Mbona hajamchagua Ruby aliyezaa naye? Kujitambua kwake kuko wapi? Nyambaaaaafu kabisa hata Mimi ningemchagua mond cos niwa home ila hapo kwa ruby mjinga kayumba
@@sabraramadhan5420 Ndio cos kafananishwa na MTU ambaye sina mahusiano nae lazima nimchague X wangu ukizingatia anaye mtoto wangu Bro siku zote unaweza kuwatenganisha MTU NA mpenzi wake ila sio kuwatenganisha MTU NA mzazi mwenzake
Yaani upo ka lisenge kwaiyo unaona uyo shangingi tena msagaji hadi moze iyobo kamuacha ndo wa maana utakuja kumkumbuka ruby badaye mmbwa wewe kumbuka maisha yanabadilika angalia kesho yako
Hahahaha Dizzim nimewakubali kwa insta choice ya Leo kwa kitu kimoja tu! Kutokumlingasha Simba na hao wengine na kumlinganisha na msani mzito kama Yeye so Heshima itunzwe hivo hivo wachuwane hao wa nyuma tu pls!
Ila huu mchezo unaweza kukujengea chuki Ila kwa upande mmoja au mwingine wewe ni wa ovyo kabisa eti huna ukaribu na Ruby wakati wewe huyo umemzalisha halafu unasema haumfahamu mfyuuuuu acha ujinga wakati hapo anakulelea mwanao Eti siwezi kurudiana naye bora uache mziki mmmmhu,makubwa!
Maelezo mengi kama nn jamani chagua sio ujieleze Sana unaboa huna shukran wew mwanao akija aone ulichosema kwa mama ake unazan ataflai fikiria Kwanzaa mfyuuuuuu ovyoooo
Kigugumizi kinakushika eti ni mzazi mwezangu lakini Sina ukalibu nae .lakini ni mzazi mwezio . Yani kusah umechemja Sana alafu umewakwaza watu .luby ndiyo kila kitu
Wew mwenyewe ruby ndo kakutambulishaa kwenye mziki ukajulikaanaa na nw umepoteleaaa mbali yaan wew na ruby na kama utumbo na maini tu ruby level nyingine kimziki mbwa wew
Halafu anaona amepata😂 ninachojua Aunty ni msaani mkongwe hata inje ya tz tunamjua na ananyota sana anaeza kuishi bila wewe 😂, huu kusah anadhani anafurahisha aunty 😂ila kuna kitu wanaume hawajakijua 😢 unavyomchukulia mzazi mwenzio ndivyo wanawake tunakupima hakili yako 😂😂 Usidhani unamfurahisha Aunty, siku mtaachana utajiua hujui mi naona Aunty anajitaftia kizazi tu hana issue na wanaume 🤷🏽♀️