Тёмный

Kuota ndoto ya nguo || Wewe ni tajiri mkubwa na unamali nyingi tatizo hujitambui || Shekhe Khamisi 

Nyumba ya Tiba na Dua
Подписаться 14 тыс.
Просмотров 4,9 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

8 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 22   
@RashidKidungwe
@RashidKidungwe Месяц назад
Ustadhi khamisi suleimani nimeota ndoto nimenunuwa pikipiki mpya nirudinayo nyumbani
@RashidiMgaza
@RashidiMgaza 28 дней назад
Shekhe nimeota nimeokota nguo nyingi
@MuasitiAboBakri-ew5mu
@MuasitiAboBakri-ew5mu 2 месяца назад
Mim nimeota mwanaume kavaa kanzu nyeupe ila sikuweza kumfahamu vizuri sura yake, je inamaana ganil shekhe
@Dirawandesiymran
@Dirawandesiymran 22 дня назад
Sheikh nmeota nmepewa chupi na mwanamke ambaye anataka nmuoe na tayari niko na mke sasa nmeiweka mahali sitaki mke wangu aione hii ndoto inamaana gani mana huyo mwanamke aliyenipea chupi yake nlimbeba na gari huku tunaongea akidai nmuoe
@zamzamMaulidi-q8s
@zamzamMaulidi-q8s 2 месяца назад
Nimeota nguo nafuwa nyingi sana hadi za watoto wachanga na rundo la nguo nzuri sana ila sijui zinakabila gani nafuwa na anika kambani
@shemmaster7swaleyuun228
@shemmaster7swaleyuun228 3 месяца назад
Shukran shekh
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 3 месяца назад
Ahsante sana.
@ZoroSharifu
@ZoroSharifu 2 месяца назад
Naamu shikh nime Ota nipo sokoni na itaji kununuwa kazu nye upe nani ka iona nika ishika
@ZoroSharifu
@ZoroSharifu 2 месяца назад
Na nye usi kazu ya kislamu nika zipenda zote
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 2 месяца назад
Ahsante sana
@MariaAgustinou
@MariaAgustinou 6 дней назад
Shee vazi jeusi mbona aujasema maana yake
@lailatali8699
@lailatali8699 23 дня назад
Ukiota unataka kuanika nguo na kamba zimejaa zimo kwenye beseni
@MariaAgustinou
@MariaAgustinou 6 дней назад
Kuumbee
@JudithWanyonyi-cp6mq
@JudithWanyonyi-cp6mq 2 месяца назад
Niliota nimevaa nguo rangi ya jungwa mpya inamaana gani
@centrineatieno9614
@centrineatieno9614 2 месяца назад
Nimeota nguo yangu imepotea na leo ni mara yapili ina maana gani
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 2 месяца назад
Hiyo inajulisha kurogwa
@ramadhaninyangasa7275
@ramadhaninyangasa7275 2 месяца назад
Nimeota nakula bamia,, maana yake nini? Shekh
@Annalisejg2ur
@Annalisejg2ur 2 месяца назад
​@nyumbayatibanadua737 kuota umevaa nguo ya kijani na weupe kidogo mpya , ambayo ni ya mama yako umeivaa, umefurahi na mama yako anakusifia umependeza ukamjibu asante. Nini maana yake sheikh
@ashurasaid8409
@ashurasaid8409 2 месяца назад
Kama tishet nyeupe ni nn ni koton ni Sufi,ni ya nywele au ni nn
@nyumbayatibanadua737
@nyumbayatibanadua737 2 месяца назад
Wewe ndie unatakiwa unambie nguo yako ni yanini
@Annalisejg2ur
@Annalisejg2ur 2 месяца назад
​@@nyumbayatibanadua737ndoto ya nguo ya kijani na mchanganyiko na weupe na ni ya mama yako na umeivaa umefurahi Sana na ni mpya ni nini maana yake
@Annalisejg2ur
@Annalisejg2ur 2 месяца назад
​@@nyumbayatibanadua737ndoto ya kunywa maji ya chupa nini maana yake. Umebeba ili ukanywe
Далее