Makampuni ya mikopo ni wizi uliohalalishwa. Hawa watu wanakopesha watu kwa riba ya asilimia thelathini kwa mwezi. Hii maana yake mteja atalipa mara 3.6 ya thaamani ya mkopo ikiwa mteja atakaa na mkopo kwa mwaka mmoja. Huu ni wizi, yafaa ukomeshwe mara moja. Unawaongezea matatizo zaidi badala ya kuwasaidia. Ikiwa riba hii indekuwa kwa mwaka ingekuwa inavumilika. Riba ya asilimia 30 kwa mwezi ni wizi, unyang'anyi, dhuluma na ulafi unaotimiza malengo yake kutumia shida za watu wengine.
sad kea mesh last polis happy wamezoea .kuwadhalilisha wateja. hakuna asietaka kulipa mkopo ila mtu hua hana .sasa hao wanawapga .wanawachukulia vitu naic oya ni kampuni dhaif naomba ifutiwe kibali
Hii fani ya uandishi wa habari wewe haupo kabisa kaka habari yako hata haijakaa sawa kabisa uwe una copy za wengine kama hujui kuandaa we ya kwako maana umemaliza bando langu tyu!