Тёмный

Kurasini SDA Choir - Kwenye Njia Kuu 

Kurasini SDA Choir
Подписаться 72 тыс.
Просмотров 537 тыс.
0% 0

Kwenye Njia kuu ya kalvari Yesu aliubeba msalaba, alikufa kwa ajili yetu na siku ya kwanza alifufuka, Habari njema ni kwamba neema ni bure kwetu sote..

Опубликовано:

 

21 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 270   
@elviceomondi3191
@elviceomondi3191 4 года назад
Ni huzuni kutazama Kanda hii alipo Mwalimu kibaso lakini ni imani na matumaini kwamba tutakutana Paradiso, sote pasipo na huzuni wala kifo, milele na hata milele....
@celicadet1785
@celicadet1785 3 года назад
Amen amen amen amen amen amen
@mokiridaniel6795
@mokiridaniel6795 4 года назад
Siku zote mtabaki kuwa choir bora kwangu na wakristo wote wanaopenda kusikiliza ujumbe na si makelele na midundo🙏
@kurasinisdachoir
@kurasinisdachoir 4 года назад
Barikiwa!
@mosesmatara
@mosesmatara 4 года назад
@@kurasinisdachoir keep on spreading the message to the world
@stanleymathu1635
@stanleymathu1635 4 года назад
Exactly
@ericnehemiah9872
@ericnehemiah9872 4 года назад
I love this song! I listen to it more than 5 times a day.Habari njema ni kwamba neema ni bure kwetu sote..... we kenyans loves you
@stanleymathu1635
@stanleymathu1635 4 года назад
Likewise
@anetivicent6176
@anetivicent6176 4 года назад
Nawaombea Mungu ainue Roho ya Kibaso maradufu,,,,songeni mbele waungwana wa Baba!!!
@mrsdeborahurio
@mrsdeborahurio 4 года назад
Mungu wetu mwema, Mungu wa miujiza tenda kwa Mtumishi wako Kibaso..... MGUSE BWANA APONE!
@rachellaizer941
@rachellaizer941 4 года назад
Wasabato mpo juu sana kiuimbaji
@williamfreikins4325
@williamfreikins4325 3 года назад
Mwalimu kebaso mpaka Yesu arudi
@charleskaro777
@charleskaro777 Год назад
Around 20 Years listening your songs from Burundi. God bless you so much. You dress code is "evangelism by itself" , you sing to teach not to entertain or just make money. I love You so much!
@bathshebahkakila2934
@bathshebahkakila2934 4 года назад
Nahisi hii ni moja ya kwaya chache zilizobaki bila kuiga mitindo ya kidunia ..proud Adventist choir😍 be blessed
@Bmstar-pz4qt
@Bmstar-pz4qt 4 года назад
Vp ww umebaki kama zamani au ndo tunatoa sifa kwako hku Sisi tukiwa tumeshapoteana🤔🤔🤔
@emmanuelgwaay4773
@emmanuelgwaay4773 4 года назад
Mimi wa 16 ku-comment! Barikiweni wana na binti za Mungu, muwe na sabato njema!
@lucasmanyama4207
@lucasmanyama4207 4 года назад
Oh! God rest in peace brother Kibaso
@samoramakiri1136
@samoramakiri1136 3 года назад
Ujumbe ulioko kwenye wimbo huu ni nzito sana. Ni ombi langu, mioyo yetu imkubali Yesu Kristo kwa maana alitupenda sana.
@joycemashikolo9096
@joycemashikolo9096 4 года назад
poleni kanisa la kurasini kwa msiba huu mkubwa.wa Mwl kibaso!!!tutaonana ile Asubuhi njema
@danielndarera8087
@danielndarera8087 4 года назад
Wimbo huu ulinitia kwenye mizani nikitafakari juu ya ujio wa Mungu. Mimi ni mavumbi tu.
@Shukuru_
@Shukuru_ Год назад
My favourite song of All time hasa kuhusu upendo wa Yesu kwetu, mubarikiwe sana. Injili isonge mbele kwa Nguvu za Yesu
@fabianjoel8773
@fabianjoel8773 4 года назад
Huwa nawafuatilia Kwa karibu sana.hakika mnatisha
@phidelismwamburi7657
@phidelismwamburi7657 4 года назад
Wimbo huu unagusa moyo,nimejaribu kuzuia MACHOZI lakini nikashindwa.Mungu awabariki kwa ujumbe huu.
@phinawatwego7260
@phinawatwego7260 3 года назад
Bwana Mungu awabariki sana, awape ushujaa zaidi. Nawapenda sana.
@denismugisha2
@denismugisha2 3 года назад
Injili imehubiriwa ktk huu wimbo
@user-jg1wl4ot4l
@user-jg1wl4ot4l 9 месяцев назад
Mungu azidi kuwainua nawapenda sanaaaa
@harrunochieng6355
@harrunochieng6355 3 года назад
WanaKurasini kwaya wote Mungu wetu awasaidie. Asanteni kwa nyimbo tamu. Nipo Kwenye Njia asubuhi huu.
@kemoi4762
@kemoi4762 3 года назад
So many Choirs have come and gone but Kurasini is still going strong. And have never lost course like the others.
@marshaladawo966
@marshaladawo966 Год назад
Amen 🙏
@lilianjulius719
@lilianjulius719 4 года назад
Mbarikiwe sana waanjilishaji kwa njia ya uimbaji....Mungu azidi kuwapa neema na mibaraka tele kupitia nyimbo zenu zinatukumbusha ukuu wa kristo pale msalabani..
@kurasinisdachoir
@kurasinisdachoir 4 года назад
Barikiwa mpendwa!
@daudnkune4801
@daudnkune4801 4 года назад
Wimbo mzuri Sana Mungu aendelee kuwatia Nguvu muendelee kutuimbia nyimbo nzuri.
@charlesakomba5949
@charlesakomba5949 3 года назад
mbarikiwe wana wa na binti za Mungu
@ruthjohns6593
@ruthjohns6593 4 года назад
I love this piece of music Naiskiza Mara kwa Mara Pumzika kwa Amani Mwalim kibaso
@victoriamotieri7780
@victoriamotieri7780 2 месяца назад
Really good song I love it ❤❤❤
@phinawatwego7260
@phinawatwego7260 3 года назад
Aminaaaaaaa
@nancyodera8178
@nancyodera8178 4 года назад
huu wimbo umenigusa moyo kabisa, kila siku najipata nikiisikiliza na machozi yakinidondoka
@abneReborn
@abneReborn 4 года назад
I grew up knowing Kurasini. My dream was that I would meet you all singing Najivunia Yesu while the great humble Kibaso leading. Unfortunately, his time came so early.... Love Kurasini, never stop your singing spirits and the discipline in it. God bless you all. May we meet in paradiso...
@jackjacob9264
@jackjacob9264 Год назад
Sauti tamu, hongereni wana kurasini
@realtechmedia2495
@realtechmedia2495 2 года назад
nahitaji wimbo usemao ninaye rafiki wa dhamani anipendaye tena mlinzi mwema
@africayetutv329
@africayetutv329 4 года назад
Kurasini kiukweli mnatisha kwanza mnazingatia maadili hakuna mtu aliyesuka wote mko smart Mungu awabariki sana
@magdalenakajeri9896
@magdalenakajeri9896 4 года назад
kuimba katika roho na kweli kunapelea nafsi kuinuliwa na kukutana na uwepo wa Mungu...
@pharesooko1452
@pharesooko1452 4 года назад
Be blessed , a choir abiding with SDA ethics , messages and dedication in God's service.
@irinenyankira6932
@irinenyankira6932 4 года назад
N
@samkengere7242
@samkengere7242 3 года назад
5
@reaganonjula3290
@reaganonjula3290 4 года назад
Yesu kabeba msalaba
@jesmatchannel6369
@jesmatchannel6369 2 года назад
Ooh my God,sda sings well
@agnesskatawa8467
@agnesskatawa8467 Год назад
Amen and powerful message
@astonishmbwambo185
@astonishmbwambo185 4 года назад
Mbarikiwe Sana kurasini sda choir. Mungu azid kuwainua kwa ajili ya utukufu wa jina lake
@kurasinisdachoir
@kurasinisdachoir 4 года назад
Amina..
@amosichibunu8974
@amosichibunu8974 4 года назад
Amani ya Bwana,ikamuangazie nuru ya MILELE,,Amina
@langatweldon2569
@langatweldon2569 2 года назад
May God bless you kurasini
@maryannsero
@maryannsero 4 года назад
May the soul of mwalimu rest as he awaits for that day when we shall not know death again
@georgenyangi809
@georgenyangi809 4 года назад
Tunapo tafakari njia kuu ya kalvary tuchukue muda kidogo tumuombee sir Kibaso
@kurasinisdachoir
@kurasinisdachoir 4 года назад
Barikiwa..
@davidlukumay2226
@davidlukumay2226 4 года назад
Nimeumia Sana😭
@rebeccacostantine9961
@rebeccacostantine9961 4 года назад
Huu wimbo km vile ulikuwa unamuaga mwalimu samsoni kibaso , tuonane asbh njema mwalimu kibaso
@SingoEzekiel-nq7zv
@SingoEzekiel-nq7zv Год назад
Your the best kwaya in my christian life.God bless you Kurasini SDA
@abrahamyego4190
@abrahamyego4190 2 года назад
I can't stop playing this song,,reminds me how Christ delivered us
@K_Emmanuel
@K_Emmanuel 4 года назад
Habari njema ni kwamba neema ni bure kwetu sote
@prmorarawilfredwatchyesain99
@prmorarawilfredwatchyesain99 9 дней назад
Blessed indeed
@alexsaimon4263
@alexsaimon4263 3 года назад
wimbo unachoma moyo sana.
@orengenyabuto4457
@orengenyabuto4457 4 года назад
Mungu azidi kuwabariki kwa kazi nzuri mnayozidi kuifanya
@kurasinisdachoir
@kurasinisdachoir 4 года назад
Amina
@tonykamwaro1924
@tonykamwaro1924 4 года назад
Deep music, thank you Jesus for dying to SAVE me.
@luciajeremia6523
@luciajeremia6523 4 года назад
Akumbukwe Sana Mwl KIBASO 😭😭😭😭😭
@ayoubmaulid5445
@ayoubmaulid5445 10 месяцев назад
Mungu wa mbinguni awajalie afya njema ndg zang tuzid kumwinua Bwana
@shukraninathan4946
@shukraninathan4946 4 года назад
Wow! Kurasani choir nawapenda saana. Huu wimbo umenigusa saanaaaa mbarikiwe saaana
@kurasinisdachoir
@kurasinisdachoir 4 года назад
Amina
@michirapaul9758
@michirapaul9758 4 года назад
Kurasini my best choir.. Today a sad day to have lost mwalimu Kebaso. It should be known that we will miss you brother. Meet you in the morning.
@philipleonard6941
@philipleonard6941 4 года назад
RIP mwalimu Kebasu... Heavenly bliss we shall meet.....
@amanichoirnyangotosdachurc5071
@amanichoirnyangotosdachurc5071 4 года назад
Amina, Mungu awabariki Poleni pia kwa kuondokewa na Mwl Kibaso Mungu aendelee kuwa faraja ya pekee kwenu na kwa Familia yake na Familia ya music wa injili
@nyachirangimlengwa
@nyachirangimlengwa 4 года назад
Nilikua nausubiri huu wimbo...mbarikiwe Kurasini
@kurasinisdachoir
@kurasinisdachoir 4 года назад
Barikiwa..
@twendythomas7072
@twendythomas7072 4 года назад
Pumzika kwa Amani Samson. Ulimtumikia Mungu nenda salama!
@mayejikubini1703
@mayejikubini1703 3 года назад
Mungu awabariki sana wapendwa
@alexnabibia4423
@alexnabibia4423 4 года назад
Listening to latest compositions for Kibaso..all points to his readiness to meet his creator.. Fare thee well mtumishi You fought a good fight and finished the race
@evansachieng2686
@evansachieng2686 4 года назад
My heart aches....Death stings! Thanks to Jesus who has conquered death for us. May God uphold Kurasini choir
@shaniachanceline2751
@shaniachanceline2751 4 года назад
So sad to see mr Kibaso singing may he rest in peace and Thanks to Almighty God who sent Jesus to die for us. For God so loved the world, that he gave his only son, that whoever believes in him should not perish but have eternal life.John <a href="#" class="seekto" data-time="196">3:16</a>🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💓🥰😍💖
@denicerwechungura5719
@denicerwechungura5719 4 года назад
Mbarikiwe sana kurasini kwaya
@kurasinisdachoir
@kurasinisdachoir 4 года назад
Amina
@kundumaji
@kundumaji 3 года назад
Ni mzuri Sana
@judithcherono2595
@judithcherono2595 4 года назад
Poleni sana wana Choir kwa kumpoteza mwezenu
@jacquesnsabiyaremye3373
@jacquesnsabiyaremye3373 Месяц назад
Asante sana
@carolineokindo703
@carolineokindo703 Год назад
Amen
@finestford007
@finestford007 4 года назад
yan nikimwona mr kibaso duuu juzjuz tu tulikuwanae!
@anetivicent6176
@anetivicent6176 4 года назад
Jitahidini msiige mihemko na midundo ya kisasa,,,,tunawategemea mno kurasini kwa nidhamu ya uimbaji,
@obedgetuno1672
@obedgetuno1672 4 года назад
Our thoughts and prayers are with the family and friends of mwalimu Kebaso. May his soul rest in peace
@catherinemnkeni8357
@catherinemnkeni8357 4 года назад
Rest in paradiso sir kibaso we wll meet again in new bright mornng
@HojaKidesheni-to8ro
@HojaKidesheni-to8ro 10 месяцев назад
Mungu awaongoze na kuwaongezea uwezo zaidi ya hapo mlipofikia
@obedgetuno1672
@obedgetuno1672 4 года назад
Amen. Mbarikiwe sana
@apmtkendepot6412
@apmtkendepot6412 Год назад
Ooow am touched
@sabamultimediabrand
@sabamultimediabrand 4 года назад
Mbarikiwe wapendwa ktk imani
@kurasinisdachoir
@kurasinisdachoir 4 года назад
Amina
@nancywasonga1060
@nancywasonga1060 Год назад
Amen😭🙏
@benjaminachuti5872
@benjaminachuti5872 4 года назад
Mwalimu kibaso we will miss you RIP
@dettoxhap1329
@dettoxhap1329 4 года назад
Ilove this song.... Ooh Lord guide me .
@abigaelkenyanya1594
@abigaelkenyanya1594 4 года назад
So painful watching Mwalimu Kibaso 😭. We shall dearly miss him but his legacy and love for God will keep us going. Tutaonana tena 🙏🏾
@matotiproduction3289
@matotiproduction3289 4 года назад
Mbarikiwe sana na sabato njema kwenu
@kurasinisdachoir
@kurasinisdachoir 4 года назад
Ahsante, Sabato njema na kwako pia
@phanicealuoch9364
@phanicealuoch9364 4 года назад
Nyimbo tamu sana...play it all time...RIp mwalimu kibaso
@petermuganda7322
@petermuganda7322 2 года назад
👊
@fastfaster2673
@fastfaster2673 4 года назад
Amen Amen
@emmanuelshaibu1177
@emmanuelshaibu1177 4 года назад
Hongeren sana
@joshuamaoro8303
@joshuamaoro8303 4 года назад
Nimerudi kuangalia huu wimbo baada ya Mwalimu Kibaso kutuaga leo😥
@tsombefelix6500
@tsombefelix6500 4 года назад
Mbarikiwe .. neema juu yetu kweli
@jaredmoibi
@jaredmoibi 4 года назад
He was humble and became obedient to death even the death on the cross. Nimekombolewa na damu ya Yesu. Thank you wanakwaya. Love you all.
@kurasinisdachoir
@kurasinisdachoir 4 года назад
We love you
@rachaelnyarangi8853
@rachaelnyarangi8853 4 года назад
God above all tutashinda kifo milele rest mwalimu
@donaldoketch7105
@donaldoketch7105 4 года назад
Kweheri Cheupeee...lala salama.
@phinawatwego7260
@phinawatwego7260 3 года назад
Nawapenda sana. Mungu awabariki wote
@newtonotecko1042
@newtonotecko1042 4 года назад
Joy comes in the morning! Amen. Heaven will be okey, let's pray to be there.
@kurasinisdachoir
@kurasinisdachoir 4 года назад
Amen
@gideonchrismaina1773
@gideonchrismaina1773 4 года назад
Great melodies for King Jesus. Keep it up, our brothers from SDA!!
@joshaurola3722
@joshaurola3722 4 года назад
You're my all time best choir. Be blessed Happy Sabbath
@kurasinisdachoir
@kurasinisdachoir 4 года назад
Happy day!
@samjumah8230
@samjumah8230 4 года назад
Exactly
@jamesmgalla3504
@jamesmgalla3504 3 года назад
Kibaso hunitoki akilin 😭😭😭😭😭
@oliviasharpe7290
@oliviasharpe7290 3 года назад
This is one of my all time song. I listen to it like 5 times a day
@rebeccaombeo5021
@rebeccaombeo5021 4 года назад
amen
@happykimaya2762
@happykimaya2762 4 года назад
R. I .P mwalimu kibaso 🙏🙏
@judithrichard2320
@judithrichard2320 3 года назад
Amina
@erickmcgondi1665
@erickmcgondi1665 3 года назад
Ooh. The Love of Jesus!
@kalebzacharia9302
@kalebzacharia9302 4 года назад
Comrade KB
@nanyukigreens8486
@nanyukigreens8486 4 года назад
Mungu awabariki na awaongoze
Далее
Kurasini SDA Choir - Shwari
6:24
Просмотров 203 тыс.
Kurasini SDA Choir - Haja ya Moyo
5:27
Просмотров 4 млн
Niseme Nini (Baba Ninakushukuru) LYRICS - Dr. Ipyana
15:42
Njia Ya Kalvari
5:21
Просмотров 12 тыс.
Kurasini SDA Choir - Nimefika Mwisho
5:01
Просмотров 384 тыс.
Mbiu SDA choir - Mji mzuri
6:18
Просмотров 2,4 млн