😭😭😭😭😭😭 yani nmeona marehemu wawili daaa nlkuwa nawakubali sana hwa watu mpaka nlpata yakuwapa watoto mapacha jina la eflaim na mwingine nlmwita Gadna 😭😭😭
Ukitazama vyanzo vya vifo vya Gadner Habash na Kibonde sababu kubwa ni sumu mwilini iliyosambaa kuanzia kwenye kogosho, figo, Ini ambavyo vikifeli moyo unatanuka na mapafu kujaa maji na sababu kuu ya Ulevi uliopitiliza. Mungu aturehemu na Vijana tujifunze
Daaaa😢 walivyokumbatiana na marehemu Kibonde, 😢 hata mbinguni kampokea hivyo hivyo😢😢😢 so sad kifo ni fumbo tujifunze kutenda mema hakuna ajuaye kesho yake😢😢😢😢😢
Unrated bond between captain and kibonde Mungu azidi kuwapumzisha kwa amani. Kwani Legacy walioiacha ni kubwa sana but George bantu itabidi atafutiwe psychologist.
Poleni sana wafiwa, hapo ndio marehemu kaumaliza mwendo na kitakachomsaidia huko mbeleni akiwa peke yake ni matendo yake hapa duniani…. Kwa hiyo tujifunze tunaishi vipi maisha yetu … huku duniani kama uliacha mtoto wako wa kike au mke wako nunaweza kukuta wale marafiki wa Karibu au ndugu ndio wanaanza kumtongoza na kutaka kulala naye heshima yote inatoweka, na kama ulicha Mali zako matatizo yanazuka ya kugombea Mali , na kama ulijenga nyumba utawasaidia watoto wako ila kama ulikuwa mtu wa kupanga na kutanua kwa nyumba za watu fedheha inaanza za watoto wako ! Tuko duniani kama tuko safarini na dunia sio makazi yetu ya kudumu tusijisahau !
Kwa kweli huu mtandao wa youtube bora hata ufungiwe tu kwa kuwa habari zake nyingi ni za utata na za kutengenezwa ambazo hazina ukweli! Na ukijaribu kutoa taarifa kwa wengine kuwa umeona kwa youtube media basi utajikuta unaadhirika tu maana always inakuwa ni taarifa isiyo na ukweli
WALE MNAOSEMA NI POMBE SIJUI SUMU KALI SIJUI UKIMWI,,,TUNAWAAMBIA,,,WE BAKI SALAMA TU ATA MIAKA 200 ATA USIUMWE,,ILA UTAONDOKA TU ATA UKIWA KWAKO UMELALA