"Anasema atadhibiti vikundi vya kihuni yule bwana, usidhibiti ubaya ubaya tu, dhibiti na makundi ya kiharamia, uliyoyaweka kule Mashimo ya Mchanga Kiombamvua, ukadhibiti na kambi nyengine iliyoko Meli 10 na kambi zote haramu ukaanze kushughulikia hizo halafu ushughulikie nyengine"
Salim Bimani-Kaimu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar wa chama cha ACT Wazalendo
12 сен 2024