Hongera sana Mwalimu, hii style yako inamfanya mwanafunzi kuvutiwa na shule na kumpenda sana mwalimu wake. Pia yale ya shuleni anashawishika kuyafanya nyumbani bila shuruti.
What she is doing is part of what she learnt in teaching. But most of teachers leave all when they graduate. In teaching what is insisted is for teacher to be creative. Big up madam
Kenya wamebadilisha style ya kufundisha watoto wadogo. Nursery yaani chekechea HAKUNA KUSOMA BALI NI KUCHEZA NA KUZOEZESHWA KUWA NJE NA NYUMBANI kuanzia darasa la kwanza ndio sasa alfabeti zinaanza kusomeshwa kwa muda mchache sana, Huyu mwalimu amepata upeo huo yeye mwenyewe na nithibitisho la kweli kwamba watoto wadogo wanafaa kusaidiwa kuwa watoto wala sio kuwalimbikiza masomo masomo ili wafaulu mitihani pekeee !!!
Private schools ni HATARI.... watu wamechizika kufundisha sio mzaha na WANALIPWA BALAA NA POSHI KIBAO.... WHY NOT TEACHING WELL, CREATIVITY ETC!!!!!???
@@rkhamis1771 Nitakutafutia hiyo vidéo ya huyo mwalimu wa kiume anafanya hiyo na nahisi ndiko huyo dada kaitowa ni kaiwada in Amerika Nipe email yako nikutumie
Huyu dada ako sawa juu anafanya masomo yanakua funny na hiko ndicho kiegezo bora ambacho wanafunzi wanahitaji nimempenda bure angekua kenya angesomesha watoto wangu
Maashallah unajitahid pia unafanya kaz nzur mno, lkn kwa miaka 25 hapana aisee sura tu inaongoza ww ni wa 30 naaa semann mwembamba lkn usikufanye ukajirudisha miaka mpnz
Miss Moons acha kuwapa watu umri kutokana na muonekano wao kila mtu kaumbwa totauti wako walio na umri mkubwa lakini wana baby face hayo ni maumbile tu hata hivyo hapa tunaangalia kazi sio umri.
Naomba chagua kuongea lugha moja. Aidha ongea english ama kiswahili. Ukichanganya changanya nakuoneni kama Kiowa_english. Mwl unachanganya changanya hivyo. Wewe ni mswahili au mu england ? Tuache ushamba baadhi yetu watanzania
@@zuheorsalim7759 Wanaofundisha wanafunzi kukataa viuno ni wale wasanii Wanaowafuata mashuleni au huwa huauwaoni acheni kumtukana mwalim kwa sababu munapenda tu kudhalilisha watu.