаться 21 тыс.
Просмотров 369
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 4   
@tumainisangaonline6536
@tumainisangaonline6536 5 месяцев назад
Hakika Prof. Mtembei Hakika tumeendelea kujikolonisha katika nyanja nyingi ingawa lugha hubeba utajiri wote wa jamii. Nimekuwa nikitafakari juu ya ukoloni hata katika kutatua changamoto za Kiafrika kwa kuamini kuwa mataifa ya Kimagharibi yatatusaidia. Jambo ambalo si sahihi kwa mtazamo wangu. Hakika mawazo haya yakibebwa na Nadharia ya Uzuu yanajadiliwa kwa ufasaha kabisa. Afrika tuamke na kuanza kutumia lugha zetu kuwasilisha maarifa mbalimbali hasa lugha yetu tamu nanpendwa ya Kiswahili❤❤❤
@femksenkoro3739
@femksenkoro3739 4 месяца назад
Huu muhadhara ulitakiwa utolewe katika vyuo vikuu vya Afrika ya Mashariki.
@mahamoudhaji9696
@mahamoudhaji9696 5 месяцев назад
Kujikolonisha kwingine ni hiki kinachoitwa scholarship ambazo kwa mtazamo wangu zinalenga kuwachukuwa vijana wetu wenye uwezo mkubwa ambao wanatarajiwa kuwa ndio wasimamizi wa mambo yetu baadae wanachukuliwa vijana hao kwenda kulishwa na kuaminishwa ya huko wanakoenda kiufupi ni wanaenda kutengenezwa kwa mujibu wa mahitaji ya mtengenezaji
@Francisqolito
@Francisqolito 5 месяцев назад
Msomi ni bora kimaarifa kuliko mtu ambaye hajasoma ..lakini wote wako sawa mbele ya hukumu ya Mungu kitabia!
Далее
skibidi toilet 77 (part 4)
05:20
Просмотров 13 млн
бабл ти гель для душа // Eva mash
01:00
Lugha ya Kiafrika kwa Ukombozi wa Muafrika
22:47
Why scholars are against Music - Shaykh Hamza Yusuf
24:02
skibidi toilet 77 (part 4)
05:20
Просмотров 13 млн