Wakristo sielewi shida yao iko wapi? Mtu anadai kuwa yesu ni mungu,sekunde mbili zingine anasema yesu ni mwana wa mungu,yaani wamechanganyikiwa kiasi ambacho hata wanakosa kujielewa kabisa. Wanamtukuza yesu kuliko Mungu aliyemuumba huyo yesu,ajabu sana. Ustadh Mazinge wape aya labda watazinduka in shaa Allah
Hahaha isaya Ni nabii anaongea kauli ya kinabii anaposema amezaliwa sio kwamba Tayari. Mfano ufunuo 21:1 Inasema kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya; kwa maana mbingu za kwanza na nchi ya kwanza zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena. Sasa ukisoma iki kifungu ni kana kwamba haya mambo yamekwisha tokea kumbe bado, Ivyo tusipagawe na maneno ya unabii barikiwa sana Amen.
Mashallah sheikh mazinge! Lakini uli tuondolea utamu kidogo, kulikuwa najamaa ataka kusilimu ukamkatiliza, kwa sababu ya mchungaji, sasa sijui kama alisilimu?!
Wakiristo allah anawaona kama mnajuwa uislam ni dini ya haki mnaubishi tu ila nawakumbushia kwa Allah tutarejea na mashekhe wetu wanajitahidi kuwasaidia namuomba allah atujaliye mwisho ulio mzuri na pia akulainisheni nyoyo zenu
Mbingu na mbinguni ni tofauti ndugu,mungu alikua mbinguni akiyajenga mbingu.kuna mbingu nne ndio ufike mbinguni.ety mwalimu wa mwislamu na haujui kueleza ya yalio direct explaination.
Asante ndugu kwa kujikaza be blessed alot,kama bibilia inasemaje na wao wanajua vema kua yesu ni mwana wa mungu na ni mungu, Colossians 1:15 alikua kumbe Cha kwanza so ni mtoto wake,na ndio maana anaitwa mungu kwa sababu ni mtotowe.lakn hawezi kua mungu mwenyewe,Bali ni mfano wa mungu,na kaa vnye wewe na babako,unatumia jina LA babako.....lakni haimanishi mtoto ni babake.wanakuchanganya lakni uko sawa bro.
Sheikh Yahya DAAWAH 0720900181 , My dear brother Yahya *PLEASE* do remember to watch my very important videos in my *Playlists* and please add English subtitles to your videos. *Jazak'Allahu Khairan*
Asalaam Alykum warahmatullah wabarakatu... Nisaidieni na part 2 of this. Jameni. And please make dua for my mother for Allah to guide her to Islam. Jazakallah
Alhamdulillah nilisilimu kupitia hizi video Allah awabariki sana nitafurahi zaidi mkikaribia kwetu +254 kutoa daawa huenda wazazi wangu wakasilimu na wengine In sha Allah
Kuna continuation ya hii video ya kukuru kakara?! Sheikh Mazinge umemkatizia huyo Charles alitaka kusilimu...hebu tupe mlivyomalizana naye na huyo mzee uliyemuita pia...otherwise great job mashaallah tabarak Allah
Endeleeni kunidanganya enyi kizazi cha farao sababu kuu kwangu moja ya kuikana usilamu ni dini ya farao ya wamisiro ambao walipigwa na Mungu kwa mapogo wadanganyeni wasio jua bibilia someni mstari mmoja na kukariri mdanganye watu wakristo tunajiamini tunadini ya ya Wana wa esilaely walio mshinda Miungu ya farao endeleeni kuyafuga mapepo wa wazuri
Enzi za farao ni umma wa Musa na Isa mnaemuita yesualikua na umma wake wa kiyahudi na umma uliosasa ni wa Muhammad mkubali mkatae maana Enzi ya Musa kina farao walimpinga, Issa (yesu ) pia kunao waliompinga na sasahivi ni umma wa Muhammad pia kunao wapingao kama nyinyi Sasa mnaojitia kwa yesu hivi nyinyi wayahudi ama hamjielewi siwashangai hamjijui mko kundi lipi, pole lakini kila mtume alikua na kizazi chake jisahau tu na nyinyi c wayahudi
Ingekuwa mm hiyo mikafiri ningeipiga mibao mn mikaidi sn Ela nyie munowafundisha muna moyo AllaH awalipe kheri ingekuwa mm na presha zangu zamanii nishamkunja km haelewi na kaahaondoka
Wakati utafika mazinge na wenzio mtapiga magoti mbele zake Yesu kristo Mungu aliye hai na kujutia haya natamani kama ningekuwepo hapo nikunyooshe mazinge na Hao unao waaminisha hapo ya kufkilika
Jielewe wewe.... mnakubali mitume yote kuwa walipewa utume isipokuwa Mtume Muhammad kisa tu alikuwa muarabu ...angekuwa mzungu mnge mkataa? Rudini kundini nyie.... mara baba roho mwana...hamuwezi kumpa cheo cha Mungu yesu wakati yeye alikuwa nabii tu.... kwahiyo Mungu alizaliwa?? Someni msipelekwe pelekwe tu
Mwenyezi mungu hana mfano wake,Hazai, haoi na haiwezekani akamuumba nabii Issa ambaye nyie mliyopotaka mnamuhita Yesu alafu yeye mwenyezi mungu aingie kwenye nafusi ya Issa heti yesu ni mungu,Yesu alitumwa na mungu,yesu kaumbwa na mungu na Yesu sio mungu na dini ya kweli ni Uislamu tu na ni 1tu.
Official Kamdudu niya yohan na ht hivo nyie mnakataa wingi wa mungu lakn qolohan yen inasema mfano kipindi Muhammad anapewa utume hakupewa na mungu moja maana quoran inasema tulimpa sio nilimpa so mna miungu mingi sio mungu mmoja
Shukran Oberd acha porojo Allaah anatumia katika Qur’ani kwa njia ya wingi inatumika katika lugha nyingi na katika Kiarabu ni Jam‘u Lita‘dhiim (Majestic or Royal Plural au wingi wa ukubwa na utukufu au wingi wa kifalme). Oxford Advanced Learner’s Dictionary inafasiri We (Sisi) kwa kusema: “Formal used instead of I by a king, queen or pope or by the writer of an editorial article in a newspaper, etc. The ROYAL WE (Inatumika rasmi badala ya Mimi na mfalme, malkia, papa au na mwandishi wa tahariri katika makala ya gazeti na kadhalika. Hii ni Sisi ya kifalme” (uk. 1443). Na Allaah ni Mkuu zaidi na Mtukufu na kwake ipo mifano ya juu zaidi na ni aula katika kutumia utukufu wake katika hilo, hivyo ‘TUME’ au ‘SISI’ inapotumika katika Qur’an inaonyesha Utukufu wake akiwa Yeye ni Yeye tu wala hana mwendani.
Official Kamdudu kwanini atumie wingi wakati ni nafsi moja km sio dini ya kihun et mpaka mnadanganya watu et waloasi sabato walikua manyani yaan ni utoto kabisa mbona mpaka sasa wanaasi na hawawi mnyani
mungu kazaliwa😁😁duuu mungu sijui huko tumboni aliwekwa na nani na kabla yakuzaliwa sasa mama ake yesu alikuw anaabudu nini😁😁kweli hamuwezi kuelewa milele na milele
Hahaaa’ wanashindwa kina Papa Paulo wanaoandika biblia kila mwaka’ utaweza ww ndugu...! Ukisoma maandiko utaelewa kwamba hujitambui ...!..unakwenda Kwa kukaririshwa na wachungaji..!
yesu kaumba nini kama ni mungu na huyo yesu anatahiriwi dahh msibishe ila mshukiru waislam wanavyotoa miadhara inawasaidia nyie msio jua hadhi ya mungu ivi yesu kweli awe mungu alaf mlivyokuwa maboya na nyumba zenu mmejaza picha za yule alieigiza picha la yesu na kumpigia magoti😁😁
yani kiukweli kwa mtu mwenye akili timamu akisikiliza haya kwa makini basi wakristo kweli mnapotea ivi mbona hamuelewi kila siku yesu mingu ewe mkristo kaa utafakari
Sio tu Bible hata qur'una YESU aliumba AL - Imran 2 :49 Na ni mutume kwa wana wa lsreal kuwaambia mimi nimekujieni na lshara kutoka kwa Mola mlezi wenu ya kwamba na kuundieni kwa udongo kama ndege sura ya ndege Kisha nampuliza anakuwa ndege kwa idhini ya mwenyezi MUNGU.
Gervas Kombo kile mnapenda ni uongo, na ubabe, utapeli plus mazingambwe kanisani ati N miujiza na hamjui ni ushirikina hamuoni? hio si ujinga? vipi wewe!
@@ramadhanwilbard4685 taurat, zabur, injil na Qurqn zote ni vitabu amba yo Mungu alipea manabii wake ila vote vina shaka ila Quran tu ndio Safi maana haibadilishiki abadan