Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Israel Paulo (36) mkazi wa Leguruki wilaya ya Arumeru mkoani Arusha, amefariki dunia baada ya kupondwa korodani na uume wake kwa madai ya kushindwa kuleta fedha kiasi cha shilingi 15,000 za kuku aliyoagizwa akauze na rafiki yake wilayani humo.
Christina Paulo ambaye ni kaka wa marehemu akizungumza na GADI TV akiwa wilayani humo, amesema kabla ya ndugu yake hajafariki dunia alimuonyesha sehemu hizo zikiwa zimevimba mithili isiyotazamika.
Aidha, Mama mzazi wa Marehemu aitwae Foibe Paulo, amesema mbali na mwanae kupondwa sehemu hizo alilawitiwa pamoja na kuingiziwa vijiti sehemu ya haja kubwa.
Hata hivyo Foibe akizungumzia tukio hilo ameanza kueleza namna mmoja wa mtuhumiwa alivyofika nyumbani siku hiyo na kumchukua kijana wake na kwenda kumfanyia kitendo hicho
GADI TV ndiyo
Channel pekee inayokuwezesha kupata Habari za Kisiasa,Michezo, Kijamii, na Burudani kutoka Ndani na Nje ya Tanzania. Kwa huduma ya Matangazo au Habari pamoja na maoni na ushauri usisite kuwasiliana nasi kupitia namba za simu +255 769 780 063 au e-mail: gaditvhabari@gmail.com #breakingnews #lifestyle #trending #live #livestream #trendingshorts
Don't forget to SUBSCRIBE, LIKE, COMMENT and SHARE!!! # GADI TV
Thanks.
11 окт 2024