Тёмный
No video :(

UST. HABIB OTHMAN MAZINGE | MZEE YUSUF NAKUDAI 

Fahari yangu
Подписаться 1,8 тыс.
Просмотров 72 тыс.
50% 1

#mazinge #mzeeyusuph #deni #islam
Ust. habib othman mazinge amlipua mzee yusuf kuhusu deni lake utalilipa tu
Don't forget to SUBSCRIBE | COMMENT | LIKE | SHARE

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 42   
@adamonvitapitanvitapita4891
@adamonvitapitanvitapita4891 3 года назад
Usthaz wangu ninaomba mola Mungu aliye nhayuwa mbuingu saba, akuzidichie rehema.insha Allah
@AhmadHanbal-tr4gi
@AhmadHanbal-tr4gi 3 месяца назад
Mancha'allah sheik wetu Habib llah Allah akupe kila lakheri
@khamismohd8616
@khamismohd8616 3 года назад
Hata mm nampenda sheikh mazinge Kwaajili ya Allah
@nooraallahuakibarumwenyeez3079
@nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 года назад
Jamani mm nacheka huyu shekhe nampenda san anajiamini haogopi mazinge ndiyo ndiyo tiba ya makafiri wanasilimu san Allah amhifadhi na akawe na mtume jannatu fridauthi
@mwanaikaomar8628
@mwanaikaomar8628 2 года назад
Aamin yaa Rabby.na ss pamoja
@frediricknandonde1690
@frediricknandonde1690 3 года назад
Mazinge nampenda sana aisee 🙏🙏
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 3 года назад
Dunia inamhadaa Mzee yussuf. Kutaka maisha mazuri ndio maana anahangaika tu mara sheikh, mara taarab. Mtihani wallah
@hamisimfaumenamwewe193
@hamisimfaumenamwewe193 3 года назад
Watu wa Bidaa hawana lolote. Huyu mzee comedy sana.
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 3 года назад
@@hamisimfaumenamwewe193 Bidaa yake lakini iliwaingiza wengi kwenye dini ya uislamu. Ww umeufanyia nini uislamu badala ya kusema tu " bidaa" bidaa
@hamisimfaumenamwewe193
@hamisimfaumenamwewe193 3 года назад
@Yphware HCo Zaidi ya 10. hao wakina mazinge ze comedi Tawheed hawana. Ndo mana wana sifa za kijinga sama
@hamisimfaumenamwewe193
@hamisimfaumenamwewe193 3 года назад
@Yphware HCo Masalafi utawafananisha nao hao mashoga wanyoa ndevu na kuburuza suruali.
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 3 года назад
Allah akupe umri mrefu IN shllh
@johombu9302
@johombu9302 3 года назад
mwenzi mungu akupe maisha marefu sheikh weyu
@mohdabdallah0127
@mohdabdallah0127 3 года назад
amina sote kwa pamoja.
@yahyamaulana7791
@yahyamaulana7791 2 года назад
Mazinge fanya kazi ya mungu acha kujisifia mbele ya hadhra. Na kama ulivyo fanya kazi ya mungu ukiondoka mungu ataleta wengene wafanye kazi. Uislamu hautegemei mtu maalumu
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 3 года назад
Lazima Sheikh Mazinge uwe na hasira na mzee yusuf, alituhadaa
@issmuking3987
@issmuking3987 3 года назад
Allah mpe kila la kheir mazinge na wahadhir woote wanaoutangaza uislamu Allah wape nguvu na mapenz ya kumpenda Allah
@jumamitamba6029
@jumamitamba6029 3 года назад
Mwezi mungu akupemaishamalefu malim
@jumakalukule5312
@jumakalukule5312 3 года назад
Hahaha mzee yusufu kweliibiris
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 3 года назад
Njaa tu inamtafuna mzee yussuf, dunia tu
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 2 года назад
Wallahi tena
@magichand7482
@magichand7482 2 года назад
Mashallah
@MohamedTuga-dn9su
@MohamedTuga-dn9su Год назад
Mashaalhah
@agiasaidi5294
@agiasaidi5294 3 года назад
MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH
@muhammadmuhaznun380
@muhammadmuhaznun380 2 года назад
Mazinge unanifurahishaga Sana....😂😂😂😂😂😂
@xinyingmiao4996
@xinyingmiao4996 3 года назад
we mzee kwnn unawabagua wengine unawaita makafiri hii cyo unakosea
@user-bt1nc1pd7x
@user-bt1nc1pd7x 5 месяцев назад
Kama kafir acha aitwe kafir na kafir ni mtu asiye na dini na dini ni moja2 ambayo ni uislam sawaaa ww
@AhmadHanbal-tr4gi
@AhmadHanbal-tr4gi 3 месяца назад
Bliblia ndo inawaita makafiri
@amossamwel2266
@amossamwel2266 3 года назад
Tatizo la shekhe mazinge mtu akipotea kwenye dini au akiasi badala ya kumuombea arudi kundini lakini kwann yy anawahukumu maana kagoma hata kumuombea dua, pia anagalia kwa afande sele alaivyotoa hukumu kiukweli dini haitakiwi kuwa hivyo mtu akipotea inabidi aombewe arudi kwenye mstari ulionyooka ss huyu mazinge ana hukumu sio vizuri hivyo
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 2 года назад
Acha kutetea ujinga. Yy aliitangazia dunia anarudi kwa M'mungu. Napia aliwafata kina mazinge was hanging lzm waseme hivyo masheikh.
@gaudenciavedastus4997
@gaudenciavedastus4997 2 года назад
Kipozo
@remigimtenga7608
@remigimtenga7608 2 года назад
Mzee acha kudanganya watu. Mwamini Yesu Kristo la sivyo utapotea.
@zainabuferrous3482
@zainabuferrous3482 2 года назад
Munapotea nyinyi
@aziz_khulu
@aziz_khulu Год назад
We dini huna kafiri mkubwa
@remigimtenga7608
@remigimtenga7608 Год назад
@@aziz_khulu unajua maana ya kafir?
@user-bt1nc1pd7x
@user-bt1nc1pd7x 5 месяцев назад
Weee kafir embu kua na adabu
@AhmadHanbal-tr4gi
@AhmadHanbal-tr4gi 3 месяца назад
Ibilisi mkubwa wewe dini huna kafiri achat mpate mafunzo pumbavu
@peteryukunda9239
@peteryukunda9239 3 года назад
Mzee Yusuf piga kazi,ucsubiri sadaka,wote wakisema 2cimbe,ndani aimbe ss? Hao vyangu madoa huwaoni?shoga huwaoni? Yusuf ndo mmeuona? Mpirani wakitoa hela zakuuma,wazitaka,? Ulifika kwa Allah ndo kakuambia wakristo wataenda Motoni? Ungeimba taarabu ungepata mamillio.
@mohamedhaji2200
@mohamedhaji2200 2 года назад
Kakojoe ukalale
@user-bt1nc1pd7x
@user-bt1nc1pd7x 5 месяцев назад
Wee umelaaniwa
@kauthali2151
@kauthali2151 2 года назад
Mashallah
@zainbalharthy4228
@zainbalharthy4228 2 года назад
Ustazi naomba nitumie namba zako
Далее
what will you choose? #tiktok
00:14
Просмотров 1,5 млн
🛑самое грустное видео
00:10
Просмотров 85 тыс.
OTHMAN HABIB MAZINGE...DEBATE YA BAMBURI MWISHO DAY 1
1:25:46