Dr mwinyi safi allah akubarik lkn tupo na sisi tunasoma lakini hali za familia zetu sio mazuri tunaomba upitishe mkono wako uweze kutufariji na sisi tusonge mbele kielimu zaidi kuokowa jahazi
Sikilizeni huumungano zanziba hatuutaki mnatulazimisha nyinyi watanganyika namnajua kwamba wazanzibari hawautaki mungano kwanza huu simungano bali ukoloni munganokwetu haunafaida na uvunjike
Naitwa dully chondoma viongozi wa upinzani munaongea blaa blaa tu hata wew makamu wa pili engekuwa bado upo ccm wengekuw rais usenge fanya chochote ushauri wangu haki haipatikani kw makaratasi haki inapatikana kwa upanga Nahisi haina mana ya kumtukana mwinyi wa kumzalilisha raisi mwinyi man kama ni zulma ipo toka uchaguzi wa 95 je mwinyi alikuwa raisi haivi una acha mke akiolewa unaumia je madaraka ushauri wangu munaweza ingieni barabarani kam nabii mohammad s. A. W alin'goka meno kw ajili ya haki
Sisi wenyewe tunajitambua ila mabavu tu ndio yanayo tunyonya washenzi wasio juwa kwao sisi hapa ndio kwetu lazima tupiganie mpaka mwisho wa jasho letu wahamiaji wajuzi tu ndo wanatuletea tabu na kututia umaskini kwenye visiwa vyetu
Samahani hongereni sana wabunge wa Zanzibar kwa uwazi na ukweli Bungeni waheshimiwa wabunge kumsifu Mhe Rais Mwinyi Shemeji yangu pia ni thawabu na kumtendea mema kulingana na uwingi wa mambo aliyotufanyia. Ila niwaombe kutuombea mm Abdilahi Huseni Mriri wa Moshi nna fungate la Ndoa yetu tukufu yaTanzania Bara na Visiwani salama salimini na Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani natanguliza shukurani zangu za dhati kwa wote wenye mapenzi mema na sisi waheshimiwa wabunge na Bunge kwa ujumla wenu.